Lissu afunguliwe mashtaka kwa kutoa taarifa za uongo

Lissu afunguliwe mashtaka kwa kutoa taarifa za uongo

Mama Hangaya yupo held hostage na anatumwatumwa
hovyo kama housegirl.

Hizi so called “royal tours” ni vituko vitupu na matumizi mabaya sana ya muda na nguvu za mtu anayepaswa kuwa Rais wa Nchi
2A11D5B4-155D-4C96-854A-11CAA9E0C52D.jpeg
 
Na
Kinachowatesa chadema sasa hivi ni kwamba walimsifia sana mama mwanzoni pale.

Awali mlisema anaongozwa na team jk, baada ya kuona amewawashia moto na wakati mlimsifia sana ndio mnaanza kusema ametekwa!
Wana hasira sana na mama, hakuna kitu wataacha kuzusha. Hata kama sijui Majaliwa, sijui TISS, then so what? Majaliwa ni waziri mkuu, right hand man wa mkuu wa nchi. Mambo yote ya kiserikali anayotaka Rais yafanyike yatafanyika kupitia Majaliwa. Kikatiba. TISS ni intelligence gathering institution ya nchi. Hakuna kitu Rais wa nchi atafanya bila kupewa go ahead au kushauriwa na watu wa TISS.

Sasa kuna kipya gani hapo cha kustua kwenye porojo za Lissu?
 
Kwani huyu majaliwa si mlisema ni sukuma gang na mlisema mama anawakoemsha?
Kalete statement yangu popote nilipoandika neno 'Sukuma gang'na mama anaupiga mwingi" short of that utakuwa umekosa uteuzi tu unamaliza stress zako JF
 
LISSU anatakiwa mambo mengine akae Kimya yanamshushia credibility, nchi inajulikana anayeongoza ni nani hata Majaliwa hana ubavu huo! Na take over ilifanyika tokea mwezi March 13 ,2021 … LISSU ajichunge sana na Rwehumbiza atamuingiza Chaka kwa baadhi ya Taarifa
Rwehumbiza ni nani!?
 
Kalete statement yangu popote nilipoandika neno 'Sukuma gang'na mama anaupiga mwingi" short of that utakuwa umekosa uteuzi tu unamaliza stress zako JF
Kila mtu humu jf anatafuta uteuzi?

Bavicha wenzio walikuwa wanachekelea kila siku humu kwamba mama anaupiga mwingi. Anawakomesha mataga na sukuma gang.

Leo hii wanalia kwamba sukuma gang ndio wanaongoza nchi?
 
Kila mtu humu jf anatafuta uteuzi?

Bavicha wenzio walikuwa wanachekelea kila siku humu kwamba mama anaupiga mwingi. Anawakomesha mataga na sukuma gang.

Leo hii wanalia kwamba sukuma gang ndio wanaongoza nchi?
Nenda kawajibu hao siyo mimi
 
Akiongea katika kipindi cha Maria Sarungi Space Jana akijibu maswali mbalimbali ya washiriki wa mjadala huo, Tundu Lissu ametoa taarifa serious kidogo kuhusu Rais na nchi yetu...

Kwamba, taarifa walizonazo kwa sasa ni kuwa "....Madam President Samia Suluhu Hassan is held hostage..." , kwamba si yeye anayeongoza nchi kwa sasa. Ameshauriwa yeye akae pembeni na swala la usalama wa nchi awaachie PM Majaliwa na waziri wa usalama, Mchengelewa washughulike nalo...
View attachment 1932324

MAONI YANGU:

Kama hii ni kweli, kikatiba imekaaje? Kama Rais huyu mama kakubali ushauri huu, atakuwa anajua kweli jukumu na wajibu wake kama Rais wa nchi...? Kwanini washauri wake wakuu wamefanya hivi..?

Kuna possibility kubwa hili linaweza kuwa la kweli kwa kuangalia viashiria fulani fulani...

Hebu chunguzeni ziara na matukio ambayo Rais Samia Suluhu anapangiwa kushiriki kwa takribani miezi miwili iliyopita....

Ni yale ya utoto utoto tu ambayo siyo level yake kuyafanya kwani yangeweza kufanywa na wasaidizi wake kama waziri wa sekta husika, RC au DC...

Inashangaza kuwa anajihusisha ktk mambo madogo madogo mno huku akiacha kuumiza akili kushughulika na maswala serious kama vile hali ngumu ya uchumi, tozo kandamizi, hali tete na mbaya ya kisiasa na mengine mengi yanayohusu nchi na wananchi ambayo kwa sasa yanaelea elea hewani tu bila mwongozo thabiti toka kwa Rais kiongozi makini wa nchi...

Angalia matukio anayoshiriki Rais; mfano Royal Tour, kushiriki tamasha la ngoma za kienyeji Magu Mwanza nk nk ni ya kupumbaza tu, yasiyo na positive impact yoyote katika maisha ya watu kwa ujumla. Nyuma ya matukio haya lipo lengo fulani baya nyuma ya pazia. THE TIME WILL TELL...

Naweza kuamini hili la Tundu Lissu kwa 99%...

"She is held hostage. Wanaoendesha nchi ni wasiojulikana na front man ni Kassim Majaliwa. Ameshauriwa akae pembeni wao watatushughulikia."

It makes lots of sense.
 
Kuwa “held hostage” sio lazima uwe umepigwa pingu under lock & key. Unaweza kuwa unazunguka huko na huko controlled by remote control.

Yaani unapangiwa tu nini useme/usiseme, nini ufanye/usifanye na wapi uende/usiende etc na kundi la watu flani ambao huna cha kuwafanya kwa kuwa most likely wana kitu flani against you (sort of blackmailing).

Ndicho Hangaya anacho experience kwa sasa.
 
Inaonekana mmeumia sana baada ya ukweli huu kuwekwa hadharani na Lissu.

Siku 100 alijaribu...ila baada ya speech yake tu ... wenye nchi yao wameichukua kabakia cerebrete president, kupiga picha na twiga wakati our national is in crisis.
 
Back
Top Bottom