Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Acha kumpa Mabeyo uwezo asiokuwa nao, unadhani kuendesha nchi ni sawa na kuongoza askari?Narudia tena , niliisema sehemu Anayeongoza nchi ni Mabeyo na Vyombo vya Usalama Mama akiwa kama kivuli ila Majaliwa na mchengelwa hawana wanalojua hapo LISSU naye kachemka!!! Nchi iko kwa Mabeyo kitambo sana
Britanicca
Nimeshangazwa na logic ya kitoto ya ndugu lissu eti Rais yupo under hostage taking situation halafu akatoa mifano yake ya uongo.
Kwa ufupi niseme hata Yeye Tundu lissu angefanikiwa kuwa Rais tungemuhesabu kuwa ni mateka wa mfumo wa ulinzi na usalama kwani hakuna ambalo angeweza kulifanya kinyume na maelekezo ya mfumo huo.
Huu ni mfumo wa kidunia na haujaanza leo na utaendelea.
Nimeshangazwa na logic ya kitoto ya ndugu lissu eti Rais yupo under hostage taking situation halafu akatoa mifano yake ya uongo.
Kwa ufupi niseme hata Yeye Tundu lissu angefanikiwa kuwa Rais tungemuhesabu kuwa ni mateka wa mfumo wa ulinzi na usalama kwani hakuna ambalo angeweza kulifanya kinyume na maelekezo ya mfumo huo.
Huu ni mfumo wa kidunia na haujaanza leo na utaendelea.
Uchifu aliosimikwa juzi unatosha...Maza ikifika 2025 anasepa na kurudi kwao Makunduchi.
..SSH hakuwahi kutamani kuwa Rais, na mafao ya Raisi mstaafu yanamtosha kutimiza ndoto na malengo yake.
Hadithi zingine, sasa kama kwa held hostage , son in law kafikaje hapo ??Akiongea katika kipindi cha Maria Sarungi Space Jana akijibu maswali mbalimbali ya washiriki wa mjadala huo, Tundu Lissu ametoa taarifa serious kidogo kuhusu Rais na nchi yetu...
Kwamba, taarifa walizonazo kwa sasa ni kuwa "....Madam President Samia Suluhu Hassan is held hostage..." , kwamba si yeye anayeongoza nchi kwa sasa. Ameshauriwa yeye akae pembeni na swala la usalama wa nchi awaachie PM Majaliwa na waziri wa usalama, Mchengelewa washughulike nalo...
View attachment 1932324
MAONI YANGU:
Kama hii ni kweli, kikatiba imekaaje? Kama Rais huyu mama kakubali ushauri huu, atakuwa anajua kweli jukumu na wajibu wake kama Rais wa nchi...? Kwanini washauri wake wakuu wamefanya hivi..? Ni kama vile amefanywa mdoli na wajanja kuuchezea kwa kutumia "udhaifu wa mwanamke" ili wafanye mambo yao..!!
Kuna possibility kubwa hili linaweza kuwa la kweli kwa kuangalia viashiria fulani fulani...
Hebu chunguzeni ziara na matukio ambayo Rais Samia Suluhu anapangiwa kushiriki kwa takribani miezi miwili iliyopita....
Ni yale ya utoto utoto tu ambayo siyo level yake kuyafanya kwani yangeweza kufanywa na wasaidizi wake kama waziri wa sekta husika, RC au DC...
Inashangaza kuwa anajihusisha ktk mambo madogo madogo mno huku akiacha kuumiza akili kushughulika na maswala serious kama vile hali ngumu ya uchumi, tozo kandamizi, hali tete na mbaya ya kisiasa na mengine mengi yanayohusu nchi na wananchi ambayo kwa sasa yanaelea elea hewani tu bila mwongozo thabiti toka kwa Rais kiongozi makini wa nchi...
Angalia matukio anayoshiriki Rais; mfano Royal Tour, kushiriki tamasha la ngoma za kienyeji Magu Mwanza nk nk ni ya kupumbaza tu, yasiyo na positive impact yoyote katika maisha ya watu kwa ujumla. Nyuma ya matukio haya lipo lengo fulani baya nyuma ya pazia. THE TIME WILL TELL...
Naweza kuamini hili la Tundu Lissu kwa 99%...
Luna;Raisi katekwa? Thats big.
Endelea kujiuliza ,kujijibu na kujifurahisha mwenyewe bwasheee.....🤣Hujuwi chochote hii mada sio ushabiki Rethink chaliiangu..
Chai.....Hadithi zingine, sasa kama kwa held hostage , son in law kafikaje hapo ??
Mkuu hao ni creche hawaelewi kitu zaidi ya kusubiri uji saa 4Luna;
1. Kutekwa kimwili (physically)
2. Kutekwa kiakili na kimaamuzi kutokana na ujinga au kutofahamu kipasacho kufanyika
## Katika scenario hii, namba mbili ndiyo inayo apply. Soma maelezo na sikiliza maelezo ya Tundu Lissu mwenyewe..!!
A presd with less than 6 months can't get such a free time to get into a TV show especially for a country like Tz otherwise sha s gatting a dedicated bckup.Hata kabla ya TAL, niliambiwa na afisa mkubwa wa wasiojulikana kuwa wao kwa sasa wanaripoti kwa Maajaliwa.
Kwa ujumla hanangaya, yupo ka alama tu lakini siyo kiutendaji.
Kwao mh.Samia hana jema kwa sababu zifuatazo:-Hivi hamna jema Mama Samia atafanya mkamsifia.......
Mh Rais Mama Samia yuko vzr tuu na sivyo dua zenu mbaya zitawarudia wenyewe...
Mgogo huko mjengo kafura sasa we creche....punguza Id teh tehEndelea kujiuliza ,kujijibu na kujifurahisha mwenyewe bwasheee.....🤣
Yaani wewe huelewi lolote. Hata maana ya maneno hayo huyaelewi lakini bila aibu una comment...Hadithi zingine, sasa kama kwa held hostage , son in law kafikaje hapo ??
Kule Kenya kuna mwanasiasa anaitwa Dr.Miguna Miguna....pamoja na uwezo wake mkubwa mno wa kisiasa ila ni mtu aliyebarikiwa "mbango na chai za kisiasa" haswa katika KUTENGENEZA "SIASA ZA TAHARUKI..."Lissu 1 ni sawasawa na serikali nzima😂
Nilitaka kushangaa
Yaani uache mafaili mazito ofisini halafu ukashoot video?, Lazima kuna kitu
Huenda angewatimua hao uliowaita sukuma gang wote angeonekana ana kisasi na hayati. Halafu nasikia wasukuma nchi hii ni wengi sana,vipi kisiasa uamuzi wa kuwatimua usingemletea shida hasa kanda ya ziwa?Huyu tulimuonya mapema kwamba atimue sukuma gang wote akawaacha tu
Ndo maana kulikua na ccm ya watu wa mkapa, ccm ya kikwete, na magufuli akaja na ccm yake akatengeneza team yake akachukua hadi watu kutoka upinzani wakampa nguvu km watu wake....tatzo la mama hana team...hajatengeneza genge lake
Alionywa mapema asiendekeze lile genge la magu maana offcourse samia na majaliwa zilikua haziivi, walikua hata salam hawapeani but akamwaacha tu huyu mama alikosea angetengeneza serikali yake na watu wake anyofoe genge lote asuke kitu kipya na ndani ya chama awadhoofishe watu wanaohatarisha ushawish wake but aliwaacha tu
Sasa unavuna unachopanda tulikuonya juu ya wanaokuzunguka ukatuona hatuna akili hangaya hao wanakuangusha...
Huyu mama siku 100 alifanya makubwa lakini ghafla kabadilika jambo ambalo sio la kawaida kuna kitu hakipo sawa wakuu.....................kuna jambo limestuck mahali............haiwezekani samia wa siku 100 awe tofauti na wa sasa wawe tofauti wa asilimia 100 big no!
Hii habari ilizagaa mitaani kabla hata Lisuu hakasema; Lissu leo kahitimisha tu ila ukweli ulishajulikana kitambo..Lissu ni mjumbe tu ..Nimeshangazwa na logic ya kitoto ya ndugu lissu eti Rais yupo under hostage taking situation halafu akatoa mifano yake ya uongo.
Kwa ufupi niseme hata Yeye Tundu lissu angefanikiwa kuwa Rais tungemuhesabu kuwa ni mateka wa mfumo wa ulinzi na usalama kwani hakuna ambalo angeweza kulifanya kinyume na maelekezo ya mfumo huo.
Huu ni mfumo wa kidunia na haujaanza leo na utaendelea.
So you mean I am a nursery where babies are being taken care of during the day?!!! Khaaa 😲🤣🤣Mgogo huko mjengo kafura sasa we creche....punguza Id teh teh
Tole bhazubha na bhagikaHuenda angewatimua hao uliowaita sukuma gang wote angeonekana ana kisasi na hayati. Halafu nasikia wasukuma nchi hii ni wengi sana,vipi kisiasa uamuzi wa kuwatimua usingemletea shida hasa kanda ya ziwa?
Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app