Pre GE2025 Lissu aendelea kupanga safu yake kwa ustadi mkubwa. Anaumaliza uchaguzi mapema sana

Pre GE2025 Lissu aendelea kupanga safu yake kwa ustadi mkubwa. Anaumaliza uchaguzi mapema sana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hakuna mpambano wowote kati ya Mbowe na Lisu. Lisu ana baraka zote za Mbowe.
 
View attachment 3175513


Lissu hapoi wala haboi, ameendelea kuipanga safu yake na jana usiku nyumbani kwake alikuwa na kikao kizito na wajumbe wa mkutano mkuu kutoka mikoa ya kanda ya ziwa ambao hawakutokea kwenye press yake kwa sababu ambazo zipo kapuni.

Awa ni wale wanaingia kama wapiga kura kwenye uchaguzi wa nafasi ya mwenyekiti wa chama.

Mpaka sasa hali ni mbaya kwa Mbowe ni kama uchaguzi ameshaumaliza Lissu.

Kama ambavyo chama kimekuwa kikidai haki ya kulinda kura kwenye chaguzi mbalimbali basi kambi ya Lissu nao wamejiapiza kulinda kura zao.
Kosa kubwa la Mbowe ni kuamini 4R za Samia, hakujua kiwa Samia ni mswahili, muongo na mnafiki
 
Moto anaoupeleka Lissu haujapata kutokea. Kila kona ya nchi wanataka mabadiliko kwenye chama kasoro mikoa mitatu tu. Dar es Salaam, Kilimanjaro na Arusha.
Mkuu moto wa lissu ni kote, sio Kilimanjaro, dar wala Arusha.Muda utasema, lissu anaaminika Sana miongoni mwa watanzania na wanachadema kiujumla
 
Kosa kubwa la Mbowe ni kuamini 4R za Samia, hakujua kiwa Samia ni mswahili, muongo na mnafik

CCM haiwezi kuwa upande wa Lissu, wanaogopa Lissu akiwa Mwenyekiti, falsafa ya CHADEMA kudeal na Serikali ccm itakuwa ya kiharakati wakati mbowe ni ile ya kidiplomasia zaidi.

Kwahiyo CCM watamuunga mkono Mbowe kwa rushwa ili Lissu aanguke kama walivyopenyeza pesa KKKT Bagonza akaanguka akashinda malasusa.

Mbowe ni Tishio kwa CCM akiwa kama alivyo,CCM wanatamani atoke, Mbowe angegombea bila Lissu Kugombea, hapo pia mbowe angepingwa na CCM ili atoke.

Sasa Ngoma imebalance bUGALO MOTO, MBOGA MOTO
Umemaliza, taarifa Toka Lumumba, wanatafakari namna Gani ya kumpiga chini lissu kwenye kugombea uongozi chadema
 
Mkuu hivi unategemea CHADEMA itapasuka? Au kupasuka kwake kukoje? Waliondoka wabunge zaidi ya 20 chadema ila haikupasuka kipindi cha Magufuli.
Au wewe utaki watu wafanye uchaguzi ndani ya chama? Tulitegemea ccm waoneshe mfano wa kuwa na mchuano mkali ndani ya chama kwa nafasi kama wa mwenyekiti lakini ziiiiiiiii ila wengine wakifanya wao wanataka kuleta upotoshaji.
Hii inaonesha kwa namna gani ccm hawataki maendeleo ya kushindana kwa hoja.
Chadema itapasuka kama Mbowe ataamua kugombea. Hili nakuhakikishia sababu Team Mbowe wana siasa chafu za kuchafuana, Mbowe akigomea watamchafua na watamchezea rafu zote(Kumbuka kuna maccm ndani ya chadema ambao lengo lao ni kuharibu)
 
Punguza dharau na wivu. Lissu alichaguliwa kugombea Urais maana chama kilimwamini.
Kukuamini kuna tafsiri, si lazima iwe ile ya kushinda..inaweza kuwa ya kukutia nguvu na kuonyesha mshikamano ili tuendelee pamoja.
 
View attachment 3175513


Lissu hapoi wala haboi, ameendelea kuipanga safu yake na jana usiku nyumbani kwake alikuwa na kikao kizito na wajumbe wa mkutano mkuu kutoka mikoa ya kanda ya ziwa ambao hawakutokea kwenye press yake kwa sababu ambazo zipo kapuni.

Awa ni wale wanaingia kama wapiga kura kwenye uchaguzi wa nafasi ya mwenyekiti wa chama.

Mpaka sasa hali ni mbaya kwa Mbowe ni kama uchaguzi ameshaumaliza Lissu.

Kama ambavyo chama kimekuwa kikidai haki ya kulinda kura kwenye chaguzi mbalimbali basi kambi ya Lissu nao wamejiapiza kulinda kura zao.
Mbowe hangombei mtaniambia. mchezo wa kisiasa huo
 
Chadema itapasuka kama Mbowe ataamua kugombea. Hili nakuhakikishia sababu Team Mbowe wana siasa chafu za kuchafuana, Mbowe akigomea watamchafua na watamchezea rafu zote(Kumbuka kuna maccm ndani ya chadema ambao lengo lao ni kuharibu)
Mbowe hagombei wacha mchuuzwe.
 
Hata Msigwa mlikuwa mnampba hivyo hivyo huku mkimponda Sugu ,kilichompata ndicho kitampata Lisu labda asigombee ,kikubwa asije kukimbia chama 😁😁
Mbowe hawezi kugombea kwa maslahi mapana ya chama. Hilo ninauhakika
 
Huyo Lissu ni kiboko naona thread za kumhusu ziko nyingi Sana humu. Ngoja tuone Ngoma itazimwa Saa ngapi tukalale
 
Kinachonishangaza ni hao machawa kina Martin na Boniyai aisee hadi aibu nilikua najua ni watu wa maana kumbe ni takataka tu
Screenshot_20241212-202443.png

Huyu jamaa anajifanya yupo smart , kumbe ni mjinga sana......wanajifanya wanapigania demokrasia kumbe wanapigania matumbo yao,ona eti anatangaza vita na Lissu
 
Bila mwamba Mbowe saa hizi Lissu angekuwa shimo la Tewa !!
Mbowe huyu huyu aiyeshiriki kwenye mkakati wa kumpiga risasi? Huyu huyu ambaye siku 1 kabla ya tukio ilikuwa asafiri kwenda Dar nawezake yeye akaahirisha safari ili apokee mwili wa Lissu? Acha masihara jombaa.
 
Back
Top Bottom