Lissu afunguliwe mashtaka kwa kutoa taarifa za uongo

Lissu afunguliwe mashtaka kwa kutoa taarifa za uongo

Kama mfuatiliaji wa historia ya Mashariki ya mbali korea ,china, japan .... Han Clan ilitawala sana maeneo hayo ... Lilitokea vugu vugu maeneo ya wakazi kusini mashariki ya south Korea taifa moja la Gaya likazaliwa na ndio lilokuja kuungana na kuishusha Baekje na sehemu ya Goryeo(Goguryeo) na kuunda taifa jipya lililo kuwa na nguvu la Shilla ... Hapa naunganisha tu Han - Gaya .. Na huyu chief Hangaya ataleta shida... (Kwa muda wako soma hiyo historia ya hizo dynaties Han, Gaya, Shilla, Goryeo, na Goguryeo). Ndio North na Msouth Korea wa leo .
Asante nitafuatila,
 
Soon mtamuona akirejea nyumbani baada ya mambo kumshinda huko aliko.
Itakuwa jambo zuri sana. Tunausubiri wakati huo kwa hamu..

Lakini haitakuwa kwa sababu "mambo yamemshinda huko" bali itakuwa kwa sababu "wasiojulikana, watakuwa wamejulikana" na mmoja mmoja kulipa gharama ya uovu wake...

Mmoja ameshapata adhabu ya natural death....kafa. Ni mpanga mwovu mkuu, Mwendazake JPM, shina na mzizi. Haya yaliyobaki ni matawi tu. Yatakauka soon...!
 
LISSU anatakiwa mambo mengine akae Kimya yanamshushia credibility, nchi inajulikana anayeongoza ni nani hata Majaliwa hana ubavu huo! Na take over ilifanyika tokea mwezi March 13 ,2021 … LISSU ajichunge sana na Rwehumbiza atamuingiza Chaka kwa baadhi ya Taarifa
Kwa mjibu wa uzi wako umedai anayeongoza nchi kwa sasa ni CDF. Haoni uchumi wa nchi unavyoingizwa shimoni kwa tozo na mikopo isiyo na tija kwa Taifa letu?
 
Mambo huanza hivi hivi.
Zinaanza kama tetesi lakini mwisho wa siku zinakuwa kweli kwa 100%, kama kifo cha Magu kilivyokuwa....

Kwa jinsi nchi inavyopelekwa kipuuzi fulani hivi na namna mama alivyogeuka ghafla ndani ya muda mfupi sana, bila shaka hana control na kiti chake tena. Lazima kuna kakikundi kamepora madaraka yake.

Tujipe muda.
Muda ni mwalimu mzuri sana.
 
LISSU anatakiwa mambo mengine akae Kimya yanamshushia credibility, nchi inajulikana anayeongoza ni nani hata Majaliwa hana ubavu huo! Na take over ilifanyika tokea mwezi March 13 ,2021 … LISSU ajichunge sana na Rwehumbiza atamuingiza Chaka kwa baadhi ya Taarifa
Hujui kitu chochote wewe. Hizi info ziko mitaani na hata mimi nimesikia kutoka kwa mtu credible sana. Wewe saizi yako ni hii thread za vijembe vya Chadema vs CCM. Habari nyeti kama hizi nina uhakika huwezi kuzijua.
 
Kama mfuatiliaji wa historia ya Mashariki ya mbali korea ,china, japan .... Han Clan ilitawala sana maeneo hayo ... Lilitokea vugu vugu maeneo ya wakazi kusini mashariki ya south Korea taifa moja la Gaya likazaliwa na ndio lilokuja kuungana na kuishusha Baekje na sehemu ya Goryeo(Goguryeo) na kuunda taifa jipya lililo kuwa na nguvu la Shilla ... Hapa naunganisha tu Han - Gaya .. Na huyu chief Hangaya ataleta shida... (Kwa muda wako soma hiyo historia ya hizo dynaties Han, Gaya, Shilla, Goryeo, na Goguryeo). Ndio North na Msouth Korea wa leo .
Very interesting. Nimeipenda hii...

Ukipata wasaa wa kutosha, tueleze hili kwa mapana yake na uhusiano wake na hali ya nchi yetu sasa ktk uzi maalumu kabisa..
 
Ni upuuzi kuamini habari hii kisa tu tundu islu aemsema.

Bali kudai uthibitisho kwa tundu lissu juu ya alichosema ndio kuwa na akili kwenyewe.

Mtu anaweza kukuona unaenda guest kila siku akakuzushia kwqmba una malaya wako unagonga hapo na mtu ukaamini kutokana na mazingira yanavyoshabihiana lakini ushahidi hana.

Mtu anaweza kukuona unajuana na shoga fulani akakuzushia kwamba unapiga yule shoga na mtu akaamini kwamba ni kweli kutokana na mazingira yanavyoshabihiana,ushahihi ni kudai ushahidi wa madai.

Suala hili Tundu lissu anatakiwa atoe ushahidi badala ya kutumia mazingira ambayo yanaonekana kama kushabihiana na maneno yake.

Watanzania tunatakiwa tuache utumwa wa fikra usiamini moinzani wala mtawala mpaka uhoji kwa kina upewe ushahidi wa maneno yake
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Subiri ushahidi kwenye mitandao. Utakuja!!🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hii story asilimia kubwa ina ukweli, mambo anayofanya Samia currently at the middle of kesi za ajabu za kina Mbowe yana prove point. Huu ukandamizaji wapinzani kwa kesi za kubambika sio hulka ya Samia ile, kuna watu nyuma yake.
 
jameni si mlisema Majaliwa ni team Magu, na ni lazima atashughulikiwa na mama!

nguvu ya kumshinda chief hangaya kaitoa wapi?

hivi mnajua nguvu ya chief hangaya kikatiba?

mnajua kwa mujibu wa katiba, chief hangaya anaweza kukataa ushauri kutoka kwa yeyote!

mbona mnaamini hizi cheap politics

oooh sawa kumbe ni nyumbu!!!
 
Natudia niliisema sehemu Anayeongoza nchi ni Mabeyo na Vyombo vya Usalama Mama akiwa kama kivuli ila Majaliwa na mchengelwa hawana wanalojua hapo LISSU naye kachemka!!! Nchi iko kwa Mabeyo kitambo sana

Britanicca
Ohooo. Kumbe msimamo wako ni huu. Basi niombe samahani kwa post ya nyuma niliyokushambulia. Nilidhani unasema kuwa mama ''amewekwa benchi'' ni uzushi. Kumbe wewe unatofautiana kuhusu watu waliyo nyuma ya sakata. Nakubalina na wewe na samahani kwa mara nyingine.
 
Itakuwa jambo zuri sana. Tunausubiri wakati huo kwa hamu..

Lakini haitakuwa kwa sababu "mambo yamemshinda huko" bali itakuwa kwa sababu "wasiojulikana, watakuwa wamejulikana" na mmoja mmoja kulipa gharama ya uovu wake...

Mmoja ameshapata adhabu ya natural death....kafa. Ni mpanga mwovu mkuu, Mwendazake JPM, shina na mzizi. Haya yaliyobaki ni matawi tu. Yatakauka soon...!
😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡
 
Ni upuuzi kuamini habari hii kisa tu tundu islu aemsema.

Bali kudai uthibitisho kwa tundu lissu juu ya alichosema ndio kuwa na akili kwenyewe.

Mtu anaweza kukuona unaenda guest kila siku akakuzushia kwqmba una malaya wako unagonga hapo na mtu ukaamini kutokana na mazingira yanavyoshabihiana lakini ushahidi hana.

Mtu anaweza kukuona unajuana na shoga fulani akakuzushia kwamba unapiga yule shoga na mtu akaamini kwamba ni kweli kutokana na mazingira yanavyoshabihiana,ushahihi ni kudai ushahidi wa madai.

Suala hili Tundu lissu anatakiwa atoe ushahidi badala ya kutumia mazingira ambayo yanaonekana kama kushabihiana na maneno yake.

Watanzania tunatakiwa tuache utumwa wa fikra usiamini moinzani wala mtawala mpaka uhoji kwa kina upewe ushahidi wa maneno yake
Hata aliposema magufuli kashaded mlimzihaki lakn mwisho mlifichua.

Hayuko serikalini lakni anapata taarifa kulikoni wewe uliyehapo lumumba.
 
..Maza ikifika 2025 anasepa na kurudi kwao Makunduchi.

..SSH hakuwahi kutamani kuwa Rais, na mafao ya Raisi mstaafu yanamtosha kutimiza ndoto na malengo yake.

It is, what it is. Kuna sehemu yapo maswali hayana majibu
 
Back
Top Bottom