Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 7,672
- 9,039
Ur fakidi up mwananguHa ha ha, ur struggling.....time!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ur fakidi up mwananguHa ha ha, ur struggling.....time!!
Raisi katekwa? Thats big.
Salute Mkuu..Mambo huanza hivi hivi.
Zinaanza kama tetesi lakini mwisho wa siku zinakuwa kweli kwa 100%, kama kifo cha Magu kilivyokuwa....
Kwa jinsi nchi inavyopelekwa kipuuzi fulani hivi na namna mama alivyogeuka ghafla ndani ya muda mfupi sana, bila shaka hana control na kiti chake tena. Lazima kuna kakikundi kamepora madaraka yake.
Tujipe muda.
Muda ni mwalimu mzuri sana.
Noma kweli !Mbona hili lilikuwepo hadharani kabla ya Lissu kutia neno? Hanga ya KUDEMKA 😂😂 View attachment 1932457
Yes, U have reached ur final level of thinking!! Noticed. Lissu kalitupia jumba bovu mawe and these are results.Ur fakidi up mwanangu
100%...Hata Magu alipokuwa hoi kitandani, Lissu ndie alitupa taarifa, hivyo hata hapa panaweza kuwa na ukweli
Pathological lier....Kama kawaida yake lissu ni muongo na mropokaji
Acha matusi na dhihaka wewe msukure.....Hangaya alipaswa kuwa mwimba taarabu huko Zenji!
Huru ina tafsiri pana.Hi ni Kiingereza. Angalia mukhtadha wa bandiko. Mtu aliyetekwa anawezaje kuwa huru?? What it means here - “against her will”!
Si ndiyo hapo sasa [emoji23][emoji23]Ondoka basi mbona uko humu na viongozi wako mnafualitia uzi... kwa hiyo na nyie ni nyumbu wa Lissu .
Huelewi wewe na akili zako za kushikiwa!!Huyu bwana lissu ashukuru kukimbilia kwa mabeberu,angekuwa singida sasa hivi angekuwa anaokota makopo,anachokiongea Wala hakieleweki.
Mkuu wakishiba WAMEVIMBIWA..WanaCCM wenzangu,
Hoja aina hii siyo za kukurupukia maana mtu kama Lissu lazima atakuwa na mvujisha taarifa kutoka pakachani.
Naona watu wanajibu kwa kebehi
Kuna jambo halipo sawa and yet we joke about it.
I can sense indoor plumbing
Just like you did many years agoYes, U have reached ur final level of thinking!! Noticed.
Kumbe nawe ni mwana CCM!Watanzania wote walipata taarifa za kifo cha Magufuli kutoka kwa Lissu huku Majaliwa na wanaccm wengine wakidanganya umma
Bonge la ujumbeLugha ya picha
Wewe umeanza kuishi MWISHO WA DUNIA KURUDI MUDA HUU TULIO NAO ?!!! khaaaa hivi shule ya msingi kweli ulikwenda?!!Nani wa kumuachia nchi mzanzibar tena mwana wa like
"Nina siri yako mama maushungi niliyoachiwa na mzee kabla hajaenda kuzimu"
😲😲😲😲🤣🤣🤣🤣🤣Samia anatia huruma sanaa, natamani kumsadia kwa mambo mengi sana. shida ndiyo hivyo
samia, popote ulipo ni Pm
nina taarifa sensitive kidogo kukuhusu.
ukizubaa shauri yako.
Kanyonye kwanza huu uzi wa WAKUBWA.....bhagika tokayombanga emhole jele chela MIKULOTundu Lissu alishawahi kusema kuwa "mmoja wa Walinzi wa karibu wa hayati Magufuli ,yule mweusi na mwili mkubwa kuwa amefariki kwa COVID".....
Kumbe ilikuwa ni CHAI CHAI CHAI tupu.......
Tundu aache kuwa "PATHOLOGICAL LIER".....