LGE2024 Lissu Alitaka CHADEMA Ishinde uchaguzi Kupitia Kura ya Nani Wakati yeye Mwenyewe Hakupiga Kura?

LGE2024 Lissu Alitaka CHADEMA Ishinde uchaguzi Kupitia Kura ya Nani Wakati yeye Mwenyewe Hakupiga Kura?

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Hata CHADEMA wenyewe wanajua kabisa kuwa wameshindwa kihalali kabisa kutokana na kutofanya maandalizi
2020 Chadema ilishiriki uchaguzi mkuu wa Raisi,Wabunge na madiwani bila tume huru wakilenga maslahi.
Uchaguzi wa serikali za mitaa hakuna maslahi japo msingi ni serikali za mitaa.
Maandalizi yangeanzia kwenye mitaa ndio chimbuko letu sote.
 
2020 Chadema ilishiriki uchaguzi mkuu wa Raisi,Wabunge na madiwani bila tume huru wakilenga maslahi.
Uchaguzi wa serikali za mitaa hakuna maslahi japo msingi ni serikali za mitaa.
Maandalizi yangeanzia kwenye mitaa ndio chimbuko letu sote.
Mkuu hakuna tume huru hapa tume inakuwaje huru iko chini ya chama
 
Mkuu hakuna tume huru hapa tume inakuwaje huru iko chini ya chama
Ni nadra kumkuta mtu mwenye madaraka atake na wewe mgawane huo ulaji.
Ni jukumu la yule myonge nae kuchachamaa kudai kitumbua chake.
Wanyonge hao watakapopaza sauti kwa umoja wao ndio bwana mkubwa yule atafungua milango ya riziki kwa wasio na kitu sababu ya shindikizo.
Bila kushiriki uchaguzi ukapambana kisawasawa ndani ya michakato ya uchaguzi,ukabaki kulalamikia nje ya ulingo utachelewa sana.
Na kama anaekuchelewesha kupata haki yako ni chama chako vunja uongozi huo simika uongozi mpya,KUFA KWA DEREVA KUFA KWA MAKANGA usemi wa Kenya.
 
Ni nadra kumkuta mtu mwenye madaraka atake na wewe mgawane huo ulaji.
Ni jukumu la yule myonge nae kuchachamaa kudai kitumbua chake.
Wanyonge hao watakapopaza sauti kwa umoja wao ndio bwana mkubwa yule atafungua milango ya riziki kwa wasio na kitu sababu ya shindikizo.
Bila kushiriki uchaguzi ukapambana kisawasawa ndani ya michakato ya uchaguzi,ukabaki kulalamikia nje ya ulingo utachelewa sana.
Na kama anaekuchelewesha kupata haki yako ni chama chako vunja uongozi huo simika uongozi mpya,KUFA KWA DEREVA KUFA KWA MAKANGA usemi wa Kenya.
Hapa sululisho ni KATIBA MPYA
 
Hapa sululisho ni KATIBA MPYA
Katiba mpya hailetwi mezani kama tuzo la Miss Tanzania.
Katiba mpya inapiganiwa kushoto kulia,fang fang hadi kieleweke,mchakato wake hauna mapumziko.
Katiba mpya haitokani na utashi wa watawala bali watawaliwa.
Katiba mpya sio kama shule za wenye nazo,unafuliwa hadi nguo za ndani,mchakato wa katiba mpya ni sawa sawa na kuku wakienyeji anavyolinda na kulisha vifaraga vyake hadi viweze kujitegemea.

Yawezekana wananchi wengine hawajui kuwa bila class struggle hatuwezi kusogeza demokrasia kwa wananchi walio wengi.Kila jambo lina mwanzo.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Unajua kuna watu na wanasiasa hapa Nchini wanaweza kufikiri watu wote ni wajinga kama wao au watu hawana akili au watu hawajitambui au watu ni Manyumbu au kufikiria labda watanzania ni vichaa na mambumbumbu.

Hivi inaingia vipi akilini kwa mtu mwenye akili Timamu na anayejitambua vyema akamsikiliza lissu na malalamiko yake juu ya uchaguzi au kusikiliza kauli za kilaghai za watu aina ya lissu akiwadanganya wafuasi wake kuwa CHADEMA itashinda uchaguzi? Chama kitashinda vipi uchaguzi wakati viongozi aina ya lissu ndio wakwanza kutokupiga kura?

Nani atakipa kura chama ili kishinde? CHADEMA itashindana vipi na CCM iliyo fanya hamasa kubwa ya kuwataka wanachama,wafuasi na wakereketwa wake wakajiandikishe kwenye daftari la mpiga kura na kuipigia kura CCM katika sanduku la kura?

CHADEMA hii ya lissu itashindana vipi na CCM ambayo wanachama wake walikuwa wakipitiana majumbani kupelekana vituoni kwenda kujiandikisha kwaajili ya uchaguzi? Vipi CHADEMA inaweza ishinda CCM hii ambayo muda wote ilikuwa ikizunguka kwa wananchi kusikiliza kero zao,kutoa majibu na kutatua kero zao?

Vipi CHADEMA hii ya lissu asiyepiga kura ikapata ushindi mbele ya CCM ambayo wanachama wake waliinuka kwa wingi kwenda kupiga kura asubuhi na Mapema wakati yeye Lissu amelala zake nyumbani kwake? Huo ushindi kwa CHADEMA utatoka wapi? Kwa miujiza ipi?

CHADEMA hii ya lissu iliyokuwa ikiokoteza wagombea dhaifu inaweza vipi ishinda CCM ambayo ilikuwa na maelfu ya wagombea waliojiandaa kisawasawa na kwa sera nzito nzito kuomba uteuzi wa chama? CHADEMA hii ambayo ilikuwa haina uwezo hata wa kupiga kampeni nchi nzima inaanzia wapi kuishinda CCM katika sanduku la kura hata kama ingetokea tume ya uchaguzi kutoka Marekani kuja kusimamia uchaguzi huu?

CHADEMA hii isiyo na viongozi wala ofisi wala uongozi ngazi za chini huko inaweza vipi ishinda CCM yenye mtandao wa uongozi mpaka huko vitongojini?

Halafu bila aibu wala haya unaona mtu anajibetua mdomo wake na kusema kuwa CCM imeiba uchaguzi. imeiba kutoka wapi wakati hata kura huna? Hapo hapo mtu kama zito aliyefirisika kisiasa anasema eti wawasusie viongozi hawa waliochaguliwa .

Unaweza vipi msusa mwenyekiti wa mtaa? Utapata wapi barua ya utambulisho unapotaka barua yoyote ile kwa mtendaji wa kata au mtaa wako?utapata wapi barua ya utambulisho unapotaka kumwekea mdhamana ndugu yako huko polisi ambapo ukienda kwa mtendaji wa mtaa atakutaka uwe na barua ya utambulisho? Utapata wapi barua ya utambulisho ukitaka kufanya biashara yoyote ile wakati unafuatilia leseni yako halmashauri? Ukienda kwa mtendaji wa mtaa ni lazima uwe kwanza na barua ya utambulisho mkononi mwako.

Sasa utawasusa vipi watu hawa? Kwa ufupi ni kuwa viongozi wetu hawa wa mitaa na vijiji ni kama Maji usipoyanywa utayaoga tuuu.

CCM ni Mbele kwa mbeleeeee.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Acha usukule
 
Ndugu zangu Watanzania,

Unajua kuna watu na wanasiasa hapa Nchini wanaweza kufikiri watu wote ni wajinga kama wao au watu hawana akili au watu hawajitambui au watu ni Manyumbu au kufikiria labda watanzania ni vichaa na mambumbumbu.

Hivi inaingia vipi akilini kwa mtu mwenye akili Timamu na anayejitambua vyema akamsikiliza lissu na malalamiko yake juu ya uchaguzi au kusikiliza kauli za kilaghai za watu aina ya lissu akiwadanganya wafuasi wake kuwa CHADEMA itashinda uchaguzi? Chama kitashinda vipi uchaguzi wakati viongozi aina ya lissu ndio wakwanza kutokupiga kura?

Nani atakipa kura chama ili kishinde? CHADEMA itashindana vipi na CCM iliyo fanya hamasa kubwa ya kuwataka wanachama,wafuasi na wakereketwa wake wakajiandikishe kwenye daftari la mpiga kura na kuipigia kura CCM katika sanduku la kura?

CHADEMA hii ya lissu itashindana vipi na CCM ambayo wanachama wake walikuwa wakipitiana majumbani kupelekana vituoni kwenda kujiandikisha kwaajili ya uchaguzi? Vipi CHADEMA inaweza ishinda CCM hii ambayo muda wote ilikuwa ikizunguka kwa wananchi kusikiliza kero zao,kutoa majibu na kutatua kero zao?

Vipi CHADEMA hii ya lissu asiyepiga kura ikapata ushindi mbele ya CCM ambayo wanachama wake waliinuka kwa wingi kwenda kupiga kura asubuhi na Mapema wakati yeye Lissu amelala zake nyumbani kwake? Huo ushindi kwa CHADEMA utatoka wapi? Kwa miujiza ipi?

CHADEMA hii ya lissu iliyokuwa ikiokoteza wagombea dhaifu inaweza vipi ishinda CCM ambayo ilikuwa na maelfu ya wagombea waliojiandaa kisawasawa na kwa sera nzito nzito kuomba uteuzi wa chama? CHADEMA hii ambayo ilikuwa haina uwezo hata wa kupiga kampeni nchi nzima inaanzia wapi kuishinda CCM katika sanduku la kura hata kama ingetokea tume ya uchaguzi kutoka Marekani kuja kusimamia uchaguzi huu?

CHADEMA hii isiyo na viongozi wala ofisi wala uongozi ngazi za chini huko inaweza vipi ishinda CCM yenye mtandao wa uongozi mpaka huko vitongojini?

Halafu bila aibu wala haya unaona mtu anajibetua mdomo wake na kusema kuwa CCM imeiba uchaguzi. imeiba kutoka wapi wakati hata kura huna? Hapo hapo mtu kama zito aliyefirisika kisiasa anasema eti wawasusie viongozi hawa waliochaguliwa .

Unaweza vipi msusa mwenyekiti wa mtaa? Utapata wapi barua ya utambulisho unapotaka barua yoyote ile kwa mtendaji wa kata au mtaa wako?utapata wapi barua ya utambulisho unapotaka kumwekea mdhamana ndugu yako huko polisi ambapo ukienda kwa mtendaji wa mtaa atakutaka uwe na barua ya utambulisho? Utapata wapi barua ya utambulisho ukitaka kufanya biashara yoyote ile wakati unafuatilia leseni yako halmashauri? Ukienda kwa mtendaji wa mtaa ni lazima uwe kwanza na barua ya utambulisho mkononi mwako.

Sasa utawasusa vipi watu hawa? Kwa ufupi ni kuwa viongozi wetu hawa wa mitaa na vijiji ni kama Maji usipoyanywa utayaoga tuuu.

CCM ni Mbele kwa mbeleeeee.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Luca,acha kuandika vitu usivyovijua na wala siyo upunguze.Hivi,huwa unawachukuliaje watu wewe hasa humu JF?Kwa hiyo CCM imeshinda,siyo?
 
Luca,acha kuandika vitu usivyovijua na wala siyo upunguze.Hivi,huwa unawachukuliaje watu wewe hasa humu JF?Kwa hiyo CCM imeshinda,siyo?
CCM Imeshinda na ndio maana imetangazwa kuwa mshindi na kuwafanya watu kulipuka kwa shangwe huku wakibubujikwa na machozi ya furaha
 
Mkuu hakuna cha kujifunza,tujifunze nn figisu au,naamini kama ww ni MTANZANIA kabisa tukiweka pembeni uchama yanayoendelea mwenyewe unaona
Naona kuendelea kupotea kwa vyama vya upinzani.kutokana na kukosa sera na ajenda zenye kugusa Maisha ya watu
 
Tatizo CCM hawataki Katiba mpya kwa vile ndiyo itakuwa mwisho wao kutawala wanatumia mabavu ya vyombo vya dola kuzuia upatikanaji wa Katiba mpya. Suluhisho ni Mapinduzi ya kijeshi tu.
Naona umevurugwa na kuanza kuropoka ropoka tu hapa kama mlevi wa gongo. Utapinduliwa wewe kichwa chako ili kikae sawa.
 
Back
Top Bottom