Hakuna
Mtuhumu ndie atoe ushahidi
Lisu bado anaishi Enzi zile mabwege wa Sheria na polisi wakiosona vitabu vya Sheria edition za zamani
Sasa hivi vijana wadogo wako fit atasubiri sana na Sheria zake za kizee alisoma vi syllabus vilipvyopitwa na wakati wakamfunza ujanja wa kijinga
Yeye ndie azalishe ushahidi kauli zake anazotoa kwenye majukwaa Kuna angle ataingia 18 tu za wanasheria vijana wadogo tu waliosoma new syllabus ya Sheria na kusoma new editions za vitabu vya Sheria