LGE2024 Lissu Alitaka CHADEMA Ishinde uchaguzi Kupitia Kura ya Nani Wakati yeye Mwenyewe Hakupiga Kura?

LGE2024 Lissu Alitaka CHADEMA Ishinde uchaguzi Kupitia Kura ya Nani Wakati yeye Mwenyewe Hakupiga Kura?

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Wewe ndiye una laana tangu umeanza uchawa umepata nini cha maana unayejipendekeza kwake anakuona wewe choko tu.
😀😀Mimi sijipendekezi dogo bali naongea ukweli. Tofauti na wewe muda wote kutukana Mimatusi kama kichaa au mwendawazimu
 
Mimi siteseki nina maisha yangu bora kabisa ndiyo maana sijawahi kuwa chawa kwa matumaini ya kutupiwa makombo kama wewe,bado wakuinamishe wakupige mashine tu bwege wewe.
Si unaona ulivyo paniki mpaka akili zimekuruka😀😀
 
Lisu na Machadema wengi Huwa ni majinga Fulani hivi 😁😁

Harafu Kuna manyumbu watakuja kutukana
Wajinga ni wanao jidanganya wenyewe kuwa ni bora kulikowengine,kuwa wanakubalika wakati sii kweli,wameshinda kumbe wamejishindisha uongo,njaa,hujuma na dhulma.
 
Kupitia watu kama wewe na wengine wenyeimani maono na misimamo inayofanana na yako wa kutoka ndani ya chama kisicho amini katika uhuru na haki na kwa kufanya hivyo itamaanisha mmekubali habari yauhuru haki,uzalendo wa kweli na tunayoiita ni demokrasia kwa mazingira yetu.
CCM ni majuha..kwa kiwango cha juu mno...wanajitoa ufahamu ..kupitiliza..Nimemsikiliza Makala Live Chaneli-10 leo asubuhi ,ni kichefuchefu mpaka...Adui wa Nchi kwa CCM ni CHADEMA na kwa mujibu wa maelezo yake ni kwamba Matatizo ndani ya CHADEMA ndiyo kikwazo cha maendeleo nchini na hata chaguzi,pamoja na Demokrasia eti..Kaanza kwa tafsida ndeefuu..mwisho kafunguka..CHADEMA
 
Mkuu
CCM BILA RAFU NA JANJA JANJA ZISIZO NA MAANA HAWASHINDI
Nadhani hujajiandikisha kupiga kura au hata kama umejiandikisha ulighaili kutumia haki yako ya kikatiba.
Hatusemi hakuna mapungufu,lakini vituo vingi uchaguzi ulikuwa salama na changamoto ndogo ndogo.
Bila kushiriki na kubakia kulalamika nje hatutasogea.
 
Mkuu

Nadhani hujajiandikisha kupiga kura au hata kama umejiandikisha ulighaili kutumia haki yako ya kikatiba.
Hatusemi hakuna mapungufu,lakini vituo vingi uchaguzi ulikuwa salama na changamoto ndogo ndogo.
Bila kushiriki na kubakia kulalamika nje hatutasogea.
Hata CHADEMA wenyewe wanajua kabisa kuwa wameshindwa kihalali kabisa kutokana na kutofanya maandalizi
 
Mkuu

Nadhani hujajiandikisha kupiga kura au hata kama umejiandikisha ulighaili kutumia haki yako ya kikatiba.
Hatusemi hakuna mapungufu,lakini vituo vingi uchaguzi ulikuwa salama na changamoto ndogo ndogo.
Bila kushiriki na kubakia kulalamika nje hatutasogea.
Mpaka wanafunzi wa form one(under 18) walipiga kura chini ya usimamiz wa walimu wao
 
Back
Top Bottom