Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maneno meeeengi huku huna kitu.Ni upuuzi kuamini habari hii kisa tu tundu islu aemsema.
Bali kudai uthibitisho kwa tundu lissu juu ya alichosema ndio kuwa na akili kwenyewe.
Mtu anaweza kukuona unaenda guest kila siku akakuzushia kwqmba una malaya wako unagonga hapo na mtu ukaamini kutokana na mazingira yanavyoshabihiana lakini ushahidi hana.
Mtu anaweza kukuona unajuana na shoga fulani akakuzushia kwamba unapiga yule shoga na mtu akaamini kwamba ni kweli kutokana na mazingira yanavyoshabihiana,ushahihi ni kudai ushahidi wa madai.
Suala hili Tundu lissu anatakiwa atoe ushahidi badala ya kutumia mazingira ambayo yanaonekana kama kushabihiana na maneno yake.
Watanzania tunatakiwa tuache utumwa wa fikra usiamini moinzani wala mtawala mpaka uhoji kwa kina upewe ushahidi wa maneno yake
Ukiona inatumika nguvu nyingi kupinga jambo ujue hilo jambo linaukweli.
Yani umeshasahau kuwa huyu Lissu mlishamshindwa huko mahakamani hadi mkafanya maamuzi ya kummiminia risasi 38 mchana kweupe kama mnaua tembo?
Sio kila habari inahitaji ushahidi... its either you take it or notNi upuuzi kuamini habari hii kisa tu tundu islu aemsema.
Bali kudai uthibitisho kwa tundu lissu juu ya alichosema ndio kuwa na akili kwenyewe.
Mtu anaweza kukuona unaenda guest kila siku akakuzushia kwqmba una malaya wako unagonga hapo na mtu ukaamini kutokana na mazingira yanavyoshabihiana lakini ushahidi hana.
Mtu anaweza kukuona unajuana na shoga fulani akakuzushia kwamba unapiga yule shoga na mtu akaamini kwamba ni kweli kutokana na mazingira yanavyoshabihiana,ushahihi ni kudai ushahidi wa madai.
Suala hili Tundu lissu anatakiwa atoe ushahidi badala ya kutumia mazingira ambayo yanaonekana kama kushabihiana na maneno yake.
Watanzania tunatakiwa tuache utumwa wa fikra usiamini moinzani wala mtawala mpaka uhoji kwa kina upewe ushahidi wa maneno yake
Mnaomuamini huyo taahira mna kazi sana
Great Sir!!!!Naona mambumbumbu mmetumwa kuzima hili sakata!
Waliohodhi mamlaka ya rais ni wahaini... Itajulikana
It sounds like ur expecting!! Ur lovely !!Just like you did many years ago
Kumbe nawe ni mwana CCM!
Umeona nini cha kukufanya uamini hivyo?Narudia tena , niliisema sehemu Anayeongoza nchi ni Mabeyo na Vyombo vya Usalama Mama akiwa kama kivuli ila Majaliwa na mchengelwa hawana wanalojua hapo LISSU naye kachemka!!! Nchi iko kwa Mabeyo kitambo sana
Britanicca
Unaishi dunia ipi ndugu ya maarifa na ufahamu wa aina yako..?Ni upuuzi kuamini taarifa ambazo hazijathibitishwa.
Uwe sisiemu uwe chadema uwe lumumba au uwe ufipa.
You look shocked...right?Umbea tuuu !!!
Jiwe limewapata pabaya... kumbe ni kweli maneno ya Lissu!Mnaomuamini huyo taahira mna kazi sana