Lissu afunguliwe mashtaka kwa kutoa taarifa za uongo

Lissu afunguliwe mashtaka kwa kutoa taarifa za uongo

Eti halafu nyinyi ndio mpewe nchi muongoze??? Badala ya kushughulika na vitu vya maana mnaendekeza umbea tu.

Nyinyi endeleeni kupiga soga huku CCM inajipanga na mikutano ya mpaka kwenye matawi huko. Mkija mkishtuka ni July 2025, mnachezea kichapo tena ikifika October 2025 mnaanza kujazana ujinga wa muandamane.

Ama kweli CCM itaendelea kutawala for more years to come.

Viva CCM viva Mama Samia Suluhu Hassan.
Ulivyo mjibu ni kama wewe ndio Samia mwenyewe vile..
 
Hii story asilimia kubwa ina ukweli, mambo anayofanya Samia currently at the middle of kesi za ajabu za kina Mbowe yana prove point. Huu ukandamizaji wapinzani kwa kesi za kubambika sio hulka ya Samia ile, kuna watu nyuma yake.
Kinachowatesa chadema sasa hivi ni kwamba walimsifia sana mama mwanzoni pale.

Awali mlisema anaongozwa na team jk, baada ya kuona amewawashia moto na wakati mlimsifia sana ndio mnaanza kusema ametekwa!
 
Braza Lissu kaniangusha kwa hili. Nilimuomba asubiri kidogo tu wikendi ipite awahabarisge umma. Ila nimemuelewa ni mihemko tu ya Uzalendo. Kuna very sensitive issue nataka nimsogezee huyu mzalendo kutoka jikoni. Kuna classified documents nilizifumania jikoni yani zikimfikia Lissu taifa litasimama. Nimeshawaandaa vijana wangu Rama na Frenki kufanikisha kila kitu
 
Sijawahi kumpuuza Tundu, aliwahi kutuambia jamaa haonekani kanisani wala ikulu watu wakabisha na kutoa mapovu lakini baadae wakaona aibu wenyewe!

Kwahyo hata kwenye hili anaweza asiwe sahihi 100% lakini kwa kiasi fulani kuna harufu ya ukweli!!!
Na hilo ndio lina mfanya Lisu aendelee kuteka akili za wajinga
 
Braza Lissu kaniangusha kwa hili. Nilimuomba asubiri kidogo tu wikendi ipite awahabarisge umma. Ila nimemuelewa ni mihemko tu ya Uzalendo. Kuna very sensitive issue nataka nimsogezee huyu mzalendo kutoka jikoni. Kuna classified documents nilizifumania jikoni yani zikimfikia Lissu taifa litasimama. Nimeshawaandaa vijana wangu Rama na Frenki kufanikisha kila kitu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii mitandao jamani
 
Narudia tena , niliisema sehemu Anayeongoza nchi ni Mabeyo na Vyombo vya Usalama Mama akiwa kama kivuli ila Majaliwa na mchengelwa hawana wanalojua hapo LISSU naye kachemka!!! Nchi iko kwa Mabeyo kitambo sana

Britanicca
Mbona mnazidi kutuchanganya asee. Si muweke kikao mje na kauli moja wandugu

Sent from my SM-N975F using JamiiForums mobile app
 
Eti halafu nyinyi ndio mpewe nchi muongoze??? Badala ya kushughulika na vitu vya maana mnaendekeza umbea tu.

Nyinyi endeleeni kupiga soga huku CCM inajipanga na mikutano ya mpaka kwenye matawi huko. Mkija mkishtuka ni July 2025, mnachezea kichapo tena ikifika October 2025 mnaanza kujazana ujinga wa muandamane.

Ama kweli CCM itaendelea kutawala for more years to come.

Viva CCM viva Mama Samia Suluhu Hassan.
CCM inafanya vikao lakini wengine hawaruhusiwi kufanya vikao hiyo wewe unaona ni sahihi ?
 
Akiongea katika kipindi cha Maria Sarungi Space Jana akijibu maswali mbalimbali ya washiriki wa mjadala huo, Tundu Lissu ametoa taarifa serious kidogo kuhusu Rais na nchi yetu...

Kwamba, taarifa walizonazo kwa sasa ni kuwa "....Madam President Samia Suluhu Hassan is held hostage..." , kwamba si yeye anayeongoza nchi kwa sasa. Ameshauriwa yeye akae pembeni na swala la usalama wa nchi awaachie PM Majaliwa na waziri wa usalama, Mchengelewa washughulike nalo...
View attachment 1932324

MAONI YANGU:

Kama hii ni kweli, kikatiba imekaaje? Kama Rais huyu mama kakubali ushauri huu, atakuwa anajua kweli jukumu na wajibu wake kama Rais wa nchi...? Kwanini washauri wake wakuu wamefanya hivi..?

Kuna possibility kubwa hili linaweza kuwa la kweli kwa kuangalia viashiria fulani fulani...

Hebu chunguzeni ziara na matukio ambayo Rais Samia Suluhu anapangiwa kushiriki kwa takribani miezi miwili iliyopita....

Ni yale ya utoto utoto tu ambayo siyo level yake kuyafanya kwani yangeweza kufanywa na wasaidizi wake kama waziri wa sekta husika, RC au DC...

Inashangaza kuwa anajihusisha ktk mambo madogo madogo mno huku akiacha kuumiza akili kushughulika na maswala serious kama vile hali ngumu ya uchumi, tozo kandamizi, hali tete na mbaya ya kisiasa na mengine mengi yanayohusu nchi na wananchi ambayo kwa sasa yanaelea elea hewani tu bila mwongozo thabiti toka kwa Rais kiongozi makini wa nchi...

Angalia matukio anayoshiriki Rais; mfano Royal Tour, kushiriki tamasha la ngoma za kienyeji Magu Mwanza nk nk ni ya kupumbaza tu, yasiyo na positive impact yoyote katika maisha ya watu kwa ujumla. Nyuma ya matukio haya lipo lengo fulani baya nyuma ya pazia. THE TIME WILL TELL...

Naweza kuamini hili la Tundu Lissu kwa 99%...
Udaku!!

Sent from my MRD-LX1F using JamiiForums mobile app
 
LISSU anatakiwa mambo mengine akae Kimya yanamshushia credibility, nchi inajulikana anayeongoza ni nani hata Majaliwa hana ubavu huo! Na take over ilifanyika tokea mwezi March 13 ,2021 … LISSU ajichunge sana na Rwehumbiza atamuingiza Chaka kwa baadhi ya Taarifa
Leo wabunge walimshangilia sana Kassimu Majaliwa bungeni tunaodadisi kila kitu hali ile haikuwa ya kawaida.

Shift of loyalty
 
Braza Lissu kaniangusha kwa hili. Nilimuomba asubiri kidogo tu wikendi ipite awahabarisge umma. Ila nimemuelewa ni mihemko tu ya Uzalendo. Kuna very sensitive issue nataka nimsogezee huyu mzalendo kutoka jikoni. Kuna classified documents nilizifumania jikoni yani zikimfikia Lissu taifa litasimama. Nimeshawaandaa vijana wangu Rama na Frenki kufanikisha kila kitu
Kabisa nimeungana na wewe kwa maono yako hii ni kweli hakupaswa kusema hiz mambo!!

LISSU ni mtu mkubwa sana hapaswi kubase kwa taarifa ambazo zinaonotezwa Mtandaoni na alichosema siyo sahihi
 
Kwa hiyo Mchengelwa na Majaliwa' ndio wanaongoza nchi? Ni upuuzi.
 
Lisu ni debe tupu yule!

Yani haya uliyosema ndio unaona lisu ni mtu wa maana?
2921857_20210909_221827.jpg

Hangaya ni dereva kipofu. Anaonekana anaendesha gari lakini kumbe sio yeye kuna watu behind the wheel.

Hangaya is not on the wheel.
 
Eti halafu nyinyi ndio mpewe nchi muongoze??? Badala ya kushughulika na vitu vya maana mnaendekeza umbea tu.

Nyinyi endeleeni kupiga soga huku CCM inajipanga na mikutano ya mpaka kwenye matawi huko. Mkija mkishtuka ni July 2025, mnachezea kichapo tena ikifika October 2025 mnaanza kujazana ujinga wa muandamane.

Ama kweli CCM itaendelea kutawala for more years to come.

Viva CCM viva Mama Samia Suluhu Hassan.
Of course itatawala milele, out of prescription.
 
Kwani ameanza lini matumizi ya bangi huyu Mbelgiji? [emoji1787]
 
Siwezi amini hili. Maana ingelikuwa ni kweli tungeona huyo PM anatoka kwa jamii muda mara kadhaa na kutoa maelekezo yenye kuonesha mamlaka hayo. Lakini badala yake, ktk kipindi ambacho Pm na Vice wamekuwa kimnya sn ni hiki. Kila mtu anafanya shughuli zake kama vile hakuna mtu kabisa.
 
Hujaelewa wewe na Lissu huyu anashauriwa na kikuboy...

Kwasasa anajenga jina na umaarufu ndomana anashiriki masherehe,anapunguza matozo,ataongeza mishahara,atatoa ajira nk. kusudi apendwe nawatu kufikia 2025 apite kirahisi.

Baadae miaka mitano yamwisho ndiyo ya kujengajenga kuacha legacy maana hugombei tena
 
Back
Top Bottom