Lissu afunguliwe mashtaka kwa kutoa taarifa za uongo

Lissu afunguliwe mashtaka kwa kutoa taarifa za uongo

Mambo huanza hivi hivi.
Zinaanza kama tetesi lakini mwisho wa siku zinakuwa kweli kwa 100%, kama kifo cha Magu kilivyokuwa....

Kwa jinsi nchi inavyopelekwa kipuuzi fulani hivi na namna mama alivyogeuka ghafla ndani ya muda mfupi sana, bila shaka hana control na kiti chake tena. Lazima kuna kakikundi kamepora madaraka yake.

Tujipe muda.
Muda ni mwalimu mzuri sana.
Salute Mkuu..
 
Tundu Lissu alishawahi kusema kuwa "mmoja wa Walinzi wa karibu wa hayati Magufuli ,yule mweusi na mwili mkubwa kuwa amefariki kwa COVID".....

Kumbe ilikuwa ni CHAI CHAI CHAI tupu.......

Tundu aache kuwa "PATHOLOGICAL LIER".....
 
WanaCCM wenzangu,
Hoja aina hii siyo za kukurupukia maana mtu kama Lissu lazima atakuwa na mvujisha taarifa kutoka pakachani.

Naona watu wanajibu kwa kebehi
Kuna jambo halipo sawa and yet we joke about it.

I can sense indoor plumbing
Mkuu wakishiba WAMEVIMBIWA..
 
Nani wa kumuachia nchi mzanzibar tena mwana wa like

"Nina siri yako mama maushungi niliyoachiwa na mzee kabla hajaenda kuzimu"
Wewe umeanza kuishi MWISHO WA DUNIA KURUDI MUDA HUU TULIO NAO ?!!! khaaaa hivi shule ya msingi kweli ulikwenda?!!
 
Samia anatia huruma sanaa, natamani kumsadia kwa mambo mengi sana. shida ndiyo hivyo

samia, popote ulipo ni Pm
nina taarifa sensitive kidogo kukuhusu.

ukizubaa shauri yako.
😲😲😲😲🤣🤣🤣🤣🤣
 
Tundu Lissu alishawahi kusema kuwa "mmoja wa Walinzi wa karibu wa hayati Magufuli ,yule mweusi na mwili mkubwa kuwa amefariki kwa COVID".....

Kumbe ilikuwa ni CHAI CHAI CHAI tupu.......

Tundu aache kuwa "PATHOLOGICAL LIER".....
Kanyonye kwanza huu uzi wa WAKUBWA.....bhagika tokayombanga emhole jele chela MIKULO
 
Back
Top Bottom