Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ki vip? Ima maana wote tumeolewa wake wa tatu wa mshikaji..ha ha haTangu lini Nchi ikaongozwa na mke wa tatu.
Nyumbu wanashabikia Kila linalosemwa na kiongozi wa msafara ndo maana huingizwa mtoni na kuliwa na mamba.Akiongea katika kipindi cha Maria Sarungi Space Jana akijibu maswali mbalimbali ya washiriki wa mjadala huo, Tundu Lissu ametoa taarifa serious kidogo kuhusu Rais na nchi yetu...
Kwamba, taarifa walizonazo kwa sasa ni kuwa "....Madam President Samia Suluhu Hassan is held hostage..." , kwamba si yeye anayeongoza nchi kwa sasa. Ameshauriwa yeye akae pembeni na swala la usalama wa nchi awaachie PM Majaliwa na waziri wa usalama, Mchengelewa washughulike nalo...
View attachment 1932324
MAONI YANGU:
Kama hii ni kweli, kikatiba imekaaje? Kama Rais huyu mama kakubali ushauri huu, atakuwa anajua kweli jukumu na wajibu wake kama Rais wa nchi...? Kwanini washauri wake wakuu wamefanya hivi..?
Kuna possibility kubwa hili linaweza kuwa la kweli kwa kuangalia viashiria fulani fulani...
Hebu chunguzeni ziara na matukio ambayo Rais Samia Suluhu anapangiwa kushiriki kwa takribani miezi miwili iliyopita....
Ni yale ya utoto utoto tu ambayo siyo level yake kuyafanya kwani yangeweza kufanywa na wasaidizi wake kama waziri wa sekta husika, RC au DC...
Inashangaza kuwa anajihusisha ktk mambo madogo madogo mno huku akiacha kuumiza akili kushughulika na maswala serious kama vile hali ngumu ya uchumi, tozo kandamizi, hali tete na mbaya ya kisiasa na mengine mengi yanayohusu nchi na wananchi ambayo kwa sasa yanaelea elea hewani tu bila mwongozo thabiti toka kwa Rais kiongozi makini wa nchi...
Angalia matukio anayoshiriki Rais; mfano Royal Tour, kushiriki tamasha la ngoma za kienyeji Magu Mwanza nk nk ni ya kupumbaza tu, yasiyo na positive impact yoyote katika maisha ya watu kwa ujumla. Nyuma ya matukio haya lipo lengo fulani baya nyuma ya pazia. THE TIME WILL TELL...
Naweza kuamini hili la Tundu Lissu kwa 99%...
Lissu hajawahi kulidanganya Taifa.mambo ya kutisha.
Kwa hiyo kumbe alistahili kuuliwa?Debe tupu?
Angekuwa “debe tupu” statehouse and state security wasingehangaika na kulalamika kwamba anadhihaki hatua za serikali kupambana na mabeberu, na baadae kuamumuru auliwe!
Rais alisema anaezodoa juhudi zake za kuminya mirija ya unyonyaji wa madini ni saliti, na dawa ya saliti ni kuuliwa. Masaa mawili baadae wakamrushia risasi 32, zikampata 16.
Anawanyima usingizi, unamwitaje “debe tupu” ?????
Magufuli wakati anaingia ikulu mlisema hiv hiv.View attachment 1932405
Hangaya ni dereva kipofu. Anaonekana anaendesha gari lakini kumbe sio yeye kuna watu behind the wheel.
Hangaya is not on the wheel.
Mswahili hawezi kuendesha nchi maana hana lugha ya moja kwa moja tofauti ni kubwa mno toka kwa Jpm kwenda kwa mama samia,Tulizoea kufanya kazi kwa lugha moja iwe nzuri au mbaya msimamo ulikuwepo ila kwa sasa kauli zina mashaka haziko wazi
Rais mmoja tu ndo aliongoza nchi mwenyewe na ni John Pombe Joseph Magufuli, ila Samia ninahakika kuna stering anaemuongoza, JK ndo kabisa alikuwa na megegnge ya wafanyabiashara na mafisadi ao ndo waliongoza nchi. Mkapa kurudi huko nyuma sijui maana nikikuwa bado young boy sijui chochoteAkiongea katika kipindi cha Maria Sarungi Space Jana akijibu maswali mbalimbali ya washiriki wa mjadala huo, Tundu Lissu ametoa taarifa serious kidogo kuhusu Rais na nchi yetu...
Kwamba, taarifa walizonazo kwa sasa ni kuwa "....Madam President Samia Suluhu Hassan is held hostage..." , kwamba si yeye anayeongoza nchi kwa sasa. Ameshauriwa yeye akae pembeni na swala la usalama wa nchi awaachie PM Majaliwa na waziri wa usalama, Mchengelewa washughulike nalo...
View attachment 1932324
MAONI YANGU:
Kama hii ni kweli, kikatiba imekaaje? Kama Rais huyu mama kakubali ushauri huu, atakuwa anajua kweli jukumu na wajibu wake kama Rais wa nchi...? Kwanini washauri wake wakuu wamefanya hivi..?
Kuna possibility kubwa hili linaweza kuwa la kweli kwa kuangalia viashiria fulani fulani...
Hebu chunguzeni ziara na matukio ambayo Rais Samia Suluhu anapangiwa kushiriki kwa takribani miezi miwili iliyopita....
Ni yale ya utoto utoto tu ambayo siyo level yake kuyafanya kwani yangeweza kufanywa na wasaidizi wake kama waziri wa sekta husika, RC au DC...
Inashangaza kuwa anajihusisha ktk mambo madogo madogo mno huku akiacha kuumiza akili kushughulika na maswala serious kama vile hali ngumu ya uchumi, tozo kandamizi, hali tete na mbaya ya kisiasa na mengine mengi yanayohusu nchi na wananchi ambayo kwa sasa yanaelea elea hewani tu bila mwongozo thabiti toka kwa Rais kiongozi makini wa nchi...
Angalia matukio anayoshiriki Rais; mfano Royal Tour, kushiriki tamasha la ngoma za kienyeji Magu Mwanza nk nk ni ya kupumbaza tu, yasiyo na positive impact yoyote katika maisha ya watu kwa ujumla. Nyuma ya matukio haya lipo lengo fulani baya nyuma ya pazia. THE TIME WILL TELL...
Naweza kuamini hili la Tundu Lissu kwa 99%...
Kwani huyu majaliwa si mlisema ni sukuma gang na mlisema mama anawakoemsha?Leo wabunge walimshangilia sana Kassimu Majaliwa bungeni tunaodadisi kila kitu hali ile haikuwa ya kawaida.
Shift of loyalty
Ni kweli.aana kuna wakati aluropoka JPM ni mgonjwa kumbe alikuwa ikulu akichapa kazi.Kama kawaida yake lissu ni muongo na mropokaji
Kwahiyo unakubali kwamba alikuwa anakwambisha jitihada za serikali kulinda rasilimali madiniDebe tupu?
Angekuwa “debe tupu” statehouse and state security wasingehangaika na kulalamika kwamba anadhihaki hatua za serikali kupambana na mabeberu, na baadae kuamumuru auliwe!
Rais alisema anaezodoa juhudi zake za kuminya mirija ya unyonyaji wa madini ni saliti, na dawa ya saliti ni kuuliwa. Masaa mawili baadae wakamrushia risasi 32, zikampata 16.
Anawanyima usingizi, unamwitaje “debe tupu” ?????
Nchi bado ina mstaafu hii mwenye heshima na anayesikilizwa na jeshi, hasikiki tu ila yupo.It is true