Lissu afunguliwe mashtaka kwa kutoa taarifa za uongo

Lissu afunguliwe mashtaka kwa kutoa taarifa za uongo

Akiongea katika kipindi cha Maria Sarungi Space Jana akijibu maswali mbalimbali ya washiriki wa mjadala huo, Tundu Lissu ametoa taarifa serious kidogo kuhusu Rais na nchi yetu...

Kwamba, taarifa walizonazo kwa sasa ni kuwa "....Madam President Samia Suluhu Hassan is held hostage..." , kwamba si yeye anayeongoza nchi kwa sasa. Ameshauriwa yeye akae pembeni na swala la usalama wa nchi awaachie PM Majaliwa na waziri wa usalama, Mchengelewa washughulike nalo...
View attachment 1932324

MAONI YANGU:

Kama hii ni kweli, kikatiba imekaaje? Kama Rais huyu mama kakubali ushauri huu, atakuwa anajua kweli jukumu na wajibu wake kama Rais wa nchi...? Kwanini washauri wake wakuu wamefanya hivi..?

Kuna possibility kubwa hili linaweza kuwa la kweli kwa kuangalia viashiria fulani fulani...

Hebu chunguzeni ziara na matukio ambayo Rais Samia Suluhu anapangiwa kushiriki kwa takribani miezi miwili iliyopita....

Ni yale ya utoto utoto tu ambayo siyo level yake kuyafanya kwani yangeweza kufanywa na wasaidizi wake kama waziri wa sekta husika, RC au DC...

Inashangaza kuwa anajihusisha ktk madodo madogo akiacha kuumiza akili na kushughulika na maswala serious kama vile hali ngumu ya uchumi, tozo kandamizi, hali tete na mbaya ya kisiasa na mengine mengi yanayohusu nchi na wananchi ambayo kwa sasa yanaelea elea hewani tu bila mwongozo thabiti toka kwa Rais kiongozi makini wa nchi...

Angalia matukio anayoshiriki Rais; mfano Royal Tour, kushiriki tamasha la ngoma za kienyeji Magu Mwanza nk nk ni ya kupumbaza tu, yasiyo na positive impact yoyote katika maisha ya watu kwa ujumla. Nyuma ya matukio haya lipo lengo fulani baya nyuma ya pazia. THE TIME WILL TELL...

Naweza kuamini hili la Tundu Lissu kwa 99%...
Samia Suluhu Hassan kwa sasa ni ngumu sana kumtofautisha na ceremonial leader.
 
Hata aliposema magufuli kashaded mlimzihaki lakn mwisho mlifichua.

Hayuko serikalini lakni anapata taarifa kulikoni wewe uliyehapo lumumba.
Ni upuuzi kuamini taarifa ambazo hazijathibitishwa.

Uwe sisiemu uwe chadema uwe lumumba au uwe ufipa.
 
WanaCCM wenzangu,
Hoja aina hii siyo za kukurupukia maana mtu kama Lissu lazima atakuwa na mvujisha taarifa kutoka pakachani.

Naona watu wanajibu kwa kebehi
Kuna jambo halipo sawa and yet we joke about it.

I can sense indoor plumbing
Ni kweli usemayo.

Lissu yupo connected kwa asilimia 70.

Ila nimefuatilia suala la kesi ya Mbowe ndio nimegundua kuwa kuna mchezo wa chess.

Lakini hii yaweza kuwa asilimia 80 kweli.

NIliwahi kusema huko nyuma kuwa CCM pana kampasuko ambako kanadhibitiwa na pande tatu akiwemo KM.
 
Aisee.. Lisu kafikia hapa?
Lissu kafika hapa, wapi ????

Si mara ya kwanza Lissu ku expose ma skandali ya tawala za nchi hii…

Lissu ndie aliyeliambia taifa kwamba mweka hazina wa nchi ni mtoto wa dadaake Rais, kila hela anayotaka Rais wanaongea kwenye simu wawili inapita… mchana huo huo akatwangwa risasi 16….

Ajabu na aibu mtu mmoja nje ya bunge anafanya kazi ya oversight and restraint of government kubwa kuliko bunge zima la chama kimoja.
 
Eti halafu nyinyi ndio mpewe nchi muongoze??? Badala ya kushughulika na vitu vya maana mnaendekeza umbea tu.

Nyinyi endeleeni kupiga soga huku CCM inajipanga na mikutano ya mpaka kwenye matawi huko. Mkija mkishtuka ni July 2025, mnachezea kichapo tena ikifika October 2025 mnaanza kujazana ujinga wa muandamane.

Ama kweli CCM itaendelea kutawala for more years to come.

Viva CCM viva Mama Samia Suluhu Hassan.
Royal tour ndio kitu cha maana ?
 
Akiongea katika kipindi cha Maria Sarungi Space Jana akijibu maswali mbalimbali ya washiriki wa mjadala huo, Tundu Lissu ametoa taarifa serious kidogo kuhusu Rais na nchi yetu...

Kwamba, taarifa walizonazo kwa sasa ni kuwa "....Madam President Samia Suluhu Hassan is held hostage..." , kwamba si yeye anayeongoza nchi kwa sasa. Ameshauriwa yeye akae pembeni na swala la usalama wa nchi awaachie PM Majaliwa na waziri wa usalama, Mchengelewa washughulike nalo...
View attachment 1932324

MAONI YANGU:

Kama hii ni kweli, kikatiba imekaaje? Kama Rais huyu mama kakubali ushauri huu, atakuwa anajua kweli jukumu na wajibu wake kama Rais wa nchi...? Kwanini washauri wake wakuu wamefanya hivi..?

Kuna possibility kubwa hili linaweza kuwa la kweli kwa kuangalia viashiria fulani fulani...

Hebu chunguzeni ziara na matukio ambayo Rais Samia Suluhu anapangiwa kushiriki kwa takribani miezi miwili iliyopita....

Ni yale ya utoto utoto tu ambayo siyo level yake kuyafanya kwani yangeweza kufanywa na wasaidizi wake kama waziri wa sekta husika, RC au DC...

Inashangaza kuwa anajihusisha ktk mambo madogo madogo mno huku akiacha kuumiza akili kushughulika na maswala serious kama vile hali ngumu ya uchumi, tozo kandamizi, hali tete na mbaya ya kisiasa na mengine mengi yanayohusu nchi na wananchi ambayo kwa sasa yanaelea elea hewani tu bila mwongozo thabiti toka kwa Rais kiongozi makini wa nchi...

Angalia matukio anayoshiriki Rais; mfano Royal Tour, kushiriki tamasha la ngoma za kienyeji Magu Mwanza nk nk ni ya kupumbaza tu, yasiyo na positive impact yoyote katika maisha ya watu kwa ujumla. Nyuma ya matukio haya lipo lengo fulani baya nyuma ya pazia. THE TIME WILL TELL...

Naweza kuamini hili la Tundu Lissu kwa 99%...
Mtafute mwamba anaitwa Tumia akili naweza kujibu hizi hoja zako
 
Akiongea katika kipindi cha Maria Sarungi Space Jana akijibu maswali mbalimbali ya washiriki wa mjadala huo, Tundu Lissu ametoa taarifa serious kidogo kuhusu Rais na nchi yetu...

Kwamba, taarifa walizonazo kwa sasa ni kuwa "....Madam President Samia Suluhu Hassan is held hostage..." , kwamba si yeye anayeongoza nchi kwa sasa. Ameshauriwa yeye akae pembeni na swala la usalama wa nchi awaachie PM Majaliwa na waziri wa usalama, Mchengelewa washughulike nalo...
View attachment 1932324

MAONI YANGU:

Kama hii ni kweli, kikatiba imekaaje? Kama Rais huyu mama kakubali ushauri huu, atakuwa anajua kweli jukumu na wajibu wake kama Rais wa nchi...? Kwanini washauri wake wakuu wamefanya hivi..?

Kuna possibility kubwa hili linaweza kuwa la kweli kwa kuangalia viashiria fulani fulani...

Hebu chunguzeni ziara na matukio ambayo Rais Samia Suluhu anapangiwa kushiriki kwa takribani miezi miwili iliyopita....

Ni yale ya utoto utoto tu ambayo siyo level yake kuyafanya kwani yangeweza kufanywa na wasaidizi wake kama waziri wa sekta husika, RC au DC...

Inashangaza kuwa anajihusisha ktk mambo madogo madogo mno huku akiacha kuumiza akili kushughulika na maswala serious kama vile hali ngumu ya uchumi, tozo kandamizi, hali tete na mbaya ya kisiasa na mengine mengi yanayohusu nchi na wananchi ambayo kwa sasa yanaelea elea hewani tu bila mwongozo thabiti toka kwa Rais kiongozi makini wa nchi...

Angalia matukio anayoshiriki Rais; mfano Royal Tour, kushiriki tamasha la ngoma za kienyeji Magu Mwanza nk nk ni ya kupumbaza tu, yasiyo na positive impact yoyote katika maisha ya watu kwa ujumla. Nyuma ya matukio haya lipo lengo fulani baya nyuma ya pazia. THE TIME WILL TELL...

Naweza kuamini hili la Tundu Lissu kwa 99%...
Noma sana !
 
Lissu kafiki hapa, wapi ???

Lissu ndie aliyeliambia taifa kwamba mweka hazina wa nchi ni mtoto wa dadaake Rais, kila hela anayotaka Rais wanaongea kwenye simu wawili inapita… mchana huo huo akatwangwa risasi 16….

Si mara ya kwanza Lissu ku expose ma skandali ya tawala za nchi hii…

Ajabu na aibu mtu mmoja anafanya kazi ya oversight and restraint of government kubwa kuliko bunge zima la chama kimoja.
Lisu ni debe tupu yule!

Yani haya uliyosema ndio unaona lisu ni mtu wa maana?
 
Kazi ya kwanza ya Rais yoyote duniani ni kuwaunganisha wananchi wake wote na kuwa kitu kimoja, kutibu majeraha na kuwasikiliza wachache na kufikia muafaka.

Bàda ya hapo kazi ya pili huwa ni kujenga uchumi wa taifa.

Sasa kujaribu kujenga uchumi wa taifa bila kutibu majeraha yaliyoachwa na uchaguzi mkuu ni sawa na kupaua bati za msauzi kwenye nyumba ya matope.
 
Lisu ni debe tupu yule!

Yani haya uliyosema ndio unaona lisu ni mtu wa maana?
Debe tupu?

Angekuwa “debe tupu” statehouse and state security wasingehangaika na kulalamika kwamba anadhihaki hatua za serikali kupambana na mabeberu, na baadae kuamumuru auliwe!

Rais alisema anaezodoa juhudi zake za kuminya mirija ya unyonyaji wa madini ni saliti, na dawa ya saliti ni kuuliwa. Masaa mawili baadae wakamrushia risasi 32, zikampata 16.

Anawanyima usingizi, unamwitaje “debe tupu” ?????
 
Lissu alivyosema mwendazake haonekani hadharani wiki na ushee sasa mkasema jamaa kageuka mpiga ramli.. haya sasa kazi kwenu kwenye hili.

Binafsi Lissu hajawahi niangusha.
 
Kama hizi tuhuma ni za kweli na siyo conspiracy theory basi Tanzania imegeuka Pakistan. Jeshi na vyombo vya usalama vya Pakistan ndiyo vinatawala nchi badala ya serikali iliyopigiwa kura na raia. Kwa hiyo kama ni kweli kilichoongelewa na Lissu basi nchi yetu imegeuka kuwa Pakistan. #Tanzanistan.
 
Eti halafu nyinyi ndio mpewe nchi muongoze??? Badala ya kushughulika na vitu vya maana mnaendekeza umbea tu.

Nyinyi endeleeni kupiga soga huku CCM inajipanga na mikutano ya mpaka kwenye matawi huko. Mkija mkishtuka ni July 2025, mnachezea kichapo tena ikifika October 2025 mnaanza kujazana ujinga wa muandamane.

Ama kweli CCM itaendelea kutawala for more years to come.

Viva CCM viva Mama Samia Suluhu Hassan.
Wewe uliwaruhusu kufanya mikutano.
 
Back
Top Bottom