SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Ushauri wa bure,ukiwa kwenye heat usipost kitu unajichoresha sana.Hivi kwann hapendi kutii sheria bila shuruti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushauri wa bure,ukiwa kwenye heat usipost kitu unajichoresha sana.Hivi kwann hapendi kutii sheria bila shuruti
Ukiwa mwezini akili inakuruka kabisa yaani.Hivi kwann hapendi kutii sheria bila shuruti
Kenge wewe lazima ukoment kwani au unawashwaHivi kwann hapendi kutii sheria bila shuruti
Uongo Mimi.pia Niko Dar Gongo LA mboto mvua imesimama hainyeshi ila kuna wingu LA mvua LA kufa MTU dakika yeyote mvua inashukamimi nipo Dar muda huu hali ya hewa ni shwari. acheni uzushi
Mbona naona upo maghetoni umejifungia.Hakika naikumbuka movie ya Dolph Lindgren, inaitwa Bridge of the Dragon , Adui Ni Gary Hiroyuki Tagawa, Tagawa ulikuwa ikiongoza kikosi kilichoenda kumsaka Dolph akiwa na mtutu wa bundiki na mwisho wa siku Dolph alikamatwa chini ya kiongozi jadiri Tagawa,
Lissu ongoza mpambano utashinda tu , wananchi tupo nyuma yako kusapoti.
Nilikuwa naiangalia App ya Flightraddar24 pamoja na Tanzania Weather Mambo muruwaaHaina shida ila hali ya hewa Dar mbaya tena mno mvua imeisha ila yaweza shuka muda wowote mawingu yamefunga hasa
Lukitokea LA kutokea kama kalazimisha TCAA wasilaumiwe
mamako!.Hivi kwann hapendi kutii sheria bila shuruti
Mbona kwenye korona halikutokea, Mungu mkubwa ameshatua salama.Haina shida ila hali ya hewa Dar mbaya tena mno mvua imeisha ila yaweza shuka muda wowote mawingu yamefunga hasa
Lukitokea LA kutokea kama kalazimisha TCAA wasilaumiwe
mwongo were. Dar hali ni shwari angalia mkutano Wa Lisu kufunga kampeni kama kuna hicho ukisemachoMimi Niko Dar kuna mvua na upepo mkali sana
Ni masuala ya kitaalam ungeyaelewa usingekuwa na mawazo kama hayo.Hulazimiki kuheshimu bad law.
Masikini Lisu pamoja na kutumia gharama kubwa za machopa lakini hatapata hata 20%Mlume huyoooooooo
Atafika Dar wapende wasipende!Kwa kuaanza ku over see kila possibility ya kukwamisha huwezi kufanya kampaini, kumzuia lissu kutofika Dar kwenye mkutano huo wahamisho kwa vikwanzo vya TCAA ni faida kubwa kwake katika kampeini kuliko kuhudhuria hicho kikao
Unabishana na jamaa aliyepo Machame huyo, chadema kwa akili hizi ndio wa kuongoza Jamhuri ya Tanzania hawa...Uongo Mimi.pia Niko Dar Gongo LA mboto mvua imesimama hainyeshi ila kuna wingu LA mvua LA kufa MTU dakika yeyote mvua inashuka
Yule wa CCM pesa zimeisha za kusomba watu kupeleka Dodoma ameshindwa funga kampeni why amfanyie figisu mwenzake asifunge kampeni
Na kila kampeni zake ni mane o ya kuonewa huruma. Kwann haishi kulalamika kuonewa kwa kila jambo?Lissu anaingiza siasa kwenye kila suala ilimradi tu anaishi kwa kutegemea kuonewa huruma.
Helikopta iliyotakiwa impeleke Waziri Mkuu huko huko Mtwara ilizuiwa kuruka kwa sababu za kiusalama sembuse helikopta ya Lissu!.
Msumbiji imepakana na Mtwara na huko wapo jamaa wa El Qaeda na ukumbuke helikopta uwezo wake wa kwenda juu sio zaidi ya mita 1000, zikitunguliwa na magaidi hawa hawa wanaolaumu mamlaka ya anga ndio watakaokuwa wa kwanza kulaumu.
Lissu anawapata wachache wenye kuyatazama masuala kwa mtazamo wa juu juu tu.