LGE2024 Lissu Alitaka CHADEMA Ishinde uchaguzi Kupitia Kura ya Nani Wakati yeye Mwenyewe Hakupiga Kura?

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Halafu wewe bwabwa siku ya siku lazima tuzae na wewe jichetue unajiona wewe ni CCM zaidi kuliko hata CCM yenyewe.
 
Lucas Kuna wakati Unapeleka Wapi Akili?
Kwahyi Lissu Alikuwa Na Ruhusa ya Kupiga Kura Tanzania Nzima Kila Kitongoji??

Au Alikuwa Na Kura Ya Veto Nchi nzima??
Ndio akili zenu hizo CHADEMA? Kwa hiyo hamtambui umuhimu wa kura? Vipi kama wafuasi wa CHADEMA waliamua kufuata mfano wa Lissu wakutokwenda kupiga kura? Lissu kama kiongozi ametoa mfano gani na taswira ipi kwa kutokupiga kura?
 
Mimi nilijiandikisha, ila katka kijiji changu hakukuwa na mgombea wa chama chochote kile tofauti na ccm. Sikupiga kura na kutokana na hakuna umaana wa kachangua mtu ambaye ni mmoja.
 
Wewe sasa na luca ndio mnao hitajiwa zaidi na chadema kama alivyohitajika mchungaji,akina mwita na slaa ,sasa karibuni upande wa pili iwapo kweli mna nia ya ujenzi wa kweli wa taifa letu.
Kujenga Taifa ni wajibu wa Kila raia awe mwanachama au hapana ,hakuna haja ya kuwa Chadema.

Hoja ya Zito izingatiwe,CCM wasiwasogeze vyombo vya Dola kwenye siasa wakionja utamu watakuja kuigeuka na CCM na kuitumbukiza Nchi kwenye Tawala za Kijeshi ambazo Huwa hazijali na Wala huwezi kuzikosoa.
 
Embu kaa kwa kutulia huko.
Wewe jifanye ni CCM kuliko CCM yenyewe ipo siku yako. Uchaguzi umevurugwa na ndugu zetu wameuwawa halafu unaleta kejeli shauri yako unafikiri kuna mtu atakuja kukutetea siku ukibananishwa. Wenyewe wenye CCM yao wametulia wanajua ushenzi waliofanya maana yake ni nini wewe kidampa ndiyo unajitia kifua mbele shauri yako watu wana machungu.
 
Wala usinitishe kitu .ungekuwa unajiamini ungekuwa unaongea na mimi ukiwa kwenye majina yako halisi.lakini una piga mayowe ukiwa kwenye fake Id.Naona mmezoea kufanyiana uhuni na umafia ndio maana unataka kunitisha na mimi ukifikiria ni mjinga jinga kama wewe
 
Sikutishi nakuonya tu wenzako wana ulinzi 24/7 na haweleti nyodo kama wewe shauri yako.
 
Sikutishi nakuonya tu wenzako wana ulinzi 24/7 na haweleti nyodo kama wewe shauri yako.
Huna lolote lile dogo.ujinga tu ndio unakusumbua hapa. Kama unajiamini ungetikeza kwa jina lako halisi. Naona huko upinzani mmezoea kumalizana na kutishiana mpaka sasa umenogewa na kujifanya unataka utishe na watu wasiotishika kama mimi.huna akili kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…