Uchaguzi 2020 Lissu adai kucheleweshwa KIA makusudi na TCAA

Uchaguzi 2020 Lissu adai kucheleweshwa KIA makusudi na TCAA

Ni kweli kabisa adui anaweza kutumia weakness zetu kufanya anachokita.
Ukweli ni kwamba kumekua na changamoto haswa kiuchumi na lawama nyingi zikiwa zinatupwa kwa serikali. Lakini tukijiuliza nini kinafanyikana ni kwamba mfumo wa uchumi ulivurugika sasa tunataka kuurudisha sehemu. Hii iko sensitive sana na inagusa maisha ya kila mtu na ndio maana tunalalamika. Ila sasa, ni kweli serikali haijafanya maendeleo yoyote makubwa kwa miaka mitano iliyopita? Kama yapo ni maendeleo endelevu? Na yanagusa maslahi ya wananchi walio wengi?
Kuhusu swala la areaD naomba nisiliongelee sababu naweza kuwa na mawazo tofauti ila swala la tundu kutumika liko wazi mnoo.
Wanasiasa ni watu smart sana wanajua kutengeneza misingi ya kuaminika kwa interest zao binafsi.
Tundu amekua mtetezi mkubwa wa wazungu kwenye medias sio leo tangu 2016. Kwenye mijadala yake ameonekana kuwa pamoja nao kwenye mipango yake hata ya nchi zaidi ya watanzania wenzake.
Tundu sio mzalendo kabisa. Taifa letu bado changa sana tukipata rais anayetumia demokrasia anavyotaka bila kuwa mzalendo tutamezwa na kupotea.
Alipopata matatizo watanzania tuliumia sana sababu kile alichofanyiwa kilikua ukatili. Alirudi nchini kwaajili ya uchaguzi tulimpokea kwa furaha lakini siku zilipokua zinaenda alianza kutiliwa shaka kwa kauli zake ziliwafanya watanzania walio wengi kumtilia shaka
Alikua mtu aliyeponda kila kitu kilichofanyika hata vile ambavyo wananchi waliviona vya thamani yeye alivibeza. Hapa alijiaribia mnoo
Alikua mtu mwenye kujisifu kwa kuegemea mataifa ya magharibi na mwenye kuzitukuza mila zao kiasi cha kuthibitisha yake yaliyokua yanatiliwa shaka kumhusu
Hatimae mimi na watanzania wengine tulilinganisha kati yake na Magufuli tukafanya maamuzi kwamba Magufuli ni bora zaidi

Wewe ni mshenzi tu. Eti Lissu anazitukuza mila za mataifa ya magharibi, zipi hizo? Eti ulimuonea huruma alipopigwa risasi, wakati huo huo unashindwa kukubaliana na clear evidence ya wahusika wakuu. Eti unadai haukupendezwa na alichoongea baada ya kurudi, haujui kuwa yote ambayo Lissu amekuwa anayasema kwenye kampeni, amekuwa anayasema kwa miaka 5 sasa hata alipokuwa kitandani?

Na acha kuzungumza kama unawaongelea watanzania wote. Zungumza unachoamini wewe, acha propaganda hauziwezi!

Na hilo neno mzalendo acha kulitumia maana haujui hata maana yake.
 
Wewe ni mshenzi tu. Eti Lissu anazitukuza mila za mataifa ya magharibi, zipi hizo? Eti ulimuonea huruma alipopigwa risasi, wakati huo huo unashindwa kukubaliana na clear evidence ya wahusika wakuu. Eti unadai haukupendezwa na alichoongea baada ya kurudi, haujui kuwa yote ambayo Lissu amekuwa anayasema kwenye kampeni, amekuwa anayasema kwa miaka 5 sasa hata alipokuwa kitandani?

Na acha kuzungumza kama unawaongelea watanzania wote. Zungumza unachoamini wewe, acha propaganda hauziwezi!

Na hilo neno mzalendo acha kulitumia maana haujui hata maana yake.
Najizungumzia mimi na watu wengine wanaoamini kwenye hilo. Wala sikukutaja popote
Nikutakie maandalizi mema ya uchaguzi
 
Najizungumzia mimi na watu wengine wanaoamini kwenye hilo. Wala sikukutaja popote
Nikutakie maandalizi mema ya uchaguzi

Uchaguzi upi huo unaonitakia maandalizi mema?

Huu ambao mnawaambia wapiga kura wasiangalie wagombea wengine kwenye karatasi kwa sababu siyo wagombea halali?

Au unaongelea uchaguzi huu ambao wapiga kura, wagombea na wasaidizi wao wanakamatwa, wanapigwa mabomu na risasi kila siku?

Au uchaguzi huu ambao mnawaambia wapiga kura hata wakipigia kura wengine, kura zao hazina maana yoyote?

Au unaongelea uchaguzi huu ambao Mkurugenzi wa uchaguzi anaongea na waandishi wa habari ofisini kwake huku mgombea mmoja ana picha yake ukutani?

Ondoa upuuzi wako hapa.
 
Uchaguzi upi huo unaonitakia maandalizi mema?

Huu ambao mnawaambia wapiga kura wasiangalie wagombea wengine kwenye karatasi kwa sababu siyo wagombea halali?

Au unaongelea uchaguzi huu ambao wapiga kura, wagombea na wasaidizi wao wanakamatwa, wanapigwa mabomu na risasi kila siku?

Au uchaguzi huu ambao mnawaambia wapiga kura hata wakipigia kura wengine, kura zao hazina maana yoyote?

Au unaongelea uchaguzi huu ambao Mkurugenzi wa uchaguzi anaongea na waandishi wa habari ofisini kwake huku mgombea mmoja ana picha yake ukutani?

Ondoa upuuzi wako hapa.

Saitakuaje😂😂😂
 
Sio hivyo.Huko angani kuna mambo mengi na vyombo vinavyoruka sio chopa ya Lisu tu.Hivyo kuruhusiwa ni jambo la msingi na ili waongoza ndege wajue chopa ipo wapi na muda gani itafika na wawape taarifa wengine walioko angani.Baada kusema hayo kunyimwa kibali kwa siku kama hii inaonekana ni jambo la makusudi na kwa madhumuni ya kisiasa kwani anga la Tanzania halina msongamano wa kuzuia vyombo vingine visiruke. Na ni kweli kama chopa ingekuwa ni kama usafiri wa gari basi wanaweza kupaa angani na kufika salama.Tatizo ni hizo adhabu zitakazofuatia kwa kampuni inayomiliki chopa hiyo.
Hiyo chopa ni mali ya kampuni ya mabeberu unasemaje hapo, tena beberu mwenyewe yulee, MZEE WA FITINA DUNIANI!!! akikuwekea fitini tu dunia nzima, watakuona hufai!!! Hiyo mi bombarded itaozea hapo!!!! Mambo ya siasa uyaingize kwenye kazi za watu?!!!
 
Hatuwezi kuwa na rais wa ivi. Yaani wewe ni full malalamiko. Kama mtoto aliyedeka
 
Tunashukuru kafika.
Angedondoka angani lawama angepewa Magufuli.

..angedondoka kwasababu RADA zilizimwa hapo lazima lawama angepewa Jiwe.

..Ni sawa na alivyocharangwa marisasi baada ya walinzi wa area D kuondolewa.

..Nani ana mamlaka ya kuondoa walinzi wale? Na katika zama hizi za kila mtendaji kudukuliwa ilikuwaje watu wakapanga mipango mikubwa hivyo wasijulikane?
 
..angedondoka kwasababu RADA zilizimwa hapo lazima lawama angepewa Jiwe.

..Ni sawa na alivyocharangwa marisasi baada ya walinzi wa area D kuondolewa.

..Nani ana mamlaka ya kuondoa walinzi wale? Na katika zama hizi za kila mtendaji kudukuliwa ilikuwaje watu wakapanga mipango mikubwa hivyo wasijulikane?

Alaa kuumbee tatizo sio CCM, tatizo ni Magufuli.
Mkuu ukitaka kujadili jambo kwa hoja zenye nguvu, kwanza ondoa hiyo chuki uliyonayo kwa Magufuli.
La sivyo utaonekana kilaza mwendawazimu!
Hapo kwenye rada sijui umeandika upuuzi gani, hujui mambo ya anga, huna utalaamu hata kidogo tena unachanganya mada!
Sasa unataka tujadili mambo ya anga, au ya area D na kucharangwa marisasi?
 
Alaa kuumbee tatizo sio CCM, tatizo ni Magufuli.
Mkuu ukitaka kujadili jambo kwa hoja zenye nguvu, kwanza ondoa hiyo chuki uliyonayo kwa Magufuli.
La sivyo utaonekana kilaza mwendawazimu!
Hapo kwenye rada sijui umeandika upuuzi gani, hujui mambo ya anga, huna utalaamu hata kidogo tena unachanganya mada!
Sasa unataka tujadili mambo ya anga, au ya area D na kucharangwa marisasi?

..let have an open discussion. Masuala ya anga, area D, kucharangwa marisasi, etc.

..Hoja yangu ilikuwa kwamba, mazingira ya ajali ndiyo yange-determine lawama zinaelekezwa kwa nani.

..Hata tukio la area D, Jiwe analaumiwa kutokana na mazingira ya jinsi shambulizi lilivyotokea.

..Hakuna maelezo yoyote ya kuridhisha kwanini walinzi waliondolewa Sept 7, 2017 siku aliyoshambuliwa TL.
 
Sasa itatulazimu tuondoke KIA kuelekea Dar bila kibali cha TCAA; wafanye lolote wanalotaka kufanya. Mimi na wenzangu hatutakubali kunyanyaswa namna hii tena. Dar jiandaeni, tuko njiani tunakuja
halafu anata tumpe urais mtu muongo hivi
helicopter sio kama boda boda ndugu Tundu lissu
 
..yeye mbona alikuwa kajificha huku akielekeza wananchi waendelee na shughuli zao kama kawaida?

..mimi nawashukuru Ummy Mwalimu na Faustine Ndugulile na vyombo vya habari waliohimiza wananchi wachukue tahadhari.

..Hatua za tahadhari tulizochukua kipindi kile ndizo zilizosaidia ugonjwa usienee hapa Tanzania.

..Mwisho, Waafrika tuna BAHATI kwamba ugonjwa huu haujatuathiri kama ilivyotokea kwa nchi za Ulaya na Amerika. Katika hilo pia tunapaswa kumshuru Mwenyezi MUNGU.
Kati ya sisi na ulaya wapi wamechukua tahadhari zaidi? Wapi wameathirika zaidi? Kujificha au kutojificha inahusika vipi na msimamo wake wa kutoweka lockdown? Angesikiliza mikele yenu ya kuweka watu lockdown leo mngekuwa na hiyo mikusanyiko?
 
Back
Top Bottom