Crap from mind crippled.
Unalinganisha mambo yasiyokaribiana.
Trump ameshambuliwa, vyombo vya dola vimepambana na kumkabili na kummaliza mshambuliaji wakati huo huo. Na uchunguzi wa awali tayari aliyemshambulia amejulikana. Na uchunguzi zaidi unaendelea kujua mengi zaidi kuhusiana na shambulio.
Lisu kabla ya kushambiliwa kwake, walinzi waliondolewa, gate lilifunguliwa na walinzi ili kuwezesha washambuliaji kuingia. Baada ya kumaliza uharamia wao wa kumshambulia, walifunguliwa gate watoke salama. Barabarani wakati wanatoka, askari walisimamisha magari na bodaboda kuwapisha washambuliaji, CCTV camera ziliondolewa ili kuhakikisha washambuliaji hawafamiki kwa watu wengine isipokuwa kwa wapangaji wa shambulio.
Lazima uwe kichaa wa pekee kiyalinganisha matukio haya mawili ambapo tukio la USA unaona kabisa kuwa vyombo vya dola vilipambana dhidi ya mshambuliaji, wakati Tanzania, vyombo vya dola vilihakikisha vimetenegeneza mazingira ya kuwezesha shambulio, na baada ya shambulio vilihakikisha washambuliaji hawakamatwi, na wala havikjishughulisha na upelelezi.
Wanasiasa wa bongo wanawaza tu kuhongwa kilichomponza tundu Lissu akalambwa Blancons na Mboye kwa ushirikiano na Accacia na yeye kwa sababu ni lopolopo akajiunga kufanya ulopo logo lijinga Sana lile jamaa lijifunze siasa za wazungu