Lissu ameingia. Makonda aaandae majibu ya vyeti, utekaji na uvamizi

Lissu ameingia. Makonda aaandae majibu ya vyeti, utekaji na uvamizi

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Kama itakuwa ngumu yeye kuandaa majibu basi aliyemteua na CCM kwa ujumla muandae dokezo la majibu. Kwa yeye mambo ni machache tu; Vyeti feki, uvamizi na utekaji ikiwemo unyanganyi.

Hii ni siasa, huwezi kumpangia mpinzani wako pa kupiga. Licha ya hivyo pia ni kuiambia serikali kutimiza wajibu wake dhidi ya maovu na jinai. Tunaona mtenda jinai akipewa tuzo badala ya kuchezea nondo na nyapara.

Tundu Lissu na Chadema ni wahanga wa utekaji na uvamizi. Anaenda kutumia hii kuwaambia watu oneni rais wenu je ana nia kweli ya kupambana na maovu?!
 
Kama itakuwa ngumu yeye kuandaa majibu basi aliyemteua na CCM kwa ujumla muandae dokezo la majibu. Kwa yeye mambo ni machache tu; Vyeti feki, uvamizi na utekaji ikiwemo unyanganyi.

Hii ni siasa, huwezi kumpangia mpinzani wako pa kupiga. Licha ya hivyo pia ni kuiambia serikali kutimiza wajibu wako dhidi ya maovu na jinai. Tunaona mtenda jioni akipewa tuzo badala ya kuchezea nondo na nyapara.

Tundu Lissu na Chadema ni wahanga wa utekaji na uvamizi. Anaenda kutumia hii kuwaambia watu oneni rais wenu je ana nia kweli ya kupambana na maovu?!
Wewe ndio Yule mwasibu?
 
Kama itakuwa ngumu yeye kuandaa majibu basi aliyemteua na CCM kwa ujumla muandae dokezo la majibu. Kwa yeye mambo ni machache tu; Vyeti feki, uvamizi na utekaji ikiwemo unyanganyi.

Hii ni siasa, huwezi kumpangia mpinzani wako pa kupiga. Licha ya hivyo pia ni kuiambia serikali kutimiza wajibu wake dhidi ya maovu na jinai. Tunaona mtenda jinai akipewa tuzo badala ya kuchezea nondo na nyapara.

Tundu Lissu na Chadema ni wahanga wa utekaji na uvamizi. Anaenda kutumia hii kuwaambia watu oneni rais wenu je ana nia kweli ya kupambana na maovu?!
Kuua.. kuteka..kupiga ..kuchinja siyo kosa kama umeyafanya hayo katika haki ...mitume wote waliua makonda alikuwa ana pambana na wauza ngada wakubwa na mafisadi wengine wengitu....mfano mtu kama tundu lissu hata angeuliwa ingekuwa sawa tu maana alikuwa ana wasaidia mafisadi wa migodi kutupiga
 
Kama itakuwa ngumu yeye kuandaa majibu basi aliyemteua na CCM kwa ujumla muandae dokezo la majibu. Kwa yeye mambo ni machache tu; Vyeti feki, uvamizi na utekaji ikiwemo unyanganyi.

Hii ni siasa, huwezi kumpangia mpinzani wako pa kupiga. Licha ya hivyo pia ni kuiambia serikali kutimiza wajibu wake dhidi ya maovu na jinai. Tunaona mtenda jinai akipewa tuzo badala ya kuchezea nondo na nyapara.

Tundu Lissu na Chadema ni wahanga wa utekaji na uvamizi. Anaenda kutumia hii kuwaambia watu oneni rais wenu je ana nia kweli ya kupambana na maovu?!
Hivi nyie nyadomo huwa manajielewa kweli, badala mlete sera za kujenga nchi ili mpate remote mnaleta sera za kumuattack mtu mmoja mmoja huyo makonda akiondoka au akitumbuliwa nyie chadomo mtakuja kushika dola? Kila siku makonda ni kama amewashika pabaya😂😂😂 poleni sana yupo na ataendelea kuwepo nawaomba mjikite kwenye masuala ya msingi.
 
Kuua.. kuteka..kupiga ..kuchinja siyo kosa kama umeyafanya hayo katika haki ...mitume wote waliua makonda alikuwa ana pambana na wauza ngada wakubwa na mafisadi wengine wengitu....mfano mtu kama tundu lissu hata angeuliwa ingekuwa sawa tu maana alikuwa ana wasaidia mafisadi wa migodi kutupiga
Ww hujitambui kabisa kama mnaushahidi nendeni mahakamani ngoja Makonda awanyooshe kidogo.
 
Kama itakuwa ngumu yeye kuandaa majibu basi aliyemteua na CCM kwa ujumla muandae dokezo la majibu. Kwa yeye mambo ni machache tu; Vyeti feki, uvamizi na utekaji ikiwemo unyanganyi.

Hii ni siasa, huwezi kumpangia mpinzani wako pa kupiga. Licha ya hivyo pia ni kuiambia serikali kutimiza wajibu wake dhidi ya maovu na jinai. Tunaona mtenda jinai akipewa tuzo badala ya kuchezea nondo na nyapara.

Tundu Lissu na Chadema ni wahanga wa utekaji na uvamizi. Anaenda kutumia hii kuwaambia watu oneni rais wenu je ana nia kweli ya kupambana na maovu?!
Hivi ataanza kulia tena badala aoneshe vyeti halisi na uhalali wa kuitwa Paul Makonda.
 
Kama itakuwa ngumu yeye kuandaa majibu basi aliyemteua na CCM kwa ujumla muandae dokezo la majibu. Kwa yeye mambo ni machache tu; Vyeti feki, uvamizi na utekaji ikiwemo unyanganyi.

Hii ni siasa, huwezi kumpangia mpinzani wako pa kupiga. Licha ya hivyo pia ni kuiambia serikali kutimiza wajibu wake dhidi ya maovu na jinai. Tunaona mtenda jinai akipewa tuzo badala ya kuchezea nondo na nyapara.

Tundu Lissu na Chadema ni wahanga wa utekaji na uvamizi. Anaenda kutumia hii kuwaambia watu oneni rais wenu je ana nia kweli ya kupambana na maovu?!
Mbowe na Lisu wana laana ya kushangilia kifo cha Magufuli
 
Mimi nafikiri mngejikita katika kutafuta na kuhitaji majibu juu ya utafunaji wa pesa uliokithiri ndani ya CHADEMA ambapo pesa zinatafunwa bila huruma wala aibu huku chama na wanachama wakibakia mbavu tupu .malizeni pia migogoro yenu inayoendelea kukitafuna chama Chenu kunakotokana na wajanja kukitumia chama kama mradi binafsi huku wanachama mkiendelea kutizamwa kama manyumbu
 
Inaweza kuwa hoja nzuri ila CHADEMA wameshachelewa. Tayari damage aliyosababisha Makonda kisiasa kwa hizi siku chache ni kubwa mno. Ni ngumu kugeuza mwelekeo wa raia hadi muda huu. Pia CCM wamekuwa wajanja kusoma upepo fasta na kumweka mwenezi aina ya Makonda. Style ya Makonda ndo inapendwa na wapiga kura wengi. CHADEMA watafeli kwa sababu mambo watakayoongea sio mapya halafu jukwaani sura zitakuwa ni zilezile. Mbowe, Lissu, Lema, Sugu, Mnyika, Heche na kina John Pumbulu. Mikutano ya CCM ingekosa mvuto kama ingeendelea kuweka sura kongwe jukwaani.
 
Back
Top Bottom