Lissu afunguliwe mashtaka kwa kutoa taarifa za uongo

Lissu afunguliwe mashtaka kwa kutoa taarifa za uongo

Binadamu wengi wana aina ya wehu
Bora yangu naongea peke yangu kimya kimya
Wengine wanapiga kelele na wanataka wehu wao usikike
 
Akiongea katika kipindi cha Maria Sarungi Space Jana akijibu maswali mbalimbali ya washiriki wa mjadala huo, Tundu Lissu ametoa taarifa serious kidogo kuhusu Rais na nchi yetu...

Kwamba, taarifa walizonazo kwa sasa ni kuwa "....Madam President Samia Suluhu Hassan is held hostage..." , kwamba si yeye anayeongoza nchi kwa sasa. Ameshauriwa yeye akae pembeni na swala la usalama wa nchi awaachie PM Majaliwa na waziri wa usalama, Mchengelewa washughulike nalo...
View attachment 1932324

MAONI YANGU:

Kama hii ni kweli, kikatiba imekaaje? Kama Rais huyu mama kakubali ushauri huu, atakuwa anajua kweli jukumu na wajibu wake kama Rais wa nchi...? Kwanini washauri wake wakuu wamefanya hivi..?

Kuna possibility kubwa hili linaweza kuwa la kweli kwa kuangalia viashiria fulani fulani...

Hebu chunguzeni ziara na matukio ambayo Rais Samia Suluhu anapangiwa kushiriki kwa takribani miezi miwili iliyopita....

Ni yale ya utoto utoto tu ambayo siyo level yake kuyafanya kwani yangeweza kufanywa na wasaidizi wake kama waziri wa sekta husika, RC au DC...

Inashangaza kuwa anajihusisha ktk mambo madogo madogo mno huku akiacha kuumiza akili kushughulika na maswala serious kama vile hali ngumu ya uchumi, tozo kandamizi, hali tete na mbaya ya kisiasa na mengine mengi yanayohusu nchi na wananchi ambayo kwa sasa yanaelea elea hewani tu bila mwongozo thabiti toka kwa Rais kiongozi makini wa nchi...

Angalia matukio anayoshiriki Rais; mfano Royal Tour, kushiriki tamasha la ngoma za kienyeji Magu Mwanza nk nk ni ya kupumbaza tu, yasiyo na positive impact yoyote katika maisha ya watu kwa ujumla. Nyuma ya matukio haya lipo lengo fulani baya nyuma ya pazia. THE TIME WILL TELL...

Naweza kuamini hili la Tundu Lissu kwa 99%...
Nyumbu wanashabikia Kila linalosemwa na kiongozi wa msafara ndo maana huingizwa mtoni na kuliwa na mamba.
 
IMG-20210910-WA0137.jpg
 
Debe tupu?

Angekuwa “debe tupu” statehouse and state security wasingehangaika na kulalamika kwamba anadhihaki hatua za serikali kupambana na mabeberu, na baadae kuamumuru auliwe!

Rais alisema anaezodoa juhudi zake za kuminya mirija ya unyonyaji wa madini ni saliti, na dawa ya saliti ni kuuliwa. Masaa mawili baadae wakamrushia risasi 32, zikampata 16.

Anawanyima usingizi, unamwitaje “debe tupu” ?????
Kwa hiyo kumbe alistahili kuuliwa?

Kwamba alikuwa anakejeli hatua za kupambana na ubeberu? Kumbe hafai
 

Mswahili hawezi kuendesha nchi maana hana lugha ya moja kwa moja tofauti ni kubwa mno toka kwa Jpm kwenda kwa mama samia,Tulizoea kufanya kazi kwa lugha moja iwe nzuri au mbaya msimamo ulikuwepo ila kwa sasa kauli zina mashaka haziko wazi
 
Akiongea katika kipindi cha Maria Sarungi Space Jana akijibu maswali mbalimbali ya washiriki wa mjadala huo, Tundu Lissu ametoa taarifa serious kidogo kuhusu Rais na nchi yetu...

Kwamba, taarifa walizonazo kwa sasa ni kuwa "....Madam President Samia Suluhu Hassan is held hostage..." , kwamba si yeye anayeongoza nchi kwa sasa. Ameshauriwa yeye akae pembeni na swala la usalama wa nchi awaachie PM Majaliwa na waziri wa usalama, Mchengelewa washughulike nalo...
View attachment 1932324

MAONI YANGU:

Kama hii ni kweli, kikatiba imekaaje? Kama Rais huyu mama kakubali ushauri huu, atakuwa anajua kweli jukumu na wajibu wake kama Rais wa nchi...? Kwanini washauri wake wakuu wamefanya hivi..?

Kuna possibility kubwa hili linaweza kuwa la kweli kwa kuangalia viashiria fulani fulani...

Hebu chunguzeni ziara na matukio ambayo Rais Samia Suluhu anapangiwa kushiriki kwa takribani miezi miwili iliyopita....

Ni yale ya utoto utoto tu ambayo siyo level yake kuyafanya kwani yangeweza kufanywa na wasaidizi wake kama waziri wa sekta husika, RC au DC...

Inashangaza kuwa anajihusisha ktk mambo madogo madogo mno huku akiacha kuumiza akili kushughulika na maswala serious kama vile hali ngumu ya uchumi, tozo kandamizi, hali tete na mbaya ya kisiasa na mengine mengi yanayohusu nchi na wananchi ambayo kwa sasa yanaelea elea hewani tu bila mwongozo thabiti toka kwa Rais kiongozi makini wa nchi...

Angalia matukio anayoshiriki Rais; mfano Royal Tour, kushiriki tamasha la ngoma za kienyeji Magu Mwanza nk nk ni ya kupumbaza tu, yasiyo na positive impact yoyote katika maisha ya watu kwa ujumla. Nyuma ya matukio haya lipo lengo fulani baya nyuma ya pazia. THE TIME WILL TELL...

Naweza kuamini hili la Tundu Lissu kwa 99%...
Rais mmoja tu ndo aliongoza nchi mwenyewe na ni John Pombe Joseph Magufuli, ila Samia ninahakika kuna stering anaemuongoza, JK ndo kabisa alikuwa na megegnge ya wafanyabiashara na mafisadi ao ndo waliongoza nchi. Mkapa kurudi huko nyuma sijui maana nikikuwa bado young boy sijui chochote
 
Hawa jamaa wakipewa uongozi wa nchi tutakoma ukianzia wanavyoendesha chama Chao wafuasi wao asilimia kubwa ni chuki na uzandiki.
Ingawa Sina chakupoteza lakini sumu haionjwi vinginevyo tungewajaribisha kuwapa uongozi
 
Debe tupu?

Angekuwa “debe tupu” statehouse and state security wasingehangaika na kulalamika kwamba anadhihaki hatua za serikali kupambana na mabeberu, na baadae kuamumuru auliwe!

Rais alisema anaezodoa juhudi zake za kuminya mirija ya unyonyaji wa madini ni saliti, na dawa ya saliti ni kuuliwa. Masaa mawili baadae wakamrushia risasi 32, zikampata 16.

Anawanyima usingizi, unamwitaje “debe tupu” ?????
Kwahiyo unakubali kwamba alikuwa anakwambisha jitihada za serikali kulinda rasilimali madini
 
Back
Top Bottom