Lissu afunguliwe mashtaka kwa kutoa taarifa za uongo

Lissu afunguliwe mashtaka kwa kutoa taarifa za uongo

Narudia tena , niliisema sehemu Anayeongoza nchi ni Mabeyo na Vyombo vya Usalama Mama akiwa kama kivuli ila Majaliwa na mchengelwa hawana wanalojua hapo LISSU naye kachemka!!! Nchi iko kwa Mabeyo kitambo sana

Britanicca
Acha kumpa Mabeyo uwezo asiokuwa nao, unadhani kuendesha nchi ni sawa na kuongoza askari?
 
Nimeshangazwa na logic ya kitoto ya ndugu lissu eti Rais yupo under hostage taking situation halafu akatoa mifano yake ya uongo.
Kwa ufupi niseme hata Yeye Tundu lissu angefanikiwa kuwa Rais tungemuhesabu kuwa ni mateka wa mfumo wa ulinzi na usalama kwani hakuna ambalo angeweza kulifanya kinyume na maelekezo ya mfumo huo.
Huu ni mfumo wa kidunia na haujaanza leo na utaendelea.

..sasa kama hiyo ndio hali halisi kwanini mmepatwa na taharuki mpaka baadhi ya wana CCM kumtangazia Lissu fatwa?
 
Nimeshangazwa na logic ya kitoto ya ndugu lissu eti Rais yupo under hostage taking situation halafu akatoa mifano yake ya uongo.
Kwa ufupi niseme hata Yeye Tundu lissu angefanikiwa kuwa Rais tungemuhesabu kuwa ni mateka wa mfumo wa ulinzi na usalama kwani hakuna ambalo angeweza kulifanya kinyume na maelekezo ya mfumo huo.
Huu ni mfumo wa kidunia na haujaanza leo na utaendelea.

Kwa hiyo wewe umekuja kuthibitisha rasmi hii mambo:

IMG_20210911_000004_180.jpg


Hiiiiii bagosha!
 
..Maza ikifika 2025 anasepa na kurudi kwao Makunduchi.

..SSH hakuwahi kutamani kuwa Rais, na mafao ya Raisi mstaafu yanamtosha kutimiza ndoto na malengo yake.
Uchifu aliosimikwa juzi unatosha.

Bahati nzuri wenyewe hauna mizengwe yote hii.

'Maza Mizinguo' toka mwanzo alionyesha kuwa na 'low expectation' juu ya nafasi yake hii mpya ya urahisi!
 
Akiongea katika kipindi cha Maria Sarungi Space Jana akijibu maswali mbalimbali ya washiriki wa mjadala huo, Tundu Lissu ametoa taarifa serious kidogo kuhusu Rais na nchi yetu...

Kwamba, taarifa walizonazo kwa sasa ni kuwa "....Madam President Samia Suluhu Hassan is held hostage..." , kwamba si yeye anayeongoza nchi kwa sasa. Ameshauriwa yeye akae pembeni na swala la usalama wa nchi awaachie PM Majaliwa na waziri wa usalama, Mchengelewa washughulike nalo...
View attachment 1932324

MAONI YANGU:

Kama hii ni kweli, kikatiba imekaaje? Kama Rais huyu mama kakubali ushauri huu, atakuwa anajua kweli jukumu na wajibu wake kama Rais wa nchi...? Kwanini washauri wake wakuu wamefanya hivi..? Ni kama vile amefanywa mdoli na wajanja kuuchezea kwa kutumia "udhaifu wa mwanamke" ili wafanye mambo yao..!!

Kuna possibility kubwa hili linaweza kuwa la kweli kwa kuangalia viashiria fulani fulani...

Hebu chunguzeni ziara na matukio ambayo Rais Samia Suluhu anapangiwa kushiriki kwa takribani miezi miwili iliyopita....

Ni yale ya utoto utoto tu ambayo siyo level yake kuyafanya kwani yangeweza kufanywa na wasaidizi wake kama waziri wa sekta husika, RC au DC...

Inashangaza kuwa anajihusisha ktk mambo madogo madogo mno huku akiacha kuumiza akili kushughulika na maswala serious kama vile hali ngumu ya uchumi, tozo kandamizi, hali tete na mbaya ya kisiasa na mengine mengi yanayohusu nchi na wananchi ambayo kwa sasa yanaelea elea hewani tu bila mwongozo thabiti toka kwa Rais kiongozi makini wa nchi...

Angalia matukio anayoshiriki Rais; mfano Royal Tour, kushiriki tamasha la ngoma za kienyeji Magu Mwanza nk nk ni ya kupumbaza tu, yasiyo na positive impact yoyote katika maisha ya watu kwa ujumla. Nyuma ya matukio haya lipo lengo fulani baya nyuma ya pazia. THE TIME WILL TELL...

Naweza kuamini hili la Tundu Lissu kwa 99%...
Hadithi zingine, sasa kama kwa held hostage , son in law kafikaje hapo ??
 
Raisi katekwa? Thats big.
Luna;

1. Kutekwa kimwili (physically)

2. Kutekwa kiakili na kimaamuzi kutokana na ujinga au kutofahamu kipasacho kufanyika

## Katika scenario hii, namba mbili ndiyo inayo apply. Soma maelezo na sikiliza maelezo ya Tundu Lissu mwenyewe..!!
 
Luna;

1. Kutekwa kimwili (physically)

2. Kutekwa kiakili na kimaamuzi kutokana na ujinga au kutofahamu kipasacho kufanyika

## Katika scenario hii, namba mbili ndiyo inayo apply. Soma maelezo na sikiliza maelezo ya Tundu Lissu mwenyewe..!!
Mkuu hao ni creche hawaelewi kitu zaidi ya kusubiri uji saa 4
 
Hata kabla ya TAL, niliambiwa na afisa mkubwa wa wasiojulikana kuwa wao kwa sasa wanaripoti kwa Maajaliwa.

Kwa ujumla hanangaya, yupo ka alama tu lakini siyo kiutendaji.
A presd with less than 6 months can't get such a free time to get into a TV show especially for a country like Tz otherwise sha s gatting a dedicated bckup.
 
Hivi hamna jema Mama Samia atafanya mkamsifia.......
Mh Rais Mama Samia yuko vzr tuu na sivyo dua zenu mbaya zitawarudia wenyewe...
Kwao mh.Samia hana jema kwa sababu zifuatazo:-

1)Mfumo Dume

2)Rais Mzanzibari tena ni mama

3)Choyo na "gele"....

Wengi wanaompinga mh.Rais "kivuvuzela" ni watu wachoyo na WASIOJIAMINI....HAWAJIAMINI NDANI YA NAFSI ZAO....HAWAJIAMINI ASILANI ABADAAN

#SiempreChifuMkuuHangaya
 
Hadithi zingine, sasa kama kwa held hostage , son in law kafikaje hapo ??
Yaani wewe huelewi lolote. Hata maana ya maneno hayo huyaelewi lakini bila aibu una comment...

Soma tena sentensi zako na aya yote hiyo kwa ujumla uone kama inaleta maana yoyote...

NITAKUFUNDISHA:

¶ Kuwa "held hostage" maana yake "kufanywa mateka" wa mtu au situation au maamuzi fulani

¶ "Son-in-law", maana yake kwa kisukuma chetu tunasema "Mkwilima" au "mkwe" kwa kiswahili chenu

¶ Na incase ulikuwa hujui, Mchengelwa (waziri ambaye TISS iko chini yake) ni mkwe wa Mama Samia Suluhu Hassan (Rais)...!

Kwa hiyo, Mchengelewa ni "Son-in-law" wa Rais Samia Suluhu. Mchengelwa anamwita Samia "mama mkwe" maana yake kaoa mwanae...!

Na kuwa "held hostage" ktk scenario hii, si kutekwa kimwili bali KIAKILI na KIMAAMUZI...

Kwa lugha nyingine, Rais Samia Suluhu Hassan literally amekabidhi mamlaka na madaraka ya Urais kwa watu wengine...!!
 
Lissu 1 ni sawasawa na serikali nzima😂
Kule Kenya kuna mwanasiasa anaitwa Dr.Miguna Miguna....pamoja na uwezo wake mkubwa mno wa kisiasa ila ni mtu aliyebarikiwa "mbango na chai za kisiasa" haswa katika KUTENGENEZA "SIASA ZA TAHARUKI..."

Tundu Lissu hamuingii hata NUSU.....

Labda kwa kuwa wengi wetu vijana hatuwafuatili wanasiasa wa nchi nyinginezo wenye KALIBA hizo.....

#SiempreChifuMkuuHangaya
#NchiKwanza
 
Huyu tulimuonya mapema kwamba atimue sukuma gang wote akawaacha tu

Ndo maana kulikua na ccm ya watu wa mkapa, ccm ya kikwete, na magufuli akaja na ccm yake akatengeneza team yake akachukua hadi watu kutoka upinzani wakampa nguvu km watu wake....tatzo la mama hana team...hajatengeneza genge lake


Alionywa mapema asiendekeze lile genge la magu maana offcourse samia na majaliwa zilikua haziivi, walikua hata salam hawapeani but akamwaacha tu huyu mama alikosea angetengeneza serikali yake na watu wake anyofoe genge lote asuke kitu kipya na ndani ya chama awadhoofishe watu wanaohatarisha ushawish wake but aliwaacha tu

Sasa unavuna unachopanda tulikuonya juu ya wanaokuzunguka ukatuona hatuna akili hangaya hao wanakuangusha...

Huyu mama siku 100 alifanya makubwa lakini ghafla kabadilika jambo ambalo sio la kawaida kuna kitu hakipo sawa wakuu.....................kuna jambo limestuck mahali............haiwezekani samia wa siku 100 awe tofauti na wa sasa wawe tofauti wa asilimia 100 big no!
Huenda angewatimua hao uliowaita sukuma gang wote angeonekana ana kisasi na hayati. Halafu nasikia wasukuma nchi hii ni wengi sana,vipi kisiasa uamuzi wa kuwatimua usingemletea shida hasa kanda ya ziwa?

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Nimeshangazwa na logic ya kitoto ya ndugu lissu eti Rais yupo under hostage taking situation halafu akatoa mifano yake ya uongo.
Kwa ufupi niseme hata Yeye Tundu lissu angefanikiwa kuwa Rais tungemuhesabu kuwa ni mateka wa mfumo wa ulinzi na usalama kwani hakuna ambalo angeweza kulifanya kinyume na maelekezo ya mfumo huo.
Huu ni mfumo wa kidunia na haujaanza leo na utaendelea.
Hii habari ilizagaa mitaani kabla hata Lisuu hakasema; Lissu leo kahitimisha tu ila ukweli ulishajulikana kitambo..Lissu ni mjumbe tu ..
 
Back
Top Bottom