Pre GE2025 Lissu aishangaa CHADEMA ilimpokeaje Nyalandu

Pre GE2025 Lissu aishangaa CHADEMA ilimpokeaje Nyalandu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kama Kuna kosa kubwa walifanya uongozi wa cdm ni kuwapokea wanasiasa maslahi wa ccm, the likes of Lowassa, Nyalandu, Msindai na takataka za aina hiyo. Mbowe angekuwa anajali uwajibikaji alipaswa kijiuzulu uenyekiti na kukiri kufanya makosa kwa kupokea hao wahuni, na kuwapa nafasi adhimu huko cdm.
Utaratibu wa kutetea kila maamuzi ya viongozi wa chama bila kuangalia faida au hasara zake ni mbaya sana.
Wapinzani wakifanya hivyo wanakuwa hawana tofauti na wanachama wa CCM.

Kuna kipindi mlikuwa mnatetea akina Mbowe kila kitu. Nikasema siwezi kuwa na chama kamwe. Siwezi kuwa katika kapu moja la 'collective imbecile' na kuburuzwa kama nyumbu.
 
View attachment 3012349

Akiendeleza kile tunachoita ukosoaji wa maamuzi nyeti ya chama chake yaliyopita kwenye mikono ya mwenyekiti Mbowe.
Lissu amehoji ilikuwaje mpaka Chadema ikampokea Nyalandu.

Niwakumbushe Nyalandu ndio mbunge pekee wa CCM aliyeenda kumjulia hali Lissu akiwa hospital jijini Nairobi.

View attachment 3012350
Lisu ana tatizo la afya ya akili toka alipojeruhiwa chadema wawe makini kabla hawajampa madaraka makubwa
 
Ipo siku atashangaa pia Mbowe kuwa Mwenyekiti wa kudumu.

Ndivyo walivyo wanafiki.
 
View attachment 3012349

Akiendeleza kile tunachoita ukosoaji wa maamuzi nyeti ya chama chake yaliyopita kwenye mikono ya mwenyekiti Mbowe.
Lissu amehoji ilikuwaje mpaka Chadema ikampokea Nyalandu.

Niwakumbushe Nyalandu ndio mbunge pekee wa CCM aliyeenda kumjulia hali Lissu akiwa hospital jijini Nairobi.

View attachment 3012350
Kichwa na habari ni tofauti na alichokisema Lissu.

"Lissu aishangaa Chadema ilimpokeaje Nyalandu",​

ISOMEKE, "SIJUI TULIMPOKEAJE NYALANDU" akiwa na maana naye alishiriki kwenye uamuzi, kama haujui kiswahili omba msaada.
Naona pia wengi walioandika hawajui kiswahili.
 
Chawa bhn, ukisoma hiyo habari imeandikwa 'Lisu ashangaa CHADEMA tulimpokeaji Nyalandu' kwamba na yeye Lissu alihusika ktk kumkaribisha Nyalandu hivyo kama ni kufanya makosa naye alihusika.
Ila chawa nyie mnatuambia Lissu aishangaa CHADEMA kumkabisha Nyalandu, kwamba yeye hakuhusika ktk uamuzi huo bila shaka ilikuwa ni uamuzi wa MBOWE🤣🤣🤣 ili kunogesha habari yenu na malengo yawe yametimia!.
 
Kwa hili Lisu nampiga, Nyalandu alifanya kazi kubwa sn kipindi yeye akiwa mgonjwa, mchango wake ni mkubwa sn kwa CHADEMA.
Lissu ndio kagoma sasa,ufisadi wa chadema unamkera sana lissu,Lissu aseme wazi sasa anagombea ucheaman ili aungwe mkono na mamilioni ya wapenda haki.
 
View attachment 3012349

Akiendeleza kile tunachoita ukosoaji wa maamuzi nyeti ya chama chake yaliyopita kwenye mikono ya mwenyekiti Mbowe.
Lissu amehoji ilikuwaje mpaka Chadema ikampokea Nyalandu.

Niwakumbushe Nyalandu ndio mbunge pekee wa CCM aliyeenda kumjulia hali Lissu akiwa hospital jijini Nairobi.

View attachment 3012350
Hapo Lisu nakukatalia. Nyarandu by that time was to his senses! Aliacha ubunge kwa kupinga matendo ya Magufuli. Alikwenda Nairobi kukuona defying instructions from Magufuli!
Majira hubailika! Baadaye alirudi CCM , akakengeuka kama wanavyokengeuka wengi. hata CCM ikitoka madarakani, utaona uhalisia wa hao wanaojiita wana CCM kindakinda. Erythrocyte
 
Kutarajia mwanasiasa awe shabini (consistent) katika maneno na maamuzi yake ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu.

Siasa ni sanaa na sayansi inayotegemea upepo wa mawazo ya umma na vipaumbele kadha wa kadha ili kufanya mabadiliko hususan ya kitawala na uchumi na kijamii.

Kwenye akili ya mwanasiasa, matokeo ndiyo yanahalalisha mbinu iliyotumika (iwe chafu au safi).

Kwa mantiki hiyo, si ajabu wachache wakatolewa kafara kwa manufaa ya wengi.
 
Kwa hili Lisu nampiga, Nyalandu alifanya kazi kubwa sn kipindi yeye akiwa mgonjwa, mchango wake ni mkubwa sn kwa CHADEMA.
Nasikia kwenye kura za kupata mgombea wa cdm kwenye urais Nyalandu akimgaragaza vibaya Lissu. Lakin wakaamua kugeuza na kumpitisha tu Lissu. Lissu ana chuki na wivu.
 
Kama Kuna kosa kubwa walifanya uongozi wa cdm ni kuwapokea wanasiasa maslahi wa ccm, the likes of Lowassa, Nyalandu, Msindai na takataka za aina hiyo. Mbowe angekuwa anajali uwajibikaji alipaswa kijiuzulu uenyekiti na kukiri kufanya makosa kwa kupokea hao wahuni, na kuwapa nafasi adhimu huko cdm.


Mbowe ndio Chadema hawezi ondoka, akiondoka chama kinakufa.
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
View attachment 3012349

Akiendeleza kile tunachoita ukosoaji wa maamuzi nyeti ya chama chake yaliyopita kwenye mikono ya mwenyekiti Mbowe.
Lissu amehoji ilikuwaje mpaka Chadema ikampokea Nyalandu.

Niwakumbushe Nyalandu ndio mbunge pekee wa CCM aliyeenda kumjulia hali Lissu akiwa hospital jijini Nairobi.

View attachment 3012350
KWA KAULI HIZI, MAANA YAKE CHADEMA HAKUPO SHWARI TENA, INASUBIRIWA TU MUDA UFIKE, KILA MMOJA AOKOTE MBAO ZAKE ASEPE!
-Mwenyekiti, acha waende, kama wengi tu, walivyoondoka, uimara wa chadema unabakia pale pale, chama makini hakiwezi kushikwa aidha kuongozwa na mtu mmoja mroho wa madaraka, anayejiona yeye pekee ndiye mwenye akili kubwa chamani, chama ni wanachama, chama ni majadiliano, chama ni mikutano ya ndani katika Kujadili mitafaruku ndani ya Chama, chadema watakuwa wajinga sana endapo wataruhusu miungu watu wenye ubinafsi, ""LISSU ONDOKA CHAMA KINUSURIKE INATOSHA SASA""
 
Akili zimeanza kuwarudi sasa.
Tulipopinga gia ya angani mlituzodoa na kututukana humu.
Ila muda huwa ni mwalimu mzuri.
Chadema ya Mbowe ni ngumu kwa mwenye akili timamu kuiamini.
Na km itaenda hivihivi hadi uchaguzi na tusipopata chama kingine mbadala, wananchi watakaojitokeza kupiga kura watakuwa wachache sana.
Ni muda wa Mbowe kuondoka au kususiwa chama chake.
Umejiunga hapa jukwaani 2017 miaka miwili baada ya hiyo gia ya angani. Ulimzodoa nani miaka miwili baada ya gia ya angani? Mimi nimepinga tena humu humu toka Lowassa kapokelewa na kupewa nafasi ya kugombea urais kwa njia ya Vodafasta, pitia post zangu za nyuma ndio uje na maelezo haya.

Wapiga kura watakuwa wachache sana sio kwa sababu ya Mbowe kung'ang'ania madarakani, bali ni kwasababu ya chaguzi zetu za kishenzi ambapo kura zao haziheshimiwi.

Suala la kuanzisha chama kingine Cha siasa huo ni mpango wa muda mrefu wa Tiss. Lengo ni kuendelea kucheza na akili za wananchi Ili ccm iendelee kusalia madarakani kwa shuruti. Unaweza hata ww kuanzisha chama Cha siasa kama unaona vipi, au ww unasubiriwi kuanzishiwa chama tu?
 
Kwani hapa amezungumzia uginjwa wake au Nyalandu kujiunga / kupokelewa Cdm?!
Hakuna mtu alipokelewa Chadema Bila kikao kumsukumizia yote Mbowe sio sahihi

Lisu Vizuri aheshimu maamuzi ya Chama badala ya kuelekeza personal atlacks Kwa Mbowe
 
Mbowe alikuwa anataka kuongeza idadi ya wabunge tu bila kujali anamkubali nani kwenye chama, ndiyo maana kina Shibuda walikuja kuleta tabu sana CHADEMA.
Shibuda alikuja kabla ya ule upuuzi wa 2015, maana yeye aliingia 2010. Nilidhani cdm walijifunza kutokana na mwenendo wa Shibuda ndani ya cdm, maana Shibuda alikuwa mbunge kwa ticket ya cdm, lakini akabaki mwanaccm mtiifu. Ilifikia hatua hadi cdm wakamtenga Shibuda. Lakini 2015 wakafanya maamuzi ya kipuuzi kabisa kuliko ya huyo Shibuda.

Hata ukitazama kundi kubwa la viongozi wa cdm waliorejea ccm wakati wa dhalimu magu kwenye kampeni ya kuunga mkononi juhudi, ni wale waluokuja muda mfupi Kabla ya uchaguzi wa 2015, na kupewa nafasi kama Lowassa. Na mmoja kati ya waliorejea ccm ni huyo Lowassa. Nilisangaa sana Mbowe kupata ujasiri wa kugombea uenyekiti tena baada ya ile political blunder ya 2015! Mbowe alitakiwa kujiuzulu muda mrefu baada ya kete ya Lowassa kushindwa kuchukua urais.
 
Umekumbwa na nini kiongozi?
Hiki ulicho andika hapa nilikuwa naandika humu JF na kuwalaumu viongozi wa CHADEMA a countless times.
Na ndiyo sababu ya Mimi na wengine kuacha kushabikia au kuwa wanachama wa CHADEMA tangu kosa hili 2015.
Wewe ulikuwa mtetezi unasema siyo kosa. Tumebishana Sana hapa, comments zetu zipo Kama ushahidi.

Muda ni mwalimu mzuri Sana, unfortunately inakuwa too late, a window of opportunity has slipped or passed away with a sliding frame of time. Ule mwaka angepewa ugombea hata kijana mdogo mradi angetokea CHADEMA mle mle au yeyote toka chama chochote siyo waliotuhumiwa ufisadi mkubwa siasa za Tanzania zingechukua sura mpya na raisi toka chama kipya CHADEMA.
Nitag kwenye post Mojawapo niliyounga mkono ule upuuzi boss.
 
Back
Top Bottom