Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kosa kubwa la Mbowe ni kuamini 4R za Samia, hakujua kiwa Samia ni mswahili, muongo na mnafikiView attachment 3175513
Lissu hapoi wala haboi, ameendelea kuipanga safu yake na jana usiku nyumbani kwake alikuwa na kikao kizito na wajumbe wa mkutano mkuu kutoka mikoa ya kanda ya ziwa ambao hawakutokea kwenye press yake kwa sababu ambazo zipo kapuni.
Awa ni wale wanaingia kama wapiga kura kwenye uchaguzi wa nafasi ya mwenyekiti wa chama.
Mpaka sasa hali ni mbaya kwa Mbowe ni kama uchaguzi ameshaumaliza Lissu.
Kama ambavyo chama kimekuwa kikidai haki ya kulinda kura kwenye chaguzi mbalimbali basi kambi ya Lissu nao wamejiapiza kulinda kura zao.
Mwamba ndio nini?Bila mwamba Mbowe saa hizi Lissu angekuwa shimo la Tewa !!
Mkuu moto wa lissu ni kote, sio Kilimanjaro, dar wala Arusha.Muda utasema, lissu anaaminika Sana miongoni mwa watanzania na wanachadema kiujumlaMoto anaoupeleka Lissu haujapata kutokea. Kila kona ya nchi wanataka mabadiliko kwenye chama kasoro mikoa mitatu tu. Dar es Salaam, Kilimanjaro na Arusha.
Usiku zinarudi 😃😃😃Angalau tumepumzika nyuzi za yanga na simba wiki hii!
Kosa kubwa la Mbowe ni kuamini 4R za Samia, hakujua kiwa Samia ni mswahili, muongo na mnafik
Umemaliza, taarifa Toka Lumumba, wanatafakari namna Gani ya kumpiga chini lissu kwenye kugombea uongozi chademaCCM haiwezi kuwa upande wa Lissu, wanaogopa Lissu akiwa Mwenyekiti, falsafa ya CHADEMA kudeal na Serikali ccm itakuwa ya kiharakati wakati mbowe ni ile ya kidiplomasia zaidi.
Kwahiyo CCM watamuunga mkono Mbowe kwa rushwa ili Lissu aanguke kama walivyopenyeza pesa KKKT Bagonza akaanguka akashinda malasusa.
Mbowe ni Tishio kwa CCM akiwa kama alivyo,CCM wanatamani atoke, Mbowe angegombea bila Lissu Kugombea, hapo pia mbowe angepingwa na CCM ili atoke.
Sasa Ngoma imebalance bUGALO MOTO, MBOGA MOTO
Fanya reserach. Tuna ushahidi wa kutosha.Yani mnaitukuza CCM mpaka aibu. Mtu kutangaza kugombea nafasi Fulani, tayari CCM inahusika. Acheni unafiki. Mambo ya CHADEMA ni ya CHADEMA.
Chadema itapasuka kama Mbowe ataamua kugombea. Hili nakuhakikishia sababu Team Mbowe wana siasa chafu za kuchafuana, Mbowe akigomea watamchafua na watamchezea rafu zote(Kumbuka kuna maccm ndani ya chadema ambao lengo lao ni kuharibu)Mkuu hivi unategemea CHADEMA itapasuka? Au kupasuka kwake kukoje? Waliondoka wabunge zaidi ya 20 chadema ila haikupasuka kipindi cha Magufuli.
Au wewe utaki watu wafanye uchaguzi ndani ya chama? Tulitegemea ccm waoneshe mfano wa kuwa na mchuano mkali ndani ya chama kwa nafasi kama wa mwenyekiti lakini ziiiiiiiii ila wengine wakifanya wao wanataka kuleta upotoshaji.
Hii inaonesha kwa namna gani ccm hawataki maendeleo ya kushindana kwa hoja.
Kukuamini kuna tafsiri, si lazima iwe ile ya kushinda..inaweza kuwa ya kukutia nguvu na kuonyesha mshikamano ili tuendelee pamoja.Punguza dharau na wivu. Lissu alichaguliwa kugombea Urais maana chama kilimwamini.
Mbowe hangombei mtaniambia. mchezo wa kisiasa huoView attachment 3175513
Lissu hapoi wala haboi, ameendelea kuipanga safu yake na jana usiku nyumbani kwake alikuwa na kikao kizito na wajumbe wa mkutano mkuu kutoka mikoa ya kanda ya ziwa ambao hawakutokea kwenye press yake kwa sababu ambazo zipo kapuni.
Awa ni wale wanaingia kama wapiga kura kwenye uchaguzi wa nafasi ya mwenyekiti wa chama.
Mpaka sasa hali ni mbaya kwa Mbowe ni kama uchaguzi ameshaumaliza Lissu.
Kama ambavyo chama kimekuwa kikidai haki ya kulinda kura kwenye chaguzi mbalimbali basi kambi ya Lissu nao wamejiapiza kulinda kura zao.
Itakuwa ni vizuri, sababu tafsiri yake ni kwamba CCM wamejisalimisha kwa LisuIla inaonekana kuna CCM behind the scene kwenye hii movement ya lisu
Mbowe hagombei wacha mchuuzwe.Chadema itapasuka kama Mbowe ataamua kugombea. Hili nakuhakikishia sababu Team Mbowe wana siasa chafu za kuchafuana, Mbowe akigomea watamchafua na watamchezea rafu zote(Kumbuka kuna maccm ndani ya chadema ambao lengo lao ni kuharibu)
Mbowe hawezi kugombea kwa maslahi mapana ya chama. Hilo ninauhakikaHata Msigwa mlikuwa mnampba hivyo hivyo huku mkimponda Sugu ,kilichompata ndicho kitampata Lisu labda asigombee ,kikubwa asije kukimbia chama 😁😁
Kinachonishangaza ni hao machawa kina Martin na Boniyai aisee hadi aibu nilikua najua ni watu wa maana kumbe ni takataka tu
Mbowe huyu huyu aiyeshiriki kwenye mkakati wa kumpiga risasi? Huyu huyu ambaye siku 1 kabla ya tukio ilikuwa asafiri kwenda Dar nawezake yeye akaahirisha safari ili apokee mwili wa Lissu? Acha masihara jombaa.Bila mwamba Mbowe saa hizi Lissu angekuwa shimo la Tewa !!
Yani nyie ndiyo mnaukuza mgogoro wakati wenyewe wala hawana shida wala tatizoBila mwamba Mbowe saa hizi Lissu angekuwa shimo la Tewa !!