Pre GE2025 Lissu aendelea kupanga safu yake kwa ustadi mkubwa. Anaumaliza uchaguzi mapema sana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Bagonza akigombea lini Uaskofu Mkuu KKKT? Acha kudanganya.
We kumbe BUMUNDA! upo nchi hii??
Hujui kama aligombea jina likakatwa dakika za mwisho, lakini akapigiwa kura na wajumbe japo jina lake liliondolewa!
 
Lissu hafai kuwa mwenyekiti wa CDM.
 
Hii ngoma bila mzee mtei kuingilia kati jahazi linazama
 
Cha muhimu tusubiri vikao na maamuzi ya wanachama vikamilike.
Ila kwa maoni yangu, Lissu anaweza kuwa mtendaji mzuri Lakini sio Kiongozi mzuri.

Wakati ni mwalimu mzuri
Inawezekanaje mtu akawa kiongozi mzuri bila utendaji mzuri?!
Watanzania huwa tunapenda viongozi wenye siasa bila utendaji!
Mi binafsi niko upande wa TUNDULISSU
akihama chama ntahama naye,AKSANTEE.
 
Mwanasiasa mwenye mvuto ambaye makundi yote ya watanzania wazalendo wanayotakia mema nchi hii wanaweza kumuunga mkono ni Lissu peke yake kwani nyeupe huwa anasema ni nyeupe. CDM Lissu ndio karata yenu kirudi kwenye nguvu kama mliokua nayoal 2010-2015 mkawa na wanachama wasomi wanaojenga hoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…