Lissu afunguliwe mashtaka kwa kutoa taarifa za uongo

Lissu afunguliwe mashtaka kwa kutoa taarifa za uongo

Na kwa upande mwingine nakataa kuamini taarifa hii ya Lissu, nadhani na yeye atakuwa amepotoshwa.

Kassim Majaliwa yupi anayemzungumzia hapa, yule mwenye mashangazi waliotishiwa kuzabwa vibao?

Majaliwa huyo simwoni akiwa na uti wa mgongo wa kumteka yeyote, achilia mbali Rais mzima!

Ujasiri huo atautoa wapi na kwa uwezo upi?

Yaani hata huko ndani ya lichama lao pasiwepo na mtu/watu wa kumkenulia meno kama mbwa koko kumtisha asijihusishe na mchezo huo?

'Maza Mizinguo" anaweza kweli kuwa ni mateka, na hali halisi inaonyesha hivyo, lakini siyo toka kwa mtu kama Kassim Majaliwa.
 
Hii habari ilizagaa mitaani kabla hata Lisuu hakasema; Lissu leo kahitimisha tu ila ukweli ulishajulikana kitambo..Lissu ni mjumbe tu ..

Mwenye macho haambiwi tazama!

Kafika bei, kaona amtumkie kafiri apate mradi wake.

Taabu na marumbano ya nini?
 
Nilitaka kushangaa

Yaani uache mafaili mazito ofisini halafu ukashoot video?, Lazima kuna kitu
Baada ya UVIKO mapato ya utalii yameshuka sana....less than 600b per fiscal year.....

Rais anataka UVIKO ikifikia mwisho ,WATALII WAONGEZEKE MNO.....

Kuna changamoto ya WATALII KUISHI nchini siku chache mno(liko kabla ya Uviko)....Rais ameamua TWENDE NA MATANGANGAZO YA KUHUSISHA UTALII WA KITAMADUNI...

Dr.Stergomena Tax ameshauri sana katika eneo hilo.....

#SiempreChifuMkuuHangaya
#NchiKwanza
 
Tundu Lissu alisikika akituambia KIFO CHA YULE MLINZI WA KARIBU WA HAYATI MAGUFULI...yule jamaa mwili mkubwa mweusi asiye na uso wa tabasamu eti AMEONDOKA KWA COVID-19......

Chai
Chai
Chai
Chai


Hivi mh.Tundu Lissu si "pathological lier"?!!!!


#SiempreChifuMkuuHangaya
#NchiKwanza
 
Uchifu aliosimikwa juzi unatosha.

Bahati nzuri wenyewe hauna mizengwe yote hii.

'Maza Mizinguo' toka mwanzo alionyesha kuwa na 'low expectation' juu ya nafasi yake hii mpya ya urahisi!
FB_IMG_16307140795615105.jpg
 
Yaani wewe huelewi lolote. Hata maana ya maneno hayo huyaelewi lakini bila aibu una comment...

Soma tena sentensi zako na aya yote hiyo kwa ujumla uone kama inaleta maana yoyote...

NITAKUFUNDISHA:

¶ Kuwa "held hostage" maana yake "kufanywa mateka" wa mtu au situation au maamuzi fulani

¶ "Son-in-law", maana yake kwa kisukuma chetu tunasema "Mkwilima" au "mkwe" kwa kiswahili chenu

¶ Na incase ulikuwa hujui, Mchengelwa (waziri ambaye TISS iko chini yake) ni mkwe wa Mama Samia Suluhu Hassan (Rais)...!

Kwa hiyo, Mchengelewa ni "Son-in-law" wa Rais Samia Suluhu. Mchengelwa anamwita Samia "mama mkwe" maana yake kaoa mwanae...!

Na kuwa "held hostage" ktk scenario hii, si kutekwa kimwili bali KIAKILI na KIMAAMUZI...

Kwa lugha nyingine, Rais Samia Suluhu Hassan literally amekabidhi mamlaka na madaraka ya Urais kwa watu wengine...!!
FB_IMG_16307140795615105.jpg
 
Hangaya kwakweli ni Lazima sasa awe mkali vinginevyo inatufanya tuamini wanawake bado sana
 
Sasa Lissu akiwa debe wewe si utakuwa kisoda? Wewe endelea kulia lia hapa tuu maana hata korido za lumumba huzijui, Lissu ana legacy nchi hii kwa aliyofanya so far.
Lissu ni muongomuongo.....

Alisema eti yule mlinzi mweusi amefariki kwa COVID-19.....

Unawezaje kumuamini mtu wa "chai" kiasi hicho?!!! Khaa 😲😲😲😲
 
Tundu Lissu alisikika akituambia KIFO CHA YULE MLINZI WA KARIBU WA HAYATI MAGUFULI...yule jamaa mwili mkubwa mweusi asiye na uso wa tabasamu eti AMEONDOKA KWA COVID-19......

Chai
Chai
Chai
Chai


Hivi mh.Tundu Lissu si "pathological lier"?!!!!


#SiempreChifuMkuuHangaya
#NchiKwanza

Kati ya Lissu na wewe mkuu kwa ushauri wako tu tuamini nani anasema kweli?

Kuwa fair mkuu japo kwa leo tu, ingependeza zaidi.
 
Kila siku nawaambia TL hana quality za kuwa Rais hata kidogo....taarifa za JF ndio taarifa alizonazo kifupi he is not well informed, nakumbuka issue ya mlinzi wa Marehemu JPM tena mbele ya international media anaongea tango poli....kipindi cha kampenin ametema waste nyingi sana binafsi nilimdharau sana..

inanikumbusha Dr Slaa vs Riz na madawa China, Bomba la gas Mt to Dubai chini ya bahari eti gas inaibiwa nilicheka sana na kumuona Dr kituko kabisa aisee...dah hawa ndio wanasiasa wanaotaka tuingie barabarani....ZZK anaweza kuwa mwanasiasa mzuri kuliko mwanasiasa yeyote interm of IQ nk...
Tundu Lissu is a typical PATHOLOGICAL LIER......
 
Lissu ni muongomuongo.....

Alisema eti yule mlinzi mweusi amefariki kwa COVID-19.....

Unawezaje kumuamini mtu wa "chai" kiasi hicho?!!! Khaa 😲😲😲😲
Yuko wapi kwani..?

Alisema pia Magufuli amekufa, mkang'aka kweli na mwisho wa siku mkala matapishi yenu...!

Ama kweli nyie ndo wanywa viroba na nyumbu halisi..!
 
Back
Top Bottom