Vicky-Abelly
Member
- May 27, 2016
- 69
- 89
Well said, hata asipotangazwa kuwa ameshinda ila atakuwa ametoa fundisho. Labda dharau kwa wananchi ambao mamlaka yote yanatoka kwao itapungua kama siyo kuisha.Hata asiposhinda tumefurahi tu kusikia akisema yale yalikuwa adimu kusikia- yaani ukweli kama ukweli
Itakuwa ni sherehe ya kitaifa,shangwe la siku hiyo usipime!
Mkuu 2015 na miak 5 baada ya utawala wa JPM ni tofauti sana. Watu wamefanyiwa ubabe uliopitiliza. Nchi imetawaliwa kwa matamko wa mtu sio sheria. Watu Kimara walivunjiwa nyumba zao wakati kuna zuio la mahakama kuu. Mahakama ikapuuzwa, nyavu sikachomwa moto na zimenunuliwa ndan ya nchi hii hii. Sas hivi watu wanamjua vzr. 2015 hawakumujua qalimjua JK. Hana kipya cha kiwadanganyia, asubili alichopanda kama Bukoba alivyofanywaHumu Jamiii Forum kuna watu Wanawaza Watu Wanaojaa Mikutanoni Ndio wapiga Kura Naomba niwaambie Wapiga Kura Wa Nchii wengi in watu wasiohudhuria Mikutano ingekuwa ivyo Lowassa na Dr Slaa wangeshachukua hii nchi kitambo.KWA HIYO MSIDANGANYIKE KWA IDADI YA MASHABIKI MTAJIUMIZA MIOYO MIMI NAMPIGIA KURA YANGU MAGUFULI KWA MARA YA KWANZA KWA SABABU KANISHAWISHI KWA UTENDAJI WAKE NA MWELEKEO ANAPOIPELEKA TANZANIA. ALIKUJA MWANZA NA SIKWENDA UWANJANI SO NILISHAAMUA HATA KABLA YA KUJUA NI LISSU AU MEMBE ATAKAE KUWA MPINZANI WA MAGU
Mapokezi anayopata Tundu lissu kila mahali anakopita ni ishara ya watu kuchoka na watu wamechoka kweli kweli wala siyo utani.
√Vijana wanalia na ukosefu wa ajira
√watumishi wanalia na nyongeza ya mishahara
√wastaafu wanalia na malipo yao ya uzeeni
√wajasiriamali wadogo wanalia na vitambulisho vya machinga
√wananchi wanalia ugumu wa maisha kutokana na mzunguko mdogo wa pesa mtaani
√ccm tunalia ila tumeamua kuwa wanafiki tusifukuzwe uanachama.
Ni vilio kila mahali. umefika wakati uvumilivu umekosekana; watu wameamua kuonyesha hisia zao kwa Lissu wakiamini ndiye mkombozi wao na hiyo ndio siri ya kupokelewa na kulakiwa kwa maelfu kila mahali.
Kwakuwa ni karibu kila mtu ameguswa na utawala huu; ikitokea H.E Magufuli ameanguka Urais. Siku hiyo kutazuka sherehe baab kubwa na ndio utakuwa mwanzo wa kuwajua wanafiki wake wa karibu waliokuwa wanamshauri vibaya.
Huenda andiko hili likatimia kwa sababu apangalo Mungu mwanadamu hawezi kupangua.
Nilitaka kuja na uzi wenye heading hii hii, hakika kumbe kuna wakati tunakuwa na mitizamo inayofanana, mkuu ahsante kwa bandiko! ni ukweli usiopingika kutakuwa shangwe ambalo halijapata kushuhudiwa ktk historia ya nchi hii.Mapokezi anayopata Tundu lissu kila mahali anakopita ni ishara ya watu kuchoka na watu wamechoka kweli kweli wala siyo utani.
√Vijana wanalia na ukosefu wa ajira
√watumishi wanalia na nyongeza ya mishahara
√wastaafu wanalia na malipo yao ya uzeeni
√wajasiriamali wadogo wanalia na vitambulisho vya machinga
√wananchi wanalia ugumu wa maisha kutokana na mzunguko mdogo wa pesa mtaani
√ccm tunalia ila tumeamua kuwa wanafiki tusifukuzwe uanachama.
Ni vilio kila mahali. umefika wakati uvumilivu umekosekana; watu wameamua kuonyesha hisia zao kwa Lissu wakiamini ndiye mkombozi wao na hiyo ndio siri ya kupokelewa na kulakiwa kwa maelfu kila mahali.
Kwakuwa ni karibu kila mtu ameguswa na utawala huu; ikitokea H.E Magufuli ameanguka Urais. Siku hiyo kutazuka sherehe baab kubwa na ndio utakuwa mwanzo wa kuwajua wanafiki wake wa karibu waliokuwa wanamshauri vibaya.
Huenda andiko hili likatimia kwa sababu apangalo Mungu mwanadamu hawezi kupangua.
Mkuu natamani sana kupata clip na kushuhudia kilichomkuta His Execelency huko bukobaMkuu 2015 na miak 5 baada ya utawala wa JPM ni tofauti sana. Watu wamefanyiwa ubabe uliopitiliza. Nchi imetawaliwa kwa matamko wa mtu sio sheria. Watu Kimara walivunjiwa nyumba zao wakati kuna zuio la mahakama kuu. Mahakama ikapuuzwa, nyavu sikachomwa moto na zimenunuliwa ndan ya nchi hii hii. Sas hivi watu wanamjua vzr. 2015 hawakumujua qalimjua JK. Hana kipya cha kiwadanganyia, asubili alichopanda kama Bukoba alivyofanywa
Wala Rushwa na wanyang'anyi watalipukaMapokezi anayopata Tundu lissu kila mahali anakopita ni ishara ya watu kuchoka na watu wamechoka kweli kweli wala siyo utani.
√Vijana wanalia na ukosefu wa ajira
√watumishi wanalia na nyongeza ya mishahara
√wastaafu wanalia na malipo yao ya uzeeni
√wajasiriamali wadogo wanalia na vitambulisho vya machinga
√wananchi wanalia ugumu wa maisha kutokana na mzunguko mdogo wa pesa mtaani
√ccm tunalia ila tumeamua kuwa wanafiki tusifukuzwe uanachama.
Ni vilio kila mahali. umefika wakati uvumilivu umekosekana; watu wameamua kuonyesha hisia zao kwa Lissu wakiamini ndiye mkombozi wao na hiyo ndio siri ya kupokelewa na kulakiwa kwa maelfu kila mahali.
Kwakuwa ni karibu kila mtu ameguswa na utawala huu; ikitokea H.E Magufuli ameanguka Urais. Siku hiyo kutazuka sherehe baab kubwa na ndio utakuwa mwanzo wa kuwajua wanafiki wake wa karibu waliokuwa wanamshauri vibaya.
Huenda andiko hili likatimia kwa sababu apangalo Mungu mwanadamu hawezi kupangua.
Mapokezi anayopata Tundu lissu kila mahali anakopita ni ishara ya watu kuchoka na watu wamechoka kweli kweli wala siyo utani.
√Vijana wanalia na ukosefu wa ajira
√watumishi wanalia na nyongeza ya mishahara
√wastaafu wanalia na malipo yao ya uzeeni
√wajasiriamali wadogo wanalia na vitambulisho vya machinga
√wananchi wanalia ugumu wa maisha kutokana na mzunguko mdogo wa pesa mtaani
√ccm tunalia ila tumeamua kuwa wanafiki tusifukuzwe uanachama.
Ni vilio kila mahali. umefika wakati uvumilivu umekosekana; watu wameamua kuonyesha hisia zao kwa Lissu wakiamini ndiye mkombozi wao na hiyo ndio siri ya kupokelewa na kulakiwa kwa maelfu kila mahali.
Kwakuwa ni karibu kila mtu ameguswa na utawala huu; ikitokea H.E Magufuli ameanguka Urais. Siku hiyo kutazuka sherehe baab kubwa na ndio utakuwa mwanzo wa kuwajua wanafiki wake wa karibu waliokuwa wanamshauri vibaya.
Huenda andiko hili likatimia kwa sababu apangalo Mungu mwanadamu hawezi kupangua.
Safari kuiba kura ngumu ndugu yangu, wewe mpigie jiwe lakini kawaambie na rafiki zako wizi wa kura safari hii ngoma nzito. Wasipotaka kutoka watatolewa kwa nguvu.Humu Jamiii Forum kuna watu Wanawaza Watu Wanaojaa Mikutanoni Ndio wapiga Kura Naomba niwaambie Wapiga Kura Wa Nchii wengi in watu wasiohudhuria Mikutano ingekuwa ivyo Lowassa na Dr Slaa wangeshachukua hii nchi kitambo.KWA HIYO MSIDANGANYIKE KWA IDADI YA MASHABIKI MTAJIUMIZA MIOYO MIMI NAMPIGIA KURA YANGU MAGUFULI KWA MARA YA KWANZA KWA SABABU KANISHAWISHI KWA UTENDAJI WAKE NA MWELEKEO ANAPOIPELEKA TANZANIA. ALIKUJA MWANZA NA SIKWENDA UWANJANI SO NILISHAAMUA HATA KABLA YA KUJUA NI LISSU AU MEMBE ATAKAE KUWA MPINZANI WA MAGU
Yeye sio wa kwanza kupigwa risasi .Kama alishinda bullet 16 nini uraisi wajumbe ndo washaamua
Alaf asipewe uongozu wowote wamwache jiwe kama mwananchi nione ule upara utakavyong'aaMpaka 2025 ni Mkazi na mwenyeji wa chato. Mwaka huu hapo October watanzania tunamstaafisha rasmi
Du umeongea maneno mazito Sana. MUNGU akupe haja ya Moyo wako bila kupigwa wala kuuawa.Yaani nitafanya kila njia nikampe mkono Mh Rais Tundu Lisu, Nitapanga safari ya kwenda Ikulu kama watanikamata poa tu, kama watanipiga basi yatakuwa maumivu ya raha maana napigwa huku namshangilia rais, Kama wataniua basi naamini ntakufa huku natabasamu, nafsi yangu italala kwa amaniiiiiiiii!
Wa kwanza kwa risasi 32,Mungu kamponya ili kukuumbueni mliroga usiku Leo mchana kila mtu amewajua wachawiYeye sio wa kwanza kupigwa risasi .
Kweli kabisa, yaani kunawatu Mungu angeniwezesha japo nikasalimiana nao ningefurahi sana.Du umeongea maneno mazito Sana. MUNGU akupe haja ya Moyo wako bila kupigwa wala kuuawa.