KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Mkuu kimbiza uzi shenzi sana hahaha...So you mean I am a nursery where babies are being taken care of during the day?!!! Khaaa π²π€£π€£
Hii habari ilizagaa mitaani kabla hata Lisuu hakasema; Lissu leo kahitimisha tu ila ukweli ulishajulikana kitambo..Lissu ni mjumbe tu ..
Guuguu Mkuu msitujulimshe ....
Baada ya UVIKO mapato ya utalii yameshuka sana....less than 600b per fiscal year.....Nilitaka kushangaa
Yaani uache mafaili mazito ofisini halafu ukashoot video?, Lazima kuna kitu
Bado naisubiri πSoon mtamuona akirejea nyumbani baada ya mambo kumshinda huko aliko.
Uchifu aliosimikwa juzi unatosha.
Bahati nzuri wenyewe hauna mizengwe yote hii.
'Maza Mizinguo' toka mwanzo alionyesha kuwa na 'low expectation' juu ya nafasi yake hii mpya ya urahisi!
Yaani wewe huelewi lolote. Hata maana ya maneno hayo huyaelewi lakini bila aibu una comment...
Soma tena sentensi zako na aya yote hiyo kwa ujumla uone kama inaleta maana yoyote...
NITAKUFUNDISHA:
ΒΆ Kuwa "held hostage" maana yake "kufanywa mateka" wa mtu au situation au maamuzi fulani
ΒΆ "Son-in-law", maana yake kwa kisukuma chetu tunasema "Mkwilima" au "mkwe" kwa kiswahili chenu
ΒΆ Na incase ulikuwa hujui, Mchengelwa (waziri ambaye TISS iko chini yake) ni mkwe wa Mama Samia Suluhu Hassan (Rais)...!
Kwa hiyo, Mchengelewa ni "Son-in-law" wa Rais Samia Suluhu. Mchengelwa anamwita Samia "mama mkwe" maana yake kaoa mwanae...!
Na kuwa "held hostage" ktk scenario hii, si kutekwa kimwili bali KIAKILI na KIMAAMUZI...
Kwa lugha nyingine, Rais Samia Suluhu Hassan literally amekabidhi mamlaka na madaraka ya Urais kwa watu wengine...!!
umepanic tulia dawa ilkuingie kunako
Eleza tatizo la hoja, usipige kelele tu...Kama hawa ndio wagombea urais, hii nchi inaelekea pabaya.Hoja kama hii haitegemewi kutolewa na mtu mwenye akili timamu.
....so that to make people aware and understand the source of difficulties we are facing now as a nationSo what?
Lissu ni muongomuongo.....Sasa Lissu akiwa debe wewe si utakuwa kisoda? Wewe endelea kulia lia hapa tuu maana hata korido za lumumba huzijui, Lissu ana legacy nchi hii kwa aliyofanya so far.
Tundu Lissu alisikika akituambia KIFO CHA YULE MLINZI WA KARIBU WA HAYATI MAGUFULI...yule jamaa mwili mkubwa mweusi asiye na uso wa tabasamu eti AMEONDOKA KWA COVID-19......
Chai
Chai
Chai
Chai
Hivi mh.Tundu Lissu si "pathological lier"?!!!!
#SiempreChifuMkuuHangaya
#NchiKwanza
Ni unafiki tu...
Tundu Lissu is a typical PATHOLOGICAL LIER......Kila siku nawaambia TL hana quality za kuwa Rais hata kidogo....taarifa za JF ndio taarifa alizonazo kifupi he is not well informed, nakumbuka issue ya mlinzi wa Marehemu JPM tena mbele ya international media anaongea tango poli....kipindi cha kampenin ametema waste nyingi sana binafsi nilimdharau sana..
inanikumbusha Dr Slaa vs Riz na madawa China, Bomba la gas Mt to Dubai chini ya bahari eti gas inaibiwa nilicheka sana na kumuona Dr kituko kabisa aisee...dah hawa ndio wanasiasa wanaotaka tuingie barabarani....ZZK anaweza kuwa mwanasiasa mzuri kuliko mwanasiasa yeyote interm of IQ nk...
Yuko wapi kwani..?Lissu ni muongomuongo.....
Alisema eti yule mlinzi mweusi amefariki kwa COVID-19.....
Unawezaje kumuamini mtu wa "chai" kiasi hicho?!!! Khaa π²π²π²π²