Mkungunero
JF-Expert Member
- Aug 13, 2023
- 401
- 569
Aende mahakama zipi. Hizihizi za majaji kupigiwa simu tena makonda na kuelekezwa Cha kufanyaKila siku maneno hayo hayo inachosha, kama ana ushahidi si aende mahakamani tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aende mahakama zipi. Hizihizi za majaji kupigiwa simu tena makonda na kuelekezwa Cha kufanyaKila siku maneno hayo hayo inachosha, kama ana ushahidi si aende mahakamani tu
Hayo ya vyeti kweli zilipendwa sina mpango nayo, namtaka kijana kwa hoja hii ya risasi.Risasi ndio vyeti?
Yatabaki hayo hayo mpaka muuaji aliedhulumu nafsi za wasio hatia atakapo pokea haki yake ya uuaji.Kila siku maneno hayo hayo inachosha, kama ana ushahidi si aende mahakamani tu
Mahakama gani, hizi hizi za ccm?!Kila siku maneno hayo hayo inachosha, kama ana ushahidi si aende mahakamani tu
Na huu ndio ujinga wa waTanzania, hivi kila kitu mkitaka raia wa kawaida ndio watafute ushahidi unadhani nani atafungwa? Tuhuma zikiwa substantial ni serikali kuchukua hatua kufanya uchunguzi.Kila siku maneno hayo hayo inachosha, kama ana ushahidi si aende mahakamani tu
Kweli wewe kama jina lako lilivyo kitombile na ndivyo ulivyo. Katika masuala ya msingi ambayo yatakuwepo na kupiganiwa mpaka vitukuu vyako vitashuhudia ni KUWASAKA WAUAJI WA LISU. MAKONDA ATATUELEZA SIKU LISU ANAPIGWA RISASI DODOMA ALIENDA KUFANYA NINI WAKATI ENEO LAKE LA KAZI LILIKUWA DAR ES SALAAM TENA KIONGOZI WAKE RAIS ALIKUWEPO PALE AKIHUTUBIA, KWA NINI ALIMKIMBIA AKAENDA DODOMA KWA WAZIFA WAKE WA MKUU WA MKOA KIPINDI HICHO.Hivi nyie nyadomo huwa manajielewa kweli, badala mlete sera za kujenga nchi ili mpate remote mnaleta sera za kumuattack mtu mmoja mmoja huyo makonda akiondoka au akitumbuliwa nyie chadomo mtakuja kushika dola? Kila siku makonda ni kama amewashika pabaya😂😂😂 poleni sana yupo na ataendelea kuwepo nawaomba mjikite kwenye masuala ya msingi.
ilaumu COVID -19, si aliita ati vimafua fua - ikamfanyia kitu mbaya. Kama angeiheshimu na akawahi kwenda kutibiwa kwa mabeberu leo hii angekuwa mzima anadunda.Mbowe na Lisu wana laana ya kushangilia kifo cha Magufuli
Baba ysko kauza ng'ombe kusomesha ng'ombe .....kijambio cha saa mia moja na nusu weweWewe ni mpumbavu mno. Unavyosema Lissu anatupiga kwenye migodi yeye ndo alisaini mikataba? Mitume gani waliua watu? Akili yako ina mavi.
Na vyeti vya makengeza viwe karibukaribu ili iwe FARE kwenye hilo zoezi la uhakiki 😆Kama itakuwa ngumu yeye kuandaa majibu basi aliyemteua na CCM kwa ujumla muandae dokezo la majibu. Kwa yeye mambo ni machache tu; Vyeti feki, uvamizi na utekaji ikiwemo unyanganyi.
Hii ni siasa, huwezi kumpangia mpinzani wako pa kupiga. Licha ya hivyo pia ni kuiambia serikali kutimiza wajibu wake dhidi ya maovu na jinai. Tunaona mtenda jinai akipewa tuzo badala ya kuchezea nondo na nyapara.
Tundu Lissu na Chadema ni wahanga wa utekaji na uvamizi. Anaenda kutumia hii kuwaambia watu oneni rais wenu je ana nia kweli ya kupambana na maovu?!
Wanawe raia wa usaLissu amekosa sifa zote. Ni Raia wa Ubeleji
Mkuu hizi akili zako ndo zinafanya upinzani uwe unaburuzwa kwenye uchaguzi. Huko mtaani uhalisia hauko hivyo unavyodhani. Hizi mbwembwe unazoona ndo zinapendwa na wapiga kura. Chama chenye fikra za kudhani wanaojiita great thinkers ndo muhimu huwa kinaadhibiwa vibaya mno kwenye sanduku la kura. Kuna kauli fulani ya kijinga sana kwamba CCM inapendwa na wajinga bila kufikiria hao "wajinga" ndo hupanga foleni kupiga kura. Kama CHADEMA mngefuata ushauri wa Lowasa mngekuwa mbali sana.Kweli wajinga hawaishi nchi hii, kuingia na farasi au baiskeli mkutanoni ndio ku gain popularity? Hivi watu wa aina yako wamo humu "home of great thinkers"?
Hivi unadhani wale vijana walio maliza shule za kata, vyuo vya kati na vyuo vikuu kwa maelfu mitaani unakuja na mbwembwe za farasi bila HOJA ZA MSINGI za maisha yao ndio utawavutia zaidi ya kuwazingua tuu?
Vyeti vya Mbowe aliishaviona?Kama itakuwa ngumu yeye kuandaa majibu basi aliyemteua na CCM kwa ujumla muandae dokezo la majibu. Kwa yeye mambo ni machache tu; Vyeti feki, uvamizi na utekaji ikiwemo unyanganyi.
Hii ni siasa, huwezi kumpangia mpinzani wako pa kupiga. Licha ya hivyo pia ni kuiambia serikali kutimiza wajibu wake dhidi ya maovu na jinai. Tunaona mtenda jinai akipewa tuzo badala ya kuchezea nondo na nyapara.
Tundu Lissu na Chadema ni wahanga wa utekaji na uvamizi. Anaenda kutumia hii kuwaambia watu oneni rais wenu je ana nia kweli ya kupambana na maovu?!
Hakuna anaetaka makonda et afungwe ni lazima tukumbushe ukwel kuwa hana vyeti kabisa .tuliosoma nae tunamjua hana ubavu darasaniKila siku maneno hayo hayo inachosha, kama ana ushahidi si aende mahakamani tu
If that's the case, kwa nini mnaiba kura na tume huru hamuitaki? Mtaishi kwenye kivuli cha uongo hadi lini nyie watu?Mkuu hizi akili zako ndo zinafanya upinzani uwe unaburuzwa kwenye uchaguzi. Huko mtaani uhalisia hauko hivyo unavyodhani. Hizi mbwembwe unazoona ndo zinapendwa na wapiga kura. Chama chenye fikra za kudhani wanaojiita great thinkers ndo muhimu huwa kinaadhibiwa vibaya mno kwenye sanduku la kura. Kuna kauli fulani ya kijinga sana kwamba CCM inapendwa na wajinga bila kufikiria hao "wajinga" ndo hupanga foleni kupiga kura. Kama CHADEMA mngefuata ushauri wa Lowasa mngekuwa mbali sana.
tunataka majibu, ya zile nissan zilizokuwa zinakimbia toka dodoma kwenda dsm siku ya shambulizi la lisu, vyeti, utekaji wa roma mkatoliki na wengine, na unyang'anyi wa mali.Kama itakuwa ngumu yeye kuandaa majibu basi aliyemteua na CCM kwa ujumla muandae dokezo la majibu. Kwa yeye mambo ni machache tu; Vyeti feki, uvamizi na utekaji ikiwemo unyanganyi.
Hii ni siasa, huwezi kumpangia mpinzani wako pa kupiga. Licha ya hivyo pia ni kuiambia serikali kutimiza wajibu wake dhidi ya maovu na jinai. Tunaona mtenda jinai akipewa tuzo badala ya kuchezea nondo na nyapara.
Tundu Lissu na Chadema ni wahanga wa utekaji na uvamizi. Anaenda kutumia hii kuwaambia watu oneni rais wenu je ana nia kweli ya kupambana na maovu?!
Hawana ajenda ya maana wao ni kudandia hochote kitakachiwapa political mileageHivi nyie nyadomo huwa manajielewa kweli, badala mlete sera za kujenga nchi ili mpate remote mnaleta sera za kumuattack mtu mmoja mmoja huyo makonda akiondoka au akitumbuliwa nyie chadomo mtakuja kushika dola? Kila siku makonda ni kama amewashika pabaya😂😂😂 poleni sana yupo na ataendelea kuwepo nawaomba mjikite kwenye masuala ya msingi.