Lissu afunguliwe mashtaka kwa kutoa taarifa za uongo

Lissu afunguliwe mashtaka kwa kutoa taarifa za uongo

Huzo hekaya za wazungu wazungu wazungu zimeshapitwa na wakati. Kajipange tena..Magaidi wao ndani ya ccm unasingizia wazungu😅😅
Duuuh......

Yaani alichosema ni hekaya?!!

Mkuu endelea kujipumbaza....
 
Hivi hamna jema Mama Samia atafanya mkamsifia.......
Mh Rais Mama Samia yuko vzr tuu na sivyo dua zenu mbaya zitawarudia wenyewe...
Tulia wewe hujui kitu...wewe ni panya mdogo Sana......Halafu jifunze kutuliza akili na usome kitu kwa makini...sio unakurupuka kuandika...

Shwain
 
She has been insisting all along the way that she is gonna deal with economy. Tourism sector is one of the major contributor of our economic growth and she is right on putting it on top of her list.

Nyinyi endeleeni kukosoa tu

Unatumia nguvu nyingi sana
 
Nilikuwa nawaza utawavutiaje wawekezaji na utalii Hadi "uchifu" unaenda kuwapora wasukuma
 
Nilikuwa nawaza utawavutiaje wawekezaji na utalii Hadi "uchifu" unaenda kuwapora wasukuma
FB_IMG_16307140795615105.jpg
 
Kwahiyo na wewe mkuu unadhani hata akiwemo ofisini hayo "mafaili mazito " anaweza kuya-access yeye tu??

Hamuelewi kwamba Urais ni taasisi???
Hawataki kuelewa kwa kuwa pale UFIPA kuna "one man show" kwa hii miaka yote 20....mwenyekiti wao ambaye "ANAHODHI" kila kitu na kila jambo walimpa "uchifu" wao wenyewe humohumo ndani muda mrefu sana kabla ya hata hivi majuzi CHIFU MKUU CHIFU WA MACHIFU HANGAYA yeye kusimikwa na machifu wa makabila zaidi ya 100....zaidi ya 100!!!!
 
Duuh bado unang'ang'ana tu kuwa huyo mlinzi hayuko hai?!!! 😲😲🤣🤣
Haya mkuu endelea KUJIFURAHISHA NAFSI YAKO.....

Karibu kahawa ya "cappuccino" hapa.....
Mkuu unaipigia wapi hii kitu??

Right after my shift ends I would like to join for a cup or two.

Hii hapa coffee house huku stone town karibu na mchamba wima pale nshaizoea sana
 
Akiongea katika kipindi cha Maria Sarungi Space Jana akijibu maswali mbalimbali ya washiriki wa mjadala huo, Tundu Lissu ametoa taarifa serious kidogo kuhusu Rais na nchi yetu...

Kwamba, taarifa walizonazo kwa sasa ni kuwa "....Madam President Samia Suluhu Hassan is held hostage..." , kwamba si yeye anayeongoza nchi kwa sasa. Ameshauriwa yeye akae pembeni na swala la usalama wa nchi awaachie PM Majaliwa na waziri wa usalama, Mchengelewa washughulike nalo...
View attachment 1932324

MAONI YANGU:

Kama hii ni kweli, kikatiba imekaaje? Kama Rais huyu mama kakubali ushauri huu, atakuwa anajua kweli jukumu na wajibu wake kama Rais wa nchi...? Kwanini washauri wake wakuu wamefanya hivi..? Ni kama vile amefanywa mdoli na wajanja kuuchezea kwa kutumia "udhaifu wa mwanamke" ili wafanye mambo yao..!!

Kuna possibility kubwa hili linaweza kuwa la kweli kwa kuangalia viashiria fulani fulani...

Hebu chunguzeni ziara na matukio ambayo Rais Samia Suluhu anapangiwa kushiriki kwa takribani miezi miwili iliyopita....

Ni yale ya utoto utoto tu ambayo siyo level yake kuyafanya kwani yangeweza kufanywa na wasaidizi wake kama waziri wa sekta husika, RC au DC...

Inashangaza kuwa anajihusisha ktk mambo madogo madogo mno huku akiacha kuumiza akili kushughulika na maswala serious kama vile hali ngumu ya uchumi, tozo kandamizi, hali tete na mbaya ya kisiasa na mengine mengi yanayohusu nchi na wananchi ambayo kwa sasa yanaelea elea hewani tu bila mwongozo thabiti toka kwa Rais kiongozi makini wa nchi...

Angalia matukio anayoshiriki Rais; mfano Royal Tour, kushiriki tamasha la ngoma za kienyeji Magu Mwanza nk nk ni ya kupumbaza tu, yasiyo na positive impact yoyote katika maisha ya watu kwa ujumla. Nyuma ya matukio haya lipo lengo fulani baya nyuma ya pazia. THE TIME WILL TELL...

Naweza kuamini hili la Tundu Lissu kwa 99%...
duuh
 
Kuwa “held hostage” sio lazima uwe umepigwa pingu under lock & key. Unaweza kuwa unazunguka huko na huko controlled by remote control.

Yaani unapangiwa tu nini useme/usiseme, nini ufanye/usifanye na wapi uende/usiende etc na kundi la watu flani ambao huna cha kuwafanya kwa kuwa most likely wana kitu flani against you (sort of blackmailing).

Ndicho Hangaya anacho experience kwa sasa.
Ila Lisu anapoint hapa! Tusimchukulie poa mambo nchi hii yanaenda ovyo ovyo yaani kama nchi za wenzet hizi tozo pangenuka!
 
Ninachojiuliza, kwa uchumi upi Mama atakaotumia mwakani kuongeza Watumishi Mishahara!!? Au ndiyo danganya toto!! Yaaani mambo ni mengi sana!
Sio katika level yako kuweza kuona hilo. Wewe kaa usubiri tarehe 1 May 2022 Mheshimiwa rais Mama Samia Suluhu Hassan anavyoongeza mishahara.
 
Hata kabla ya TAL, niliambiwa na afisa mkubwa wa wasiojulikana kuwa wao kwa sasa wanaripoti kwa Maajaliwa.

Kwa ujumla hanangaya, yupo ka alama tu lakini siyo kiutendaji.
Acheni kudanganyana nyie yani mtu akivaa kaunda suti basi kashakua afisa usalama
 
Akiongea katika kipindi cha Maria Sarungi Space Jana akijibu maswali mbalimbali ya washiriki wa mjadala huo, Tundu Lissu ametoa taarifa serious kidogo kuhusu Rais na nchi yetu...

Kwamba, taarifa walizonazo kwa sasa ni kuwa "....Madam President Samia Suluhu Hassan is held hostage..." , kwamba si yeye anayeongoza nchi kwa sasa. Ameshauriwa yeye akae pembeni na swala la usalama wa nchi awaachie PM Majaliwa na waziri wa usalama, Mchengelewa washughulike nalo...
View attachment 1932324

MAONI YANGU:

Kama hii ni kweli, kikatiba imekaaje? Kama Rais huyu mama kakubali ushauri huu, atakuwa anajua kweli jukumu na wajibu wake kama Rais wa nchi...? Kwanini washauri wake wakuu wamefanya hivi..? Ni kama vile amefanywa mdoli na wajanja kuuchezea kwa kutumia "udhaifu wa mwanamke" ili wafanye mambo yao..!!

Kuna possibility kubwa hili linaweza kuwa la kweli kwa kuangalia viashiria fulani fulani...

Hebu chunguzeni ziara na matukio ambayo Rais Samia Suluhu anapangiwa kushiriki kwa takribani miezi miwili iliyopita....

Ni yale ya utoto utoto tu ambayo siyo level yake kuyafanya kwani yangeweza kufanywa na wasaidizi wake kama waziri wa sekta husika, RC au DC...

Inashangaza kuwa anajihusisha ktk mambo madogo madogo mno huku akiacha kuumiza akili kushughulika na maswala serious kama vile hali ngumu ya uchumi, tozo kandamizi, hali tete na mbaya ya kisiasa na mengine mengi yanayohusu nchi na wananchi ambayo kwa sasa yanaelea elea hewani tu bila mwongozo thabiti toka kwa Rais kiongozi makini wa nchi...

Angalia matukio anayoshiriki Rais; mfano Royal Tour, kushiriki tamasha la ngoma za kienyeji Magu Mwanza nk nk ni ya kupumbaza tu, yasiyo na positive impact yoyote katika maisha ya watu kwa ujumla. Nyuma ya matukio haya lipo lengo fulani baya nyuma ya pazia. THE TIME WILL TELL...

Naweza kuamini hili la Tundu Lissu kwa 99%...
Siasa za maji taka
 
Kipindi Mkapa akimwita Lissu kuwa ni mjinga aliyefichama kwenye taaluma, ilikuwa ni baada ya lisu kusema kuwa mikataba ya madini tunayoingia ni mibovu. Miaka 20 baadaye CCM na serekali yake ikakiri kuwa Mikataba hiyo ni mibovu............ slow learners!
 
Ndio mnavyoligawa taifa hamuangalii mioyo ya mliowaumiza siku majitu yenu yakifa Kama magufuli msitulazimishe tulie wote.
Sasa hata kama ni kweli tunaendelea na maisha yetu tusiseme??

Yaani nyinyi mtudanganye tu kwamba hali mbaya, sijui nchi inaongozwa na waziri, tutashtakiwa MIGA tukae tu tunawaangalia kisa sijui kuligawa taifa???

Kama kufa kila mtu atakufa, akifa Magu nyinyi msilie na akifa Baregu na Sisi hatulii.
 
Back
Top Bottom