Lissu afunguliwe mashtaka kwa kutoa taarifa za uongo

Lissu afunguliwe mashtaka kwa kutoa taarifa za uongo

Whatever it takes...

Makosa makubwa kabisa yalifanyika 2015 itachukua muda sana nchi kupona kwa iliyoyapata ni muda tu ndio utakua muamuzi..

It will take time hadi watu wa regime ile wabaki walau theluthi moja ndio tunaweza kuanza upya!
 
Natudia niliisema sehemu Anayeongoza nchi ni Mabeyo na Vyombo vya Usalama Mama akiwa kama kivuli ila Majaliwa na mchengelwa hawana wanalojua hapo LISSU naye kachemka!!! Nchi iko kwa Mabeyo kitambo sana

Britanicca

..kwa hiyo Mabeyo ndio asiyependa makongamano?

..Na Mabeyo ndiye aliyetupandishia kodi na tozo za miamala?
 
WanaCCM wenzangu,
Hoja aina hii siyo za kukurupukia maana mtu kama Lissu lazima atakuwa na mvujisha taarifa kutoka pakachani.

Naona watu wanajibu kwa kebehi
Kuna jambo halipo sawa and yet we joke about it.

I can sense indoor plumbing

You truly a Great Thinker...

You are very intelligent...

Hii kitu inatafakarisha sana hasa uki connect dots za matukio ya ajabu ajabu yanayotokea...

Hata mijadala inayoendeshwa kule space ni ya kimkakati zaidi kuibua mambo yasiyoweza kuibukika ktk mazingira ya kawaida kufikisha ujumbe kwa serikali na umma kujipima..!!
 
Akiongea katika kipindi cha Maria Sarungi Space Jana akijibu maswali mbalimbali ya washiriki wa mjadala huo, Tundu Lissu ametoa taarifa serious kidogo kuhusu Rais na nchi yetu...

Kwamba, taarifa walizonazo kwa sasa ni kuwa "....Madam President Samia Suluhu Hassan is held hostage..." , kwamba si yeye anayeongoza nchi kwa sasa. Ameshauriwa yeye akae pembeni na swala la usalama wa nchi awaachie PM Majaliwa na waziri wa usalama, Mchengelewa washughulike nalo...
View attachment 1932324

MAONI YANGU:

Kama hii ni kweli, kikatiba imekaaje? Kama Rais huyu mama kakubali ushauri huu, atakuwa anajua kweli jukumu na wajibu wake kama Rais wa nchi...? Kwanini washauri wake wakuu wamefanya hivi..?

Kuna possibility kubwa hili linaweza kuwa la kweli kwa kuangalia viashiria fulani fulani...

Hebu chunguzeni ziara na matukio anayoshiriki Rais Samia Suluhu kwa takribani miezi miwili iliyopita, ni utoto utoto tu huku maswala serious burning issues haki ngumu ya uchumi, tozo kandamizi, haki tete na mbaya ya kisiasa na mengine mengi yanayohusu nchi na wananchi yakielea elea hewani bila mwongozo thabiti toka kwa Rais kiongozi makini wa nchi...

Angalia matukio anayoshiriki Rais; mfano Royal Tour, kushiriki tamasha la ngoma za kienyeji Magu Mwanza nk nk ni ya kupumbaza tu kwa lengo fulani baya nyuma ya pazia..

Naweza kuamini hili la Tundu Lissu kwa 99%...
Tutafika TU hvyo hvyo!!
 
Natudia niliisema sehemu Anayeongoza nchi ni Mabeyo na Vyombo vya Usalama Mama akiwa kama kivuli ila Majaliwa na mchengelwa hawana wanalojua hapo LISSU naye kachemka!!! Nchi iko kwa Mabeyo kitambo sana

Britanicca
Mabeyo hawezi kupoteza muda wake kutengeneza kesi za kishamba za kigaidi.
Mabeyo hawezi kupoteza muda wake kumfanya rais kuwa kivutio cha watalii.
Mabeyo yuko busy kuzima majaribio yoyote ya ndani au nje ya kufanya mapinduzi.

Huu mchezo wa kumfanya chief Hangaya kuwa kikatuni cha kike kinachozurura ndani na nje ya nchi kisanii ni mchezo wa wanasiasa. Na hapo Majaliwa huenda ni sehemu ya hii michezo.
 
Nani wa kumuachia nchi mzanzibar tena mwana wa like

"Nina siri yako mama maushungi niliyoachiwa na mzee kabla hajaenda kuzimu"
 
Hiyo si ajabu. Hata Mwamba wa Afrika, hayati Mugabe na ubabe wake aliwahi kuwa held hostage. Utawala wa nchi una wenyewe, Hata Rais anaweza kuwekwa kitimoto sometimes.

Au hamjui Nyerere aliwahi kupinduliwa na Jeshi kwa saa kadhaa?
 
Akiongea katika kipindi cha Maria Sarungi Space Jana akijibu maswali mbalimbali ya washiriki wa mjadala huo, Tundu Lissu ametoa taarifa serious kidogo kuhusu Rais na nchi yetu...

Kwamba, taarifa walizonazo kwa sasa ni kuwa "....Madam President Samia Suluhu Hassan is held hostage..." , kwamba si yeye anayeongoza nchi kwa sasa. Ameshauriwa yeye akae pembeni na swala la usalama wa nchi awaachie PM Majaliwa na waziri wa usalama, Mchengelewa washughulike nalo...
View attachment 1932324

MAONI YANGU:

Kama hii ni kweli, kikatiba imekaaje? Kama Rais huyu mama kakubali ushauri huu, atakuwa anajua kweli jukumu na wajibu wake kama Rais wa nchi...? Kwanini washauri wake wakuu wamefanya hivi..?

Kuna possibility kubwa hili linaweza kuwa la kweli kwa kuangalia viashiria fulani fulani...

Hebu chunguzeni ziara na matukio anayoshiriki Rais Samia Suluhu kwa takribani miezi miwili iliyopita, ni utoto utoto tu huku maswala serious burning issues haki ngumu ya uchumi, tozo kandamizi, haki tete na mbaya ya kisiasa na mengine mengi yanayohusu nchi na wananchi yakielea elea hewani bila mwongozo thabiti toka kwa Rais kiongozi makini wa nchi...

Angalia matukio anayoshiriki Rais; mfano Royal Tour, kushiriki tamasha la ngoma za kienyeji Magu Mwanza nk nk ni ya kupumbaza tu kwa lengo fulani baya nyuma ya pazia..

Naweza kuamini hili la Tundu Lissu kwa 99%...
Samia anatia huruma sanaa, natamani kumsadia kwa mambo mengi sana. shida ndiyo hivyo

samia, popote ulipo ni Pm
nina taarifa sensitive kidogo kukuhusu.

ukizubaa shauri yako.
 
Huyu bwana lissu ashukuru kukimbilia kwa mabeberu,angekuwa singida sasa hivi angekuwa anaokota makopo,anachokiongea Wala hakieleweki.
Tulia tuli mkuu dawa ikuingie mbona huko ndani taarifa nje nje Usimlaumu TAL jilaumuni ninyi wenyewe wanaovujisha hiyo mikakati yenu si ninyi wenyewe, ndio mambo ya mnara wa Babeli hayo.
 
Akiongea katika kipindi cha Maria Sarungi Space Jana akijibu maswali mbalimbali ya washiriki wa mjadala huo, Tundu Lissu ametoa taarifa serious kidogo kuhusu Rais na nchi yetu...

Kwamba, taarifa walizonazo kwa sasa ni kuwa "....Madam President Samia Suluhu Hassan is held hostage..." , kwamba si yeye anayeongoza nchi kwa sasa. Ameshauriwa yeye akae pembeni na swala la usalama wa nchi awaachie PM Majaliwa na waziri wa usalama, Mchengelewa washughulike nalo...
View attachment 1932324

MAONI YANGU:

Kama hii ni kweli, kikatiba imekaaje? Kama Rais huyu mama kakubali ushauri huu, atakuwa anajua kweli jukumu na wajibu wake kama Rais wa nchi...? Kwanini washauri wake wakuu wamefanya hivi..?

Kuna possibility kubwa hili linaweza kuwa la kweli kwa kuangalia viashiria fulani fulani...

Hebu chunguzeni ziara na matukio anayoshiriki Rais Samia Suluhu kwa takribani miezi miwili iliyopita, ni utoto utoto tu huku maswala serious burning issues haki ngumu ya uchumi, tozo kandamizi, haki tete na mbaya ya kisiasa na mengine mengi yanayohusu nchi na wananchi yakielea elea hewani bila mwongozo thabiti toka kwa Rais kiongozi makini wa nchi...

Angalia matukio anayoshiriki Rais; mfano Royal Tour, kushiriki tamasha la ngoma za kienyeji Magu Mwanza nk nk ni ya kupumbaza tu kwa lengo fulani baya nyuma ya pazia..

Naweza kuamini hili la Tundu Lissu kwa 99%...
Soon mtamuona akirejea nyumbani baada ya mambo kumshinda huko aliko.
 
Hii nchi sio Tanzania tena, ni Jamhuri wa watu wa Hangaya tu,
Kama mfuatiliaji wa historia ya Mashariki ya mbali korea ,china, japan .... Han Clan ilitawala sana maeneo hayo ... Lilitokea vugu vugu maeneo ya wakazi kusini mashariki ya south Korea taifa moja la Gaya likazaliwa na ndio lilokuja kuungana na kuishusha Baekje na sehemu ya Goryeo(Goguryeo) na kuunda taifa jipya lililo kuwa na nguvu la Shilla ... Hapa naunganisha tu Han - Gaya .. Na huyu chief Hangaya ataleta shida... (Kwa muda wako soma hiyo historia ya hizo dynaties Han, Gaya, Shilla, Goryeo, na Goguryeo). Ndio North na Msouth Korea wa leo .
 
Back
Top Bottom