Watu kweli wazushi kaongea wazi na ukweli sababu sio rahisi kudanganya tukio limeshuhudiwa na wote...hao wameleta clip imekatwa ili kufanikisha malengo yao ya kumchafua Lissu na Mbowe.
..Mbowe huyu hapa akieleza nini kilitokea wakati wa kumsafirisha Lissu kwenda Nairobi.
..ktk clip Mbowe anaeleza Msigwa alibeba chupa ya damu.
View: https://www.youtube.com/watch?v=fyDrDx9HHAQ
Ni swala la muda tu, ccm wataipasua chadema
Mtiririko wa bahati ya watu tofauti aliokutana nao Lissu waliopigania aishi toka anapigwa risasi kila mtu kipekee mpaka anafika Nairobi. Mambo kama haya yanakufanya ufikirie uwepo wa higher powers zilizoamua afi siku hiyo, it’s a miracle Lissu is alive today...Mbowe alishaeleza suala hilo tangu zamani.
..hebu msikilize hapa chini.
View: https://www.youtube.com/watch?v=fyDrDx9HHAQ
Wacha wagawane mbao. Hizi siasa siyo za kuzishabikia sana. Ni vitengo tu vya watu kujipatia riziki...Mbowe huyu hapa anaeleza kila kitu.
..Na anasema aliyeshika chupa ya damu ni Msigwa.
..Mbowe hajawahi kusema kuwa yeye ndiye alishika chupa ya damu.
View: https://www.youtube.com/watch?v=fyDrDx9HHAQ
Hiyo theory yenu mbona ilishabuma kitambo tu,mtu yoyote anayetoa reference hiyo ni dhahiri ni kilaza anayeishi kwa stori za vijiweni.Mnaanza kujihami eee mdogo mdogo tutafika kwenye ukweli khs aliyempiga risasi bwana Lissu
Ni CCM hilo halina ubishiAliyemuua chacha wangwe ndio muuaji mkubwa zaidi
Mbona lema anaeleweka ccm wanadhani watafanikiwa kumtenganidha mbowe na lissuKamanda Tundu Lissu amekanusha madai yaliyotolewa hapo nyuma kidogo na Lema kwamba Mbowe ndio aliyeshika chupa ya damu wakati akipelekwa Nairobi kwa matibabu.
Amesema aliyeshika chupa ya damu aliyokuwa akiongezewa ni Mchungaji Peter Msigwa mwanasiasa nguli asiyeogopa hila na figisu.
Wataalam wa mambo ya siasa za kusini mwa jangwa la sahara wanasema hii kauli imebeba maana kubwa sana.
View attachment 3010311
View attachment 3010310
Una ujinga uliochanganyika na upumbavu kama hii ndio recruit mpya ya tiss basi tumeumiaAliyemuua chacha wangwe ndio muuaji mkubwa zaidi
Cdm Wapo wanyakyusa wapo wanyaturu mmefeli kwenye ukabilsChadema ibaki na wachaga peke yake?
Video Ina UKWELI hiyo, mbona imekatwa?Ukiandika habari moja ya kuchafua Chadema jf, Unalipwa Laki 1 kutoka kwa Pedeshee, ndio maana wanapishana humu na muda si mrefu wataanza kulogana
Wote wapo.Kamanda Tundu Lissu amekanusha madai yaliyotolewa hapo nyuma kidogo na Lema kwamba Mbowe ndio aliyeshika chupa ya damu wakati akipelekwa Nairobi kwa matibabu.
Amesema aliyeshika chupa ya damu aliyokuwa akiongezewa ni Mchungaji Peter Msigwa mwanasiasa nguli asiyeogopa hila na figisu.
Wataalam wa mambo ya siasa za kusini mwa jangwa la sahara wanasema hii kauli imebeba maana kubwa sana.
View attachment 3010311
View attachment 3010310
Kajichanganya sana kuingia kumi na nane za team lissu.
Ni nani hasa anayeingiza na kuchochea mijadala hiyo kwa sasa? Inawezekana huyo ndiye anayenufaika na hayo yanayoendelea ndani ya CHADEMA.Aisee watanzania wala hatuna mpango wa kusikiliza hiz habar za kijinga jinga za kushikiana chupa za damu mkiwa kwenye ndege.
Watanzania masikini hata hizo blood bags tu hawana huko vijijin wapendwa wao wanakufa mikonon mwao huku madaktari waki wakejeli, hawana hata 10 mbovu kugharamia matibabubya msingi kisa ubovu wa utawala wa nchi hii.
Please please CHADEMA and the company, achaneni na hiz agenda za kitoto na za kijinga, si vitu tunahitaji kuvisikia kama watanzania. Mmekua wapumbuvu sana kushikilia mijadala isio na tija yoyote kwa watanzania
Wote wapo.
Mbowe anasemaje, ni yeye?
Na Msigwa yupo, ni yeye kweli aliyebeba chuapa?
Lissu hakuwa katika hali ya kujuwa nani kabeba chupa.
Hayo maneno kwenye kundi hilo yatakuwa ni hisia tu za wakati huo wa kikao hicho kwa mazingira ya kikao kilivyokuwa.