Lissu ajifunze kwa Trump. Pamoja na tofauti za kisiasa na Biden, hajamnyooshea kidole

Lissu ajifunze kwa Trump. Pamoja na tofauti za kisiasa na Biden, hajamnyooshea kidole

Tundu Lisu aliposhambuliwa na blankons alitoka kifua mbele akailaani serikali akamlaani Magufuli bila kujua kuwa waliojifanya kuwa karibu naye ndio waliratibu hayo mashambulizi ya Blancons

lkn Trump kashambuliwa hajailaumu serikali wala hajamlaumu Biden hili ni fundisho kwa Lisu na wanasiasa uchwara wengine
Jinga sn, nani alitoa CCTV camera pale?
 
Kwa sasa hata wewe mwenyewe hujui una hoja gani ambayo unatakiwa kujibiwa.

Sina muda wa kuijadili CCM ni hovyo, anaetamba kwa sababu hana mbadala.

Hoja hapa ni assassination attempts kwa mujibu wa mtazamo wa usalama wa taifa and deducting what might influence their motives to act (not necessarily is whet transpired but just hypothetical scenarios).

Where I stand inabidi uanzie post yangu ambayo ni number kwenye hii mada. The summarise Lissu alitoa kila sababu ya kushambuliwa not necessary serikali ilihusika.
Wewe ndio hujui kitu. Mambo basic tu yanakushinda. Mleta mada kaongelea kuhusu Trump kutokumnyooshea kidole Biden kwa kumpare na Lissu kumnyoshea kidole Magufuli. Ungejikita hapo, ila wewe unaleta stori sijui education system mara mambo ya contract law.

Wewe huwa unajifanya kujua mambo kumbe poyoyo tu, hakuna unachojua. Marekani wameshughulikia Jambo Hilo kwa haraka. Wamemuua muhusika mapema Sana na wameitoa taarifa zote zinazomuhusu mapema Sana.
 
Tundu Lisu aliposhambuliwa na blankons alitoka kifua mbele akailaani serikali akamlaani Magufuli bila kujua kuwa waliojifanya kuwa karibu naye ndio waliratibu hayo mashambulizi ya Blancons

lkn Trump kashambuliwa hajailaumu serikali wala hajamlaumu Biden hili ni fundisho kwa Lisu na wanasiasa uchwara wengine

Crap from mind crippled.

Unalinganisha mambo yasiyokaribiana.

Trump ameshambuliwa, vyombo vya dola vimepambana na kumkabili na kummaliza mshambuliaji wakati huo huo. Na uchunguzi wa awali tayari aliyemshambulia amejulikana. Na uchunguzi zaidi unaendelea kujua mengi zaidi kuhusiana na shambulio.

Lisu kabla ya kushambiliwa kwake, walinzi waliondolewa, gate lilifunguliwa na walinzi ili kuwezesha washambuliaji kuingia. Baada ya kumaliza uharamia wao wa kumshambulia, walifunguliwa gate watoke salama. Barabarani wakati wanatoka, askari walisimamisha magari na bodaboda kuwapisha washambuliaji, CCTV camera ziliondolewa ili kuhakikisha washambuliaji hawafamiki kwa watu wengine isipokuwa kwa wapangaji wa shambulio.

Lazima uwe kichaa wa pekee kiyalinganisha matukio haya mawili ambapo tukio la USA unaona kabisa kuwa vyombo vya dola vilipambana dhidi ya mshambuliaji, wakati Tanzania, vyombo vya dola vilihakikisha vimetenegeneza mazingira ya kuwezesha shambulio, na baada ya shambulio vilihakikisha washambuliaji hawakamatwi, na wala havikjishughulisha na upelelezi.
 
Kuna roho mbaya wabongo wanajitahidi kijipandikiza. Inapofikia mambo ya uhai, weka siasa pembeni. Shida wakati wa uhai tunajaribu kuweka siasa.

Lissu katoa taarifa mapema kuwa anafuatiliwa na gari Fulani, mkadai ni kiki, baada ya kushambuliwa miaka na stori nyingi, mara kajishambulia mwenyewe, mara Mbowe , mara wabaya wake. Lakini jeshi la polisi halikuchukua hatua yeyote mpaka Leo. Halafu anakuja mjinga mmoja kulinganisha US na Tanzania.
 
Kwa Trump haina shida kwa sababu waliotaka kutekeleza assisnation WAMEJULIKANA! Vyombo vya Usalama vimefanyakazi yake na vinaendelea kufanya upelelezi kujua chanzo chake ni nini?
Who was behind?
Waliotaka kumua Lissu WAMEJULIKANA? Vyombo vya Usalama ambavyo vina dhamana ya kulinda raia na mali zao vimefanya nini?
Sasa kwa nini Lissu asiilaumu Serikali?

Huyu punguani analingamisha mambo yaliyo kinyume kabisa.

Marekani vyombo vya dola vimepambana kufanya uokozi.

Tanzania vyombo vya dola vilipambana kuhakikisha shambulio linafanikiwa.

Kama una akili hata kidogo kabisa, utalingamishajie hayo matukio mawili? Mleta mada, yumkini alikuwa miongoni mwa washiriki wa shambulio dhidi ya Lisu. Anahangaika akifikiri kwa huu ujinga aliouleta labda anaweza kuishi kwa amani, ukizingatia kila.mmoja anamwona ni miongoni mwa mashetani waliosalia.
 
Kuna roho mbaya wabongo wanajitahidi kijipandikiza. Inapofikia mambo ya uhai, weka siasa pembeni. Shida wakati wa uhai tunajaribu kuweka siasa.

Lissu katoa taarifa mapema kuwa anafuatiliwa na gari Fulani, mkadai ni kiki, baada ya kushambuliwa miaka na stori nyingi, mara kajishambulia mwenyewe, mara Mbowe , mara wabaya wake. Lakini jeshi la polisi halikuchukua hatua yeyote mpaka Leo. Halafu anakuja mjinga mmoja kulinganisha US na Tanzania.

Hao wanoyasema haya uliyoyaandika ndio wauaji wenyewe. Wanayasema hayo wakiamini wanaweza kuuhadaa umma ili waendelee kuua watu bila ya kunyoshewa vidole na mtu yeyote.
 
Tundu Lissu aliposhambuliwa na blankons alitoka kifua mbele akailaani Sserikali akamlaani Hayati Magufuli bila kujua kuwa waliojifanya kuwa karibu naye ndio waliratibu hayo mashambulizi ya Blancons

lkn Trump kashambuliwa hajailaumu Serikali wala hajamlaumu Biden. Hili ni fundisho kwa Lissu na wanasiasa uchwara wengine
Sas unataka kufananisha nchi mbili zenye mifumo tofauti kabisa. Wenzetu vyombo vya ulinzi na usalama vinajitegemea na ndio maana kwenye kampeni vinatoa ulinzi ule mzito kwa wagombea wote. Raisi aliyepo madarakani hana nguvu yoyote ya kimaamuzi au kishawishi kwa vyombo hivyo. Huku kwetu ni kinyume chake, vyombo vya dola ni sehemu ya uharamia wa serikali.
 
Tundu Lissu aliposhambuliwa na blankons alitoka kifua mbele akailaani Sserikali akamlaani Hayati Magufuli bila kujua kuwa waliojifanya kuwa karibu naye ndio waliratibu hayo mashambulizi ya Blancons

lkn Trump kashambuliwa hajailaumu Serikali wala hajamlaumu Biden. Hili ni fundisho kwa Lissu na wanasiasa uchwara wengine.

Pia soma
Huyo mimi waga simuamini
 
Wewe ndio hujui kitu. Mambo basic tu yanakushinda. Mleta mada kaongelea kuhusu Trump kutokumnyooshea kidole Biden kwa kumpare na Lissu kumnyoshea kidole Magufuli. Ungejikita hapo, ila wewe unaleta stori sijui education system mara mambo ya contract law.

Wewe huwa unajifanya kujua mambo kumbe poyoyo tu, hakuna unachojua. Marekani wameshughulikia Jambo Hilo kwa haraka. Wamemuua muhusika mapema Sana na wameitoa taarifa zote zinazomuhusu mapema Sana.
Mimi tena poyoyo salaleh

Elewa kutofautisha when two contrary stories with vast motive differentiation but a familiar final decision are not the same.

Motives za dogo alieamua kumtungua Trump na Sababu za watu walioamua kumshambulia Lissu ni contrary.

Hakuna evidence ya motives za wote au hata tabia za binadamu kufanana kwenye kutupa lawama.

As far as uropokaji goes in line with demagogue politics (Magufuli and Trump are at opposite ends) what they said irritates different groups. Marekani ukiongea upuuzi unaweza wakera raia wenye silaha na Tanzania ni raia wasio na silaha na hawana tabia ya ku act.

Who would be responded to act most likely in US secret services/civilian; Tanzania ni security services.

Denial culture US wamejipanga kushinda Tanzania.

Mąkosa ya Lissu (being a national security) kwa marekani raia anaweza mshambulia kwa hasira, Iła kwa usalama wao wasingemuacha kwa ule upuuzi wake.

Believe me sijui sana siasa za US, hila kwa uingereza upuuzi aliokuwa anafanya Lissu kipindi cha Magufuli either serikali ilikuwa right or wrong wasingemshambulia kishamba vile. Ila bad things happen kwa watu wanaoingilia mambo ya serikali.
 
Sas unataka kufananisha nchi mbili zenye mifumo tofauti kabisa. Wenzetu vyombo vya ulinzi na usalama vinajitegemea na ndio maana kwenye kampeni vinatoa ulinzi ule mzito kwa wagombea wote. Raisi aliyepo madarakani hana nguvu yoyote ya kimaamuzi au kishawishi kwa vyombo hivyo. Huku kwetu ni kinyume chake, vyombo vya dola ni sehemu ya uharamia wa serikali.
Wanasiasa wa bongo wanawaza tu kuhongwa kilichomponza tundu Lissu akalambwa Blancons na Mboye kwa ushirikiano na Accacia na yeye kwa sababu ni lopolopo akajiunga kufanya ulopo logo lijinga Sana lile jamaa lijifunze siasa za wazungu
 
Mimi tena poyoyo salaleh

Elewa kutofautisha when two contrary stories with vast motive differentiation but a familiar final decision are not the same.

Motives za dogo alieamua kumtungua Trump na Sababu za watu walioamua kumshambulia Lissu ni contrary.

Hakuna evidence ya motives za wote au hata tabia za binadamu kufanana kwenye kutupa lawama.

As far as uropokaji goes in line with demagogue politics (Magufuli and Trump are at opposite ends) what they said irritates different groups. Marekani ukiongea upuuzi unaweza wakera raia wenye silaha na Tanzania ni raia wasio na silaha na hawana tabia ya ku act.

Who would be responded to act most likely in US secret services/civilian; Tanzania ni security services.

Denial culture US wamejipanga kushinda Tanzania.

Mąkosa ya Lissu (being a national security) kwa marekani raia anaweza mshambulia kwa hasira, Iła kwa usalama wao wasingemuacha kwa ule upuuzi wake.

Believe me sijui sana siasa za US, hila kwa uingereza upuuzi aliokuwa anafanya Lissu kipindi cha Magufuli either serikali ilikuwa right or wrong wasingemshambulia kishamba vile. Ila bad things happen kwa watu wanaoingilia mambo ya serikali.
expand...
Wanasiasa wa bongo wanawaza tu kuhongwa kilichomponza tundu Lissu akalambwa Blancons na Mboye kwa ushirikiano na Accacia na yeye kwa sababu ni lopolopo akajiunga kufanya ulopo logo lijinga Sana lile jamaa lijifunze siasa za wazungu
 
Hao wanoyasema haya uliyoyaandika ndio wauaji wenyewe. Wanayasema hayo wakiamini wanaweza kuuhadaa umma ili waendelee kuua watu bila ya kunyoshewa vidole na mtu yeyote.
expand...
Wanasiasa wa bongo wanawaza tu kuhongwa kilichomponza tundu Lissu akalambwa Blancons na Mboye kwa ushirikiano na Accacia na yeye kwa sababu ni lopolopo akajiunga kufanya ulopo logo lijinga Sana lile jamaa lijifunze siasa za wazungu
 
Wanasiasa wa bongo wanawaza tu kuhongwa kilichomponza tundu Lissu akalambwa Blancons na Mboye kwa ushirikiano na Accacia na yeye kwa sababu ni lopolopo akajiunga kufanya ulopo logo lijinga Sana lile jamaa lijifunze siasa za wazungu

Wewe ni punguani muuaji. Ungekuwa bado una utimamu wa akili, ungetulia tu. Yumkini damu za watu zinakuandama, bila kujitambua unaishia kuropoka ropoka kama unavyofanya.
 
Wewe ni kweli ni punguani mnafiki. Hivi kwa akili yako hiyo kibaba unaona unaweza kumhadaa yeye kwa huo uovu wenu mliokuwa mmeufanya?
expand...
Wanasiasa wa bongo wanawaza tu kuhongwa kilichomponza tundu Lissu akalambwa Blancons na Mboye kwa ushirikiano na Accacia na yeye kwa sababu ni lopolopo akajiunga kufanya ulopo logo lijinga Sana lile jamaa lijifunze siasa za wazungu
 
Crap from mind crippled.

Unalinganisha mambo yasiyokaribiana.

Trump ameshambuliwa, vyombo vya dola vimepambana na kumkabili na kummaliza mshambuliaji wakati huo huo. Na uchunguzi wa awali tayari aliyemshambulia amejulikana. Na uchunguzi zaidi unaendelea kujua mengi zaidi kuhusiana na shambulio.

Lisu kabla ya kushambiliwa kwake, walinzi waliondolewa, gate lilifunguliwa na walinzi ili kuwezesha washambuliaji kuingia. Baada ya kumaliza uharamia wao wa kumshambulia, walifunguliwa gate watoke salama. Barabarani wakati wanatoka, askari walisimamisha magari na bodaboda kuwapisha washambuliaji, CCTV camera ziliondolewa ili kuhakikisha washambuliaji hawafamiki kwa watu wengine isipokuwa kwa wapangaji wa shambulio.

Lazima uwe kichaa wa pekee kiyalinganisha matukio haya mawili ambapo tukio la USA unaona kabisa kuwa vyombo vya dola vilipambana dhidi ya mshambuliaji, wakati Tanzania, vyombo vya dola vilihakikisha vimetenegeneza mazingira ya kuwezesha shambulio, na baada ya shambulio vilihakikisha washambuliaji hawakamatwi, na wala havikjishughulisha na upelelezi.
expand...
Wanasiasa wa bongo wanawaza tu kuhongwa kilichomponza tundu Lissu akalambwa Blancons na Mboye kwa ushirikiano na Accacia na yeye kwa sababu ni lopolopo akajiunga kufanya ulopo logo lijinga Sana lile jamaa lijifunze siasa za wazungu
 
Wanasiasa wa bongo wanawaza tu kuhongwa kilichomponza tundu Lissu akalambwa Blancons na Mboye kwa ushirikiano na Accacia na yeye kwa sababu ni lopolopo akajiunga kufanya ulopo logo lijinga Sana lile jamaa lijifunze siasa za wazungu
Kumtetea Lissu ni siasa za Africa tu na nchi kama Tanzania ambayo national security aiwezi propaganda.

Hatma ya Lissu isingekuwa nzuri nchi nyingi duniani kujifanya unajua sana wakati serikali inafanya mambo yake.

Bad things happen ukiingilia mambo ya usalama wa nchi.
 
Bad things happen ukiingilia mambo ya usalama wa nchi.
Aliingilia usalama gani? Vipi wale walioruhusu makinikia yauzwe hadi nchi kuingia hasara ya matrilioni mbona hawakupigwa risasi? Vipi mnaodai waliuza bandari hawakuhatarisha usalama kwa wananchi kutoa bandari kwa mgeni? Mbona hawapigwi risasi?
 
hili shambulio la Trump linamuumbua Tundu Lisu mwenye siasa za kitapeli aliyehongwa na Accacia kuwaxkibaraka na aliposhindwa kazi wakamlamba blancons

*Serikali ya Biden imechubguza tukio n kumbaini mshambuliaji, serikali ya yule kichaa jiwe.......?
*Biden mwenyewe kalaani tukio na kamoigia simu Trump ya kumpa pole, jiwe......?
*Jiwe aliwakataza walitaka kumchangia damu na kumuombea Lisu, hata akamnyima stahiki zake kama mbunge. Biden.....?

Hivi umeandika upumbavu gani huu?
 
Back
Top Bottom