Lissu afunguliwe mashtaka kwa kutoa taarifa za uongo

Lissu afunguliwe mashtaka kwa kutoa taarifa za uongo

Kazi ya kwanza ya Rais yoyote duniani ni kuwaunganisha wananchi wake wote na kuwa kitu kimoja, kutibu majeraha na kuwasikiliza wachache na kufikia muafaka.

Bàda ya hapo kazi ya pili huwa ni kujenga uchumi wa taifa.

Sasa kujaribu kujenga uchumi wa taifa bila kutibu majeraha yaliyoachwa na uchaguzi mkuu ni sawa na kupaua bati za msauzi kwenye nyumba ya matope.
Hakuna majeraha yoyote popote pale.

Watanzania tunaendelea na maisha yetu. Tulishamaliza uchaguzi na sasa hivi tunajenga nchi yetu. Bunge linaendelea, mashule na vyuo vinaendelea, michezo kama kawaida. Shughuli zetu za kijamii kama kawaida na everything is as normal na nyinyi mmekazania majeraha majeraha.

Nyinyi endeleeni na ndoto zenu Sisi tunaendelea kuishi maisha yetu.
 
Wewe uliwaruhusu kufanya mikutano.
IMG-20210910-WA0002.jpg

Nyie endeleeni na ujinga.

Kidumu Chama cha mapinduzi, milele daima.
 
Leo wabunge walimshangilia sana Kassimu Majaliwa bungeni tunaodadisi kila kitu hali ile haikuwa ya kawaida.

Shift of loyalty
Hahahahahahahaahhahaah

Wabunge wa CCM kumshangilia CCM mwenzao kwenu ni matumaini kwamba soon CCM itasambaratika???

You are better than this my friend. Hahahaahah

Aiseee nyie jamaa ni bure kabisa. Haya mkuu kila la kheri!
 
Ni vyema Serikali ifikie hatua iache kushupaza shingo na irejee katika maridhiano na wapinzani ili Taifa lirejee kuwa moja. Sijaona faida yoyote kwa mfano ya kumweka ndani Mbowe zaidi ya kukichafua na kuligawa Taifa!! Huenda hatulioni hili lkn viashiria mitaani vinaonesha kujengeka kwa chuki kuu miungoni mwa jamii hasa kutokana na suala la Mbowe! Madhara ya uamuzi wa Serikali kutunga kesi na kumtesa mtu ambaye tayari aliteswa na mwendazake hadi jamii nzima ikatambua siyo jambo jema hasa kwenye kipindi hiki kigumu cha mdororo wa Uchumi! Tuache siasa tuzingatie msuala ya msingi. Tanzania inazama kiuchumi kuliko tunavyoieleza!
Kama kuna uwezekano wa kuamini kwamba mama katekwa na genge fulani, sababu mojawapo ya kufanya watu waamini hivyo inahusiana na hili swala la Mbowe.

Hii kesi ilikuwa tayari imeandaliwa na Magufuli kwa maksudi la lengo lake la kuiua CHADEMA, ambayo ilikuwa tayari imeshindikana kuiua kwa njia zote alizokuwa amezitumia katika awamu yake ya kwanza.

Haiingii akilini kabisa Samia alirukie jambo hilo hilo haraka hivyo, tena baada ya kuonyesha dalili za kutaka kufanya mambo tofauti na ya yule mtangulizi wake.

Kuna sababu za kuamini kwamba hapa ndipo palipoanzia kiini cha kutekwa kwake.

Angelikomalia hili na kukataa kukubaliana na genge, hiyo ndiyo ingekuwa salama yake, tena angejijengea heshima kubwa sana na genge lingenywea moja kwa moja. Kukubali kwake kutumiwa juu ya jambo hili, ndio umetoa udhaifu wake nje nje, na kujiondolea heshima.

Sasa ni mateka, sijui atapata bahati gani tena ya kujinasua na kuanza kuendesha nchi kama kiongozi tena!
 
Tundu Lissu alisikika akituambia KIFO CHA YULE MLINZI WA KARIBU WA HAYATI MAGUFULI...yule jamaa mwili mkubwa mweusi asiye na uso wa tabasamu eti AMEONDOKA KWA COVID-19......

Chai
Chai
Chai
Chai


Hivi mh.Tundu Lissu si "pathological lier"?!!!!


#SiempreChifuMkuuHangaya
#NchiKwanza
Huyo mlinzi yupo?
 
Madaraka ni matamu sana. Mtu ukionja uwaziri utatamani sana upate uwaziri mkuu, ukiupata utatamani upate uraisi. Hizi ni preparation za kujenga cv ya kugombea uraisi. Toka nisome kitabu cha mkapa kwa kweli wazaramo na watu wa kusini uraisi hawatufai kabisa.

Masuala ya usalama yote yako chini ya Waziri mkuu, yeye ndio bosi wa Tiss kiutendaji na ndio maana Mawaziri wakuu wote walikuwa watu wa Tiss. Waweza kukumbuka ukaribu wa Mzee Lowasa na Marehemu Mwang'onda mpaka chadema.

It makes a lot of sense haya anayoyasema Lissu na potrayed blurr image anayoibuka nayo namba moja. Leo tozo zimekubalika, kesho Royal Tour, mara Mbowe alikimbia Nairobi, mara chanjo, mara ndege, mara yatima hadeki walimu siwezi kuongeza mshahara, sinema hazifikii katikati director anarukia scene ingine. Tukumbuke usemi wa hayati Nyerere aliposema Upinzani wa kweli utatoka ndani ya ccm. Kazi iendelee lakini hali ya gharama za vitu mtaani inazidi kupanda.
Kama mnakubaliana na kauli ya Nyerere kwamba upinzani wa kweli utatoka CCM basi wale wa ufipa wakatafute sehemu wakalelewe. Wachague either Belgium or Canada.

Mkae mkijua kama upinzani wa kweli utatoka CCM basi ni in the next 100 years to come sio Leo.

Maana Leo Chama kimeimarika zaidi na zaidi.
 
Nimeshangazwa na logic ya kitoto ya ndugu lissu eti Rais yupo under hostage taking situation halafu akatoa mifano yake ya uongo.
Kwa ufupi niseme hata Yeye Tundu lissu angefanikiwa kuwa Rais tungemuhesabu kuwa ni mateka wa mfumo wa ulinzi na usalama kwani hakuna ambalo angeweza kulifanya kinyume na maelekezo ya mfumo huo.
Huu ni mfumo wa kidunia na haujaanza leo na utaendelea.
Naye Lissu ni mateka wa nani huko Ubelgiji?
 
Yaani wewe huelewi lolote. Hata maana ya maneno hayo huyaelewi lakini bila aibu una comment...

Soma tena sentensi zako na aya yote hiyo kwa ujumla uone kama inaleta maana yoyote...

NITAKUFUNDISHA:

¶ Kuwa "held hostage" maana yake "kufanywa mateka" wa mtu au situation au maamuzi fulani

¶ "Son-in-law", maana yake kwa kisukuma chetu tunasema "Mkwilima" au "mkwe" kwa kiswahili chenu

¶ Na incase ulikuwa hujui, Mchengelwa (waziri ambaye TISS iko chini yake) ni mkwe wa Mama Samia Suluhu Hassan (Rais)...!

Kwa hiyo, Mchengelewa ni "Son-in-law" wa Rais Samia Suluhu. Mchengelwa anamwita Samia "mama mkwe" maana yake kaoa mwanae...!

Na kuwa "held hostage" ktk scenario hii, si kutekwa kimwili bali KIAKILI na KIMAAMUZI...

Kwa lugha nyingine, Rais Samia Suluhu Hassan literally amekabidhi mamlaka na madaraka ya Urais kwa watu wengine...!!
Kutekwa hapa iliyotulia unaweza kusema ni kama ile ya Kabila Jnr kuwekwa madarakani na watu waliokuwa na vested interest , ambao ukweli wao ndio wanao call the shot.
Au in context ya Bongo iwe yeye ni kiongozi, lakini wana toa maamuzi ambao hawaonekani ktk mfumo ndio wanaongoza nchi, hapa useme ni Tiss, Jeshi, au Kikundi cha watu now ya mfumo nk.
Lakini kwa mfano wewe ulilotumia au unaotaka kuwa onyesha watu ni Huyo Son in Law ambaye kaweka yeye mwenyewe , na waziri mkuu ndio msaidizi wake na wote hao wapo ktk mfumo wa kawaida wa utendaji wa kila siku wa serikali yake.
 
Kila siku nawaambia TL hana quality za kuwa Rais hata kidogo....taarifa za JF ndio taarifa alizonazo kifupi he is not well informed, nakumbuka issue ya mlinzi wa Marehemu JPM tena mbele ya international media anaongea tango poli....kipindi cha kampenin ametema waste nyingi sana binafsi nilimdharau sana..

inanikumbusha Dr Slaa vs Riz na madawa China, Bomba la gas Mt to Dubai chini ya bahari eti gas inaibiwa nilicheka sana na kumuona Dr kituko kabisa aisee...dah hawa ndio wanasiasa wanaotaka tuingie barabarani....ZZK anaweza kuwa mwanasiasa mzuri kuliko mwanasiasa yeyote interm of IQ nk...
Mimi kinachonishangaza zaidi ni hawa misukule yake anayoiburuza kwa taarifa za ajabu ajabu namna hii na yenyewe inakwenda tu.

Najiuliza hawa watu wanakula mavi?? Mbona akili zao ni mbovu namna hii???
 
Tundu Lissu alishawahi kusema kuwa "mmoja wa Walinzi wa karibu wa hayati Magufuli ,yule mweusi na mwili mkubwa kuwa amefariki kwa COVID".....

Kumbe ilikuwa ni CHAI CHAI CHAI tupu.......

Tundu aache kuwa "PATHOLOGICAL LIER".....
Wanaomuamini huyu jamaa aiseeeee. Inabidi wafanyiwe utafiti wa akili zao
 
Huyu tulimuonya mapema kwamba atimue sukuma gang wote akawaacha tu

Ndo maana kulikua na ccm ya watu wa mkapa, ccm ya kikwete, na magufuli akaja na ccm yake akatengeneza team yake akachukua hadi watu kutoka upinzani wakampa nguvu km watu wake....tatzo la mama hana team...hajatengeneza genge lake


Alionywa mapema asiendekeze lile genge la magu maana offcourse samia na majaliwa zilikua haziivi, walikua hata salam hawapeani but akamwaacha tu huyu mama alikosea angetengeneza serikali yake na watu wake anyofoe genge lote asuke kitu kipya na ndani ya chama awadhoofishe watu wanaohatarisha ushawish wake but aliwaacha tu

Sasa unavuna unachopanda tulikuonya juu ya wanaokuzunguka ukatuona hatuna akili hangaya hao wanakuangusha...

Huyu mama siku 100 alifanya makubwa lakini ghafla kabadilika jambo ambalo sio la kawaida kuna kitu hakipo sawa wakuu.....................kuna jambo limestuck mahali............haiwezekani samia wa siku 100 awe tofauti na wa sasa wawe tofauti wa asilimia 100 big no!
Mheshimiwa rais Mama Samia Suluhu Hassan alivyoanza tulimnasihi kwamba yaliyopita si ndwele. Everybody deserves the 2nd chance. Hebu tuwape wapinzani nafasi na kwa pamoja tujenge nao nchi yetu. Kwa kuwa Mama yetu ni mtu wa Mungu sana akakubali na kazi ikaanza.

Baada ya kuona Mama anaendesha nchi kwa staha, upendo, upole na kumshirikisha kila Mtanzania wale wajinga wajinga wakaanza kujifanya makambale watoto. Tukatumia njia hizi za mawasiliano kuwakumbusha na kuwanasihi lakini hawakusikia.

Mama nkatoka front na kuanza ku-draw some lines na ndani ya siku zake 100 alitoa angalizo kwamba "ukinizingua nakuzingua"

Wakakaa wale wavuta bangi wakaanza kusema watamnyoa Mama, wengine wakasema watamlazimisha maana sijui katiba mpya ni lazima. 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

Kilichofuata ni vilio kila kona 😄😄😄😄😄😄😄

Sasa nyinyi endeleeni na propaganda lakini nawaambia mkija mkishtuka ni July 2025, vilio vinaendelea.
 
Mheshimiwa rais Mama Samia Suluhu Hassan alivyoanza tulimnasihi kwamba yaliyopita si ndwele. Everybody deserves the 2nd chance. Hebu tuwape wapinzani nafasi na kwa pamoja tujenge nao nchi yetu. Kwa kuwa Mama yetu ni mtu wa Mungu sana akakubali na kazi ikaanza.

Baada ya kuona Mama anaendesha nchi kwa staha, upendo, upole na kumshirikisha kila Mtanzania wale wajinga wajinga wakaanza kujifanya makambale watoto. Tukatumia njia hizi za mawasiliano kuwakumbusha na kuwanasihi lakini hawakusikia.

Mama nkatoka front na kuanza ku-draw some lines na ndani ya siku zake 100 alitoa angalizo kwamba "ukinizingua nakuzingua"

Wakakaa wale wavuta bangi wakaanza kusema watamnyoa Mama, wengine wakasema watamlazimisha maana sijui katiba mpya ni lazima. 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

Kilichofuata ni vilio kila kona 😄😄😄😄😄😄😄

Sasa nyinyi endeleeni na propaganda lakini nawaambia mkija mkishtuka ni July 2025, vilio vinaendelea.
🤣🤣👍
 
Eti halafu nyinyi ndio mpewe nchi muongoze??? Badala ya kushughulika na vitu vya maana mnaendekeza umbea tu.

Nyinyi endeleeni kupiga soga huku CCM inajipanga na mikutano ya mpaka kwenye matawi huko. Mkija mkishtuka ni July 2025, mnachezea kichapo tena ikifika October 2025 mnaanza kujazana ujinga wa muandamane.

Ama kweli CCM itaendelea kutawala for more years to come.

Viva CCM viva Mama Samia Suluhu Hassan.
Kipaumbele ni ccm kushinda uchaguzi tu, uchumi na hali za wananchi watajijua wenyewe!
 
A presd with less than 6 months can't get such a free time to get into a TV show especially for a country like Tz otherwise sha s gatting a dedicated bckup.
She has been insisting all along the way that she is gonna deal with economy. Tourism sector is one of the major contributor of our economic growth and she is right on putting it on top of her list.

Nyinyi endeleeni kukosoa tu
 
Hakuna majeraha yoyote popote pale.

Watanzania tunaendelea na maisha yetu. Tulishamaliza uchaguzi na sasa hivi tunajenga nchi yetu. Bunge linaendelea, mashule na vyuo vinaendelea, michezo kama kawaida. Shughuli zetu za kijamii kama kawaida na everything is as normal na nyinyi mmekazania majeraha majeraha.

Nyinyi endeleeni na ndoto zenu Sisi tunaendelea kuishi maisha yetu.
Ndio mnavyoligawa taifa hamuangalii mioyo ya mliowaumiza siku majitu yenu yakifa Kama magufuli msitulazimishe tulie wote.
 
Back
Top Bottom