Travis 1
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 878
- 1,373
😃Unaniita mimi mpumbavu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😃Unaniita mimi mpumbavu?
aliyekuzalisha amekufa, una taarifa?Sawa tunawasubiri, labda mtafika salama, who knows?
Hiyo ni kazi yao, siyo ya mtu wa JF. Watu wanapanga na watua sayari ya Mars, wewe unasema hakuna plan nyingine! KIla mtu anatakiwa kupanga ya kwake. Kazi yetu hapa ni kumpa challenge, solutions anazo mwenyewe! Kama hana, huo ndo mwisho wa kufikiri kwake na anyamaze.Kwa akili yako unadhani plan B ni ipi??? Kama kutumia gari unajua umbali wa Dar-Moshi wewe????
Tatizo ccm mmejazana vilaza sana na Ndo mana miaka nenda rudi nchi yetu chini yenu itazidi kuwa masikini sana. Ccm hamna akili sana na lazima tuwatoe mwaka huu
Kiukweli kabisa wewe ni pumbavu hata kama ni Ccm mwenzangu ila swala la upumbavu 100%Unaniita mimi mpumbavu?
Katua tayari
pole dear, uliambiwa ushushe vpn...Simu yangu hakuna net kabisa nashangaa jf sijui naingiaje inakubali
Simu yangu hakuna net kabisa nashangaa jf sijui naingiaje inakubali
Mie niliwahi aisee ila kapige kura maana mie sitapigaSimu yangu hakuna net kabisa nashangaa jf sijui naingiaje inakubali
gasho ww, utakuwa unakaz.wa na slow slowBaba Zima kazi kulalamika tuu, huna jipya. Watanzania hatutakupa u Rais kwa kukuonea huruma. Kudeka kwako mpelekee Amsterdam.
Wewe ni mpumbavu tena chokoHivi kwanini hapendi kutii sheria bila shuruti
Nimekuuliza utakuwa na plan B gani kufika kawe kutokea Kilimanjaro ndani ya saa moja au masaa mawili bila kutumia ndege??? Nijibu???Hiyo ni kazi yao, siyo ya mtu wa JF. Watu wanapanga na watua sayari ya Mars, wewe unasema hakuna plan nyingine! KIla mtu anatakiwa kupanga ya kwake. Kazi yetu hapa ni kumpa challenge, solutions anazo mwenyewe! Kama hana, huo ndo mwisho wa kufikiri kwake na anyamaze.
pole dear, uliambiwa ushushe vpn...
mi nashuka kila mtandao
Ndio maana Magu anajipandiaga magari tuuKwanini hamkuoversee hii possibility? Ndio maana nasemaga hamjawa tayari kuongoza, hii ilitakiwa muione kabla na muweke plan B,C,D
Mimi ni nani nijibu? Tangu akienda huko alijua anawekewa vikwazo, kwani alijua saa moja kabla? Kama hakuwa na plan B hilo lake na siyo langu. Mtu anajisemea tu eti tutaruka bila kibali, kwani anajirusha? Kwani hajui marubani wana ethics zao? Au rubani ni Mbowe?Nimekuuliza utakuwa na plan B gani kufika kawe kutokea Kilimanjaro ndani ya saa moja au masaa mawili bila kutumia ndege??? Nijibu???
Hata US kuna hilo Boss! Ni mbinu mpya ya kuzuia mitandao kuingiliana na sheria za nchi.Kuna kitu wanahangaika kujaribu kuzuia mawasiliano ya net data! Nina mashaka mpaka usiku huu na kuamiia kesho asbh na kuelekea matokeo hatutakuwa hewani. YouTube, WhatsApp, Twitter, Insta, Google wanakwenda kuzi-block ili Watz wasipashane kuhusu yanayojiri kwene Uchaguzi!!
Ogopa Sana Utawala wa Kidikteta!!