Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukitii wewe inatosha.Hivi kwanini hapendi kutii sheria bila shuruti
Imemuogopa vibaya mnooo
Ilitoka mbio ikaenda kumtandika waziri mkuu wa wingereza ikatoka hapo ikamchapa trump.
Magufuli babalao
JokaKuu kesho twende na John Pombe Joseph Magufuli
Tundu katumwa na wazungu kwa maslahi ya wazungu.. 🤣
..Nataka demokrasia.
..mamlaka makubwa zaidi kwa wananchi.
..maendeleo shirikishi.
..Haki sawa kwa Watanzania wote.
..Pia nataka bunge lenye hadhi na linalojitambua.
..Ndiyo maana namuunga mkono Tundu Lissu.
Halafu mtu wa namna hii anataka kuwa kiongozi wa ngazi ya juu ya nchi wakati kila kitu yeye ni kulalamika tu kama shog......................... flani hivi.ANAANDIKA MH.TUNDU LISSU
-------
Waheshimiwa viongozi salaam. Mimi na timu yangu ya kampeni tuko Kilimanjaro International Airport tangu saa nne asubuhi. Tulikuja kuweka mafuta kwenye chopper yetu ili tuweze kwenda Dar kwa ajili ya mkutano wetu wa kufunga kampeni unaotakiwa kuanzia Kawe saa tisa mchana.
Hata hivyo tumeshindwa kuondoka KIA kwa sababu hatujapatiwa kibali cha kutua Dar na Tanzania Civil Aviation Authority (TCAA).
Huu ndio umekuwa utamaduni wa TCAA katika kampeni hizi tangu tuanze kutumia chopper. Wanatumiwa na CCM ili kuhujumu kampeni zetu na ndivyo walivyofanya wiki iliyopita Lindi na Mtwara.
Sasa itatulazimu tuondoke KIA kuelekea Dar bila kibali cha TCAA; wafanye lolote wanalotaka kufanya. Mimi na wenzangu hatutakubali kunyanyaswa namna hii tena. Dar jiandaeni, tuko njiani tunakuja!
Tundu katumwa na wazungu kwa maslahi ya wazungu
Hujaona wanavyomsaidia kutoa matamko?
Wewe uliona wapi mzungu, mchina, mhindiau muarabu akatetea sehemu ambapo hawana maslahi binafsi? Uliona wapi?? Jirani zetu tuu hapa afrika wanatupendea vitu na sio utu sembuse hao wanaovuka bahari
Tuko kwenye mabadiliko ya kiuchumi kila mtanzania akiwemo mwenyewe anapitia wakati mgumu. Tushikana tuvuke tuje tufurahie mafanikio yetu pamoja
Sio hivyo.Huko angani kuna mambo mengi na vyombo vinavyoruka sio chopa ya Lisu tu.Hivyo kuruhusiwa ni jambo la msingi na ili waongoza ndege wajue chopa ipo wapi na muda gani itafika na wawape taarifa wengine walioko angani.Baada kusema hayo kunyimwa kibali kwa siku kama hii inaonekana ni jambo la makusudi na kwa madhumuni ya kisiasa kwani anga la Tanzania halina msongamano wa kuzuia vyombo vingine visiruke. Na ni kweli kama chopa ingekuwa ni kama usafiri wa gari basi wanaweza kupaa angani na kufika salama.Tatizo ni hizo adhabu zitakazofuatia kwa kampuni inayomiliki chopa hiyo.Utopolo mtu ana ngoja kibali cha nini Sasa chopa linatua popote awashe gia, wafanye watakavyo
Labda lakini sijaona alipowatukana...huyo ameiga kwa Jpm.
..hakuna raisi aliyedhalilisha wanawake kumzidi Jpm.
Ni kweli kabisa adui anaweza kutumia weakness zetu kufanya anachokita.mama D,
..tujadiliane kama watu wazima. Lets respect each others intelligence. usijaribu kunidanganya, na mimi sina nia ya kukudanganya.
..tukiweka mambo yetu sawa, tukiheshimiana, tukithaminiana, tukitendeana HAKI, mabeberu hawatapata nafasi ya kutumia upande mmoja dhidi ya mwingine kujipenyeza nchini kwetu na kuiba mali zetu.
..wakati wa Civil War ya Angola, Marekani na South Africa walikuwa wana-support Unita. Wakati huohuo Soviet Union na Cuba walikuwa wana-support Mpla.
..Makampuni ya mafuta ya Marekani yalikuwa yanachimba mafuta upande wa Mpla. Lakini visima vya mafuta vilikuwa vinalindwa na askari wa Cuba wakitumia silaha za Soviet Union. Wakati huohuo almasi zilizokuwa zikichimbwa na Unita zilikuwa zinanunua silaha za Wamarekani.
..Unaona jinsi mabeberu wanavyoweza kutukoroga Waafrika?
..Hoja yangu ni kwamba, Watanzania tukitendeana HAKI uwezekano wa mabeberu kutumia upande mmoja dhidi ya mwingine unakuwa mdogo. Lakini tusipotendeana HAKI ndipo tunatoa nafasi ya kuanza kutumiwa na mabeberu.
..Tukisema Tundu Lissu anatumiwa na mabeberu tujiulize alifikaje huko kwa mabeberu? Si alitwangwa marisasi ktk eneo la serikali? Je, ni mabeberu ndio waliondoa ulinzi area D na kuruhusu magaidi wakamshambulie? Je, si bunge na serikali ndio waliomnyima matibabu na kupelekea Tundu Lissu kwenda Ubelgiji?
Sijui huwa mnakua Umri tu kichwan madudu madudu
Nanyie ndio huwa mnasoma kwa kuunga unga sanaaa yaan sanaaa Sababu Bichwa halina Akili lina matopeeee matopeeee
Ni kweli kabisa adui anaweza kutumia weakness zetu kufanya anachokita.
Ukweli ni kwamba kumekua na changamoto haswa kiuchumi na lawama nyingi zikiwa zinatupwa kwa serikali. Lakini tukijiuliza nini kinafanyikana ni kwamba mfumo wa uchumi ulivurugika sasa tunataka kuurudisha sehemu. Hii iko sensitive sana na inagusa maisha ya kila mtu na ndio maana tunalalamika. Ila sasa, ni kweli serikali haijafanya maendeleo yoyote makubwa kwa miaka mitano iliyopita? Kama yapo ni maendeleo endelevu? Na yanagusa maslahi ya wananchi walio wengi?
Kuhusu swala la areaD naomba nisiliongelee sababu naweza kuwa na mawazo tofauti ila swala la tundu kutumika liko wazi mnoo.
Wanasiasa ni watu smart sana wanajua kutengeneza misingi ya kuaminika kwa interest zao binafsi.
Tundu amekua mtetezi mkubwa wa wazungu kwenye medias sio leo tangu 2016. Kwenye mijadala yake ameonekana kuwa pamoja nao kwenye mipango yake hata ya nchi zaidi ya watanzania wenzake.
Tundu sio mzalendo kabisa. Taifa letu bado changa sana tukipata rais anayetumia demokrasia anavyotaka bila kuwa mzalendo tutamezwa na kupotea.
Alipopata matatizo watanzania tuliumia sana sababu kile alichofanyiwa kilikua ukatili. Alirudi nchini kwaajili ya uchaguzi tulimpokea kwa furaha lakini siku zilipokua zinaenda alianza kutiliwa shaka kwa kauli zake ziliwafanya watanzania walio wengi kumtilia shaka
Alikua mtu aliyeponda kila kitu kilichofanyika hata vile ambavyo wananchi waliviona vya thamani yeye alivibeza. Hapa alijiaribia mnoo
Alikua mtu mwenye kujisifu kwa kuegemea mataifa ya magharibi na mwenye kuzitukuza mila zao kiasi cha kuthibitisha yake yaliyokua yanatiliwa shaka kumhusu
Hatimae mimi na watanzania wengine tulilinganisha kati yake na Magufuli tukafanya maamuzi kwamba Magufuli ni bora zaidi
Tuombeane uzima na tudumishe upendo na amani. Tanzania ndio mama yetu hatuna mwingine..mimi naijua misimamo ya Tundu Lissu tangu akiwa chuo kikuu mpaka leo.
..Sina shaka na uzalendo wa Tundu Lissu kwa Tanzania, na mapenzi yake kwa watu wa nchi hii.
..Pamoja na hayo naheshimu maoni yako kama ambavyo wewe umeheshimu maoni yangu.
Yaani huyo pilot hajielewi atashitakiwa kwa uzembe lazima usikilize watu wa hali ya hewa
Sent from my SM-A910F using JamiiForums mobile app
..mimi naijua misimamo ya Tundu Lissu tangu akiwa chuo kikuu mpaka leo.
..Sina shaka na uzalendo wa Tundu Lissu kwa Tanzania, na mapenzi yake kwa watu wa nchi hii.
..Pamoja na hayo naheshimu maoni yako kama ambavyo wewe umeheshimu maoni yangu.
..hatashtakiwa popote.
..nia ya tcaa ilikuwa kumhujumu Tundu Lissu.
..hawakuwa na sababu yoyote ya msingi ya kuzuia helikopta isiruke.
Punguza hasira mkuu kwani mimi nimekutukana? Kama ni issue ya AreaD siwezi ijadili iko nje ya uwezo wangu.Umemjibu kwa ustaarabu zaidi ya alivyostahili. Umemwambia kuhusu askari wa Area D, amekimbia hoja yake, anazungukazunguka tu kwenye kauli zisizo na kichwa wala mguu.
Na anavyoongea utadhani kila mtu anakubaliana na mawazo yake ya kishenzi na kipuuzi. Kuna watanzania bado wana utu na wanajua nchi inastahili kuendeshwa kwa misingi ya haki na sheria.
Najua wewe umemstahi, ila watu kama hawa siyo wa kuwaheshimu tena.
Iphone eti mpaka nilipie na mi sijui kulipiaHapana proton vpn is free
Umeshakuwa mtu mzima.
Ufike wakti ujadili kwa utulivu wa akili.
Mahaba unayompa Lissu yasizidi yakachukua ufahamu wako!
Jamaa yenu anabishana na wataalamu, kila kitu mmeweka siasa mbele!
Kama kuhujumiwa basi haijaanza leo, na labda jamaa yenu hakubaliki kwa nini msiwe na plan B?
Kazi kulia lia tu kama wendawazimu, mnakera sana aaaargh!