Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante kwa Mchango wako Lakin unaongea usiyoyajuaWe bado ni mtoto sana!! Kati ktk tawala za kiraia hilo haliwezi tokea na ndo maana ktk katiba na utendaji kwa ujumla rank ya jeshi iko mbali sana!!
Wote waliomtukana Magufuli watatubu kabla mwaka haujaisha.
Nafsi zitawasuta sana
Kwahiyo unakubali kwamba alikuwa anakwambisha jitihada za serikali kulinda rasilimali madini
..kwa hiyo Mabeyo ndio asiyependa makongamano?
..Na Mabeyo ndiye aliyetupandishia kodi na tozo za miamala?
Utamuamini Lissu kama Tanzania itashitakiwa na MIGA! Bila hivyo anatunga uongo kama alivyo zoea!Akiongea katika kipindi cha Maria Sarungi Space Jana akijibu maswali mbalimbali ya washiriki wa mjadala huo, Tundu Lissu ametoa taarifa serious kidogo kuhusu Rais na nchi yetu...
Kwamba, taarifa walizonazo kwa sasa ni kuwa "....Madam President Samia Suluhu Hassan is held hostage..." , kwamba si yeye anayeongoza nchi kwa sasa. Ameshauriwa yeye akae pembeni na swala la usalama wa nchi awaachie PM Majaliwa na waziri wa usalama, Mchengelewa washughulike nalo...
View attachment 1932324
MAONI YANGU:
Kama hii ni kweli, kikatiba imekaaje? Kama Rais huyu mama kakubali ushauri huu, atakuwa anajua kweli jukumu na wajibu wake kama Rais wa nchi...? Kwanini washauri wake wakuu wamefanya hivi..?
Kuna possibility kubwa hili linaweza kuwa la kweli kwa kuangalia viashiria fulani fulani...
Hebu chunguzeni ziara na matukio ambayo Rais Samia Suluhu anapangiwa kushiriki kwa takribani miezi miwili iliyopita....
Ni yale ya utoto utoto tu ambayo siyo level yake kuyafanya kwani yangeweza kufanywa na wasaidizi wake kama waziri wa sekta husika, RC au DC...
Inashangaza kuwa anajihusisha ktk mambo madogo madogo mno huku akiacha kuumiza akili kushughulika na maswala serious kama vile hali ngumu ya uchumi, tozo kandamizi, hali tete na mbaya ya kisiasa na mengine mengi yanayohusu nchi na wananchi ambayo kwa sasa yanaelea elea hewani tu bila mwongozo thabiti toka kwa Rais kiongozi makini wa nchi...
Angalia matukio anayoshiriki Rais; mfano Royal Tour, kushiriki tamasha la ngoma za kienyeji Magu Mwanza nk nk ni ya kupumbaza tu, yasiyo na positive impact yoyote katika maisha ya watu kwa ujumla. Nyuma ya matukio haya lipo lengo fulani baya nyuma ya pazia. THE TIME WILL TELL...
Naweza kuamini hili la Tundu Lissu kwa 99%...
Mkuu Mimi ni raia Kama wewe, ila nimekuwa sipendezwi na taarifa Kama hizi.Inaonekana mmeumia sana baada ya ukweli huu kuwekwa hadharani ma Lissu.
Siku 100 alijaribu...ila baada ya speech yake tu ... wenye nchi yao wameichukua kabakia cerebrete president.
Eti ngoma za jadi unadharau 😇😇😇 ndio maana cdm mmekoswa mvuto kabisa kanda ya ziwaAkiongea katika kipindi cha Maria Sarungi Space Jana akijibu maswali mbalimbali ya washiriki wa mjadala huo, Tundu Lissu ametoa taarifa serious kidogo kuhusu Rais na nchi yetu...
Kwamba, taarifa walizonazo kwa sasa ni kuwa "....Madam President Samia Suluhu Hassan is held hostage..." , kwamba si yeye anayeongoza nchi kwa sasa. Ameshauriwa yeye akae pembeni na swala la usalama wa nchi awaachie PM Majaliwa na waziri wa usalama, Mchengelewa washughulike nalo...
View attachment 1932324
MAONI YANGU:
Kama hii ni kweli, kikatiba imekaaje? Kama Rais huyu mama kakubali ushauri huu, atakuwa anajua kweli jukumu na wajibu wake kama Rais wa nchi...? Kwanini washauri wake wakuu wamefanya hivi..?
Kuna possibility kubwa hili linaweza kuwa la kweli kwa kuangalia viashiria fulani fulani...
Hebu chunguzeni ziara na matukio ambayo Rais Samia Suluhu anapangiwa kushiriki kwa takribani miezi miwili iliyopita....
Ni yale ya utoto utoto tu ambayo siyo level yake kuyafanya kwani yangeweza kufanywa na wasaidizi wake kama waziri wa sekta husika, RC au DC...
Inashangaza kuwa anajihusisha ktk mambo madogo madogo mno huku akiacha kuumiza akili kushughulika na maswala serious kama vile hali ngumu ya uchumi, tozo kandamizi, hali tete na mbaya ya kisiasa na mengine mengi yanayohusu nchi na wananchi ambayo kwa sasa yanaelea elea hewani tu bila mwongozo thabiti toka kwa Rais kiongozi makini wa nchi...
Angalia matukio anayoshiriki Rais; mfano Royal Tour, kushiriki tamasha la ngoma za kienyeji Magu Mwanza nk nk ni ya kupumbaza tu, yasiyo na positive impact yoyote katika maisha ya watu kwa ujumla. Nyuma ya matukio haya lipo lengo fulani baya nyuma ya pazia. THE TIME WILL TELL...
Naweza kuamini hili la Tundu Lissu kwa 99%...
Nashauri serikali imfungulie mashtaka Wakili Msomi Tundu LISSU kwa kutoa taarifa za uongo na kusababisha taharuki kuwa Rais ametekwa/amewekwa mateka na Waziri Mkuu ndiye anaongoza nchi. Hata Kama yupo nje ya nchi anapaswa kuheshimu uhuru wa maoni. Mara nyingi akihojiwa na vyombo vya habari amekuwa akipotosha taarifa. Na hii si mara ya kwanza kutoa taarifa hizi. Hata wakati alipohojiwa na BBC alisema hili.
Hujui kitu chochote wewe. Hizi info ziko mitaani na hata mimi nimesikia kutoka kwa mtu credible sana. Wewe saizi yako ni hii thread za vijembe vya Chadema vs CCM. Habari nyeti kama hizi nina uhakika huwezi kuzijua.
Well saidItakuwa jambo zuri sana. Tunausubiri wakati huo kwa hamu..
Lakini haitakuwa kwa sababu "mambo yamemshinda huko" bali itakuwa kwa sababu "wasiojulikana, watakuwa wamejulikana" na mmoja mmoja kulipa gharama ya uovu wake...
Mmoja ameshapata adhabu ya natural death....kafa. Ni mpanga mwovu mkuu, Mwendazake JPM, shina na mzizi. Haya yaliyobaki ni matawi tu. Yatakauka soon...!
Heri mie naingiwa na dawa kuliko wewe unayeingiwa na mbhoooTulia dawa ikuingie taratibu.
Hayo chini ni maoni yako au ya tundu lisu?kama ni wewe basi utakuwa nzi mfuata kinyesi na mizogaAkiongea katika kipindi cha Maria Sarungi Space Jana akijibu maswali mbalimbali ya washiriki wa mjadala huo, Tundu Lissu ametoa taarifa serious kidogo kuhusu Rais na nchi yetu...
Kwamba, taarifa walizonazo kwa sasa ni kuwa "....Madam President Samia Suluhu Hassan is held hostage..." , kwamba si yeye anayeongoza nchi kwa sasa. Ameshauriwa yeye akae pembeni na swala la usalama wa nchi awaachie PM Majaliwa na waziri wa usalama, Mchengelewa washughulike nalo...
View attachment 1932324
MAONI YANGU:
Kama hii ni kweli, kikatiba imekaaje? Kama Rais huyu mama kakubali ushauri huu, atakuwa anajua kweli jukumu na wajibu wake kama Rais wa nchi...? Kwanini washauri wake wakuu wamefanya hivi..?
Kuna possibility kubwa hili linaweza kuwa la kweli kwa kuangalia viashiria fulani fulani...
Hebu chunguzeni ziara na matukio ambayo Rais Samia Suluhu anapangiwa kushiriki kwa takribani miezi miwili iliyopita....
Ni yale ya utoto utoto tu ambayo siyo level yake kuyafanya kwani yangeweza kufanywa na wasaidizi wake kama waziri wa sekta husika, RC au DC...
Inashangaza kuwa anajihusisha ktk mambo madogo madogo mno huku akiacha kuumiza akili kushughulika na maswala serious kama vile hali ngumu ya uchumi, tozo kandamizi, hali tete na mbaya ya kisiasa na mengine mengi yanayohusu nchi na wananchi ambayo kwa sasa yanaelea elea hewani tu bila mwongozo thabiti toka kwa Rais kiongozi makini wa nchi...
Angalia matukio anayoshiriki Rais; mfano Royal Tour, kushiriki tamasha la ngoma za kienyeji Magu Mwanza nk nk ni ya kupumbaza tu, yasiyo na positive impact yoyote katika maisha ya watu kwa ujumla. Nyuma ya matukio haya lipo lengo fulani baya nyuma ya pazia. THE TIME WILL TELL...
Naweza kuamini hili la Tundu Lissu kwa 99%...
Mbona kama jamaa anatomba
DadadadadekiBraza Lissu kaniangusha kwa hili. Nilimuomba asubiri kidogo tu wikendi ipite awahabarisge umma. Ila nimemuelewa ni mihemko tu ya Uzalendo. Kuna very sensitive issue nataka nimsogezee huyu mzalendo kutoka jikoni. Kuna classified documents nilizifumania jikoni yani zikimfikia Lissu taifa litasimama. Nimeshawaandaa vijana wangu Rama na Frenki kufanikisha kila kitu
Lissu anapaswa kuheshimu uhuru wa maoni ya nani ?Hata Kama yupo nje ya nchi anapaswa kuheshimu uhuru wa maoni.
Hapana. Kama unamaanisha Lissu ongeza wa kwenye neno la mwisho la anat...bwaMbona kama jamaa anatomba
Mabeyo tena? Wala hana muda mrefu huyo 'anastaafu', yule aliyeteuliwa kuwa mnadhimu mkuu anachukuwa nafasi yake.Narudia tena , niliisema sehemu Anayeongoza nchi ni Mabeyo na Vyombo vya Usalama Mama akiwa kama kivuli ila Majaliwa na mchengelwa hawana wanalojua hapo LISSU naye kachemka!!! Nchi iko kwa Mabeyo kitambo sana
Britanicca