Lissu ameingia. Makonda aaandae majibu ya vyeti, utekaji na uvamizi

Lissu ameingia. Makonda aaandae majibu ya vyeti, utekaji na uvamizi

Kila siku maneno hayo hayo inachosha, kama ana ushahidi si aende mahakamani tu
Yatabaki hayo hayo mpaka muuaji aliedhulumu nafsi za wasio hatia atakapo pokea haki yake ya uuaji.
Hata USA haijatengua katazo la marufuku ya bashite maana ujasusi wa CIA unamfahamu ndani nje na kwamba hajafikishwa katika mahakana za kisheria kwa hukumu ama kutakaswa au kuhukumiwa juu ya hii hatia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila siku maneno hayo hayo inachosha, kama ana ushahidi si aende mahakamani tu
Na huu ndio ujinga wa waTanzania, hivi kila kitu mkitaka raia wa kawaida ndio watafute ushahidi unadhani nani atafungwa? Tuhuma zikiwa substantial ni serikali kuchukua hatua kufanya uchunguzi.

Mbona TAKUKURU waliipekua chadema kwa tuhuma za mtandaoni kuwa mbowe anakula ruzuku? Ila viongozi wa CCM wakiwa na kashfa mnataka raia ndio watoe ushahidi.
 
Hivi nyie nyadomo huwa manajielewa kweli, badala mlete sera za kujenga nchi ili mpate remote mnaleta sera za kumuattack mtu mmoja mmoja huyo makonda akiondoka au akitumbuliwa nyie chadomo mtakuja kushika dola? Kila siku makonda ni kama amewashika pabaya😂😂😂 poleni sana yupo na ataendelea kuwepo nawaomba mjikite kwenye masuala ya msingi.
Kweli wewe kama jina lako lilivyo kitombile na ndivyo ulivyo. Katika masuala ya msingi ambayo yatakuwepo na kupiganiwa mpaka vitukuu vyako vitashuhudia ni KUWASAKA WAUAJI WA LISU. MAKONDA ATATUELEZA SIKU LISU ANAPIGWA RISASI DODOMA ALIENDA KUFANYA NINI WAKATI ENEO LAKE LA KAZI LILIKUWA DAR ES SALAAM TENA KIONGOZI WAKE RAIS ALIKUWEPO PALE AKIHUTUBIA, KWA NINI ALIMKIMBIA AKAENDA DODOMA KWA WAZIFA WAKE WA MKUU WA MKOA KIPINDI HICHO.
 
Huyu ni kumpeleka mahakamani kama yeye, kwa mamlaka yapi aliyokuwa nayo yalivyomfanya kuvamia kituo cha utangazaji cha Clouds usiku wa manene akiwa na silaha nzito.
 
Wewe ni mpumbavu mno. Unavyosema Lissu anatupiga kwenye migodi yeye ndo alisaini mikataba? Mitume gani waliua watu? Akili yako ina mavi.
Baba ysko kauza ng'ombe kusomesha ng'ombe .....kijambio cha saa mia moja na nusu wewe
 
Kama itakuwa ngumu yeye kuandaa majibu basi aliyemteua na CCM kwa ujumla muandae dokezo la majibu. Kwa yeye mambo ni machache tu; Vyeti feki, uvamizi na utekaji ikiwemo unyanganyi.

Hii ni siasa, huwezi kumpangia mpinzani wako pa kupiga. Licha ya hivyo pia ni kuiambia serikali kutimiza wajibu wake dhidi ya maovu na jinai. Tunaona mtenda jinai akipewa tuzo badala ya kuchezea nondo na nyapara.

Tundu Lissu na Chadema ni wahanga wa utekaji na uvamizi. Anaenda kutumia hii kuwaambia watu oneni rais wenu je ana nia kweli ya kupambana na maovu?!
Na vyeti vya makengeza viwe karibukaribu ili iwe FARE kwenye hilo zoezi la uhakiki 😆
 
Ni afadhali Tundu Lissu anyamaze .bila hivyo atatuambia nani alimwambia kuwa Magufuli amekufa kabla ya Serikali kusema.maana yake alijua mchezo wote ulivyokuwa.serious namshauri anayamaze otherwise atajikuta alopoka vitu vya hatari kwa Taifa .achana na makonda nakwambia
 
Kweli wajinga hawaishi nchi hii, kuingia na farasi au baiskeli mkutanoni ndio ku gain popularity? Hivi watu wa aina yako wamo humu "home of great thinkers"?
Hivi unadhani wale vijana walio maliza shule za kata, vyuo vya kati na vyuo vikuu kwa maelfu mitaani unakuja na mbwembwe za farasi bila HOJA ZA MSINGI za maisha yao ndio utawavutia zaidi ya kuwazingua tuu?
Mkuu hizi akili zako ndo zinafanya upinzani uwe unaburuzwa kwenye uchaguzi. Huko mtaani uhalisia hauko hivyo unavyodhani. Hizi mbwembwe unazoona ndo zinapendwa na wapiga kura. Chama chenye fikra za kudhani wanaojiita great thinkers ndo muhimu huwa kinaadhibiwa vibaya mno kwenye sanduku la kura. Kuna kauli fulani ya kijinga sana kwamba CCM inapendwa na wajinga bila kufikiria hao "wajinga" ndo hupanga foleni kupiga kura. Kama CHADEMA mngefuata ushauri wa Lowasa mngekuwa mbali sana.
 
Kama itakuwa ngumu yeye kuandaa majibu basi aliyemteua na CCM kwa ujumla muandae dokezo la majibu. Kwa yeye mambo ni machache tu; Vyeti feki, uvamizi na utekaji ikiwemo unyanganyi.

Hii ni siasa, huwezi kumpangia mpinzani wako pa kupiga. Licha ya hivyo pia ni kuiambia serikali kutimiza wajibu wake dhidi ya maovu na jinai. Tunaona mtenda jinai akipewa tuzo badala ya kuchezea nondo na nyapara.

Tundu Lissu na Chadema ni wahanga wa utekaji na uvamizi. Anaenda kutumia hii kuwaambia watu oneni rais wenu je ana nia kweli ya kupambana na maovu?!
Vyeti vya Mbowe aliishaviona?
 
Mkuu hizi akili zako ndo zinafanya upinzani uwe unaburuzwa kwenye uchaguzi. Huko mtaani uhalisia hauko hivyo unavyodhani. Hizi mbwembwe unazoona ndo zinapendwa na wapiga kura. Chama chenye fikra za kudhani wanaojiita great thinkers ndo muhimu huwa kinaadhibiwa vibaya mno kwenye sanduku la kura. Kuna kauli fulani ya kijinga sana kwamba CCM inapendwa na wajinga bila kufikiria hao "wajinga" ndo hupanga foleni kupiga kura. Kama CHADEMA mngefuata ushauri wa Lowasa mngekuwa mbali sana.
If that's the case, kwa nini mnaiba kura na tume huru hamuitaki? Mtaishi kwenye kivuli cha uongo hadi lini nyie watu?
Hivi mnaona kuwa hao wapiga kura ni wajinga namna hiyo?
 
Kama itakuwa ngumu yeye kuandaa majibu basi aliyemteua na CCM kwa ujumla muandae dokezo la majibu. Kwa yeye mambo ni machache tu; Vyeti feki, uvamizi na utekaji ikiwemo unyanganyi.

Hii ni siasa, huwezi kumpangia mpinzani wako pa kupiga. Licha ya hivyo pia ni kuiambia serikali kutimiza wajibu wake dhidi ya maovu na jinai. Tunaona mtenda jinai akipewa tuzo badala ya kuchezea nondo na nyapara.

Tundu Lissu na Chadema ni wahanga wa utekaji na uvamizi. Anaenda kutumia hii kuwaambia watu oneni rais wenu je ana nia kweli ya kupambana na maovu?!
tunataka majibu, ya zile nissan zilizokuwa zinakimbia toka dodoma kwenda dsm siku ya shambulizi la lisu, vyeti, utekaji wa roma mkatoliki na wengine, na unyang'anyi wa mali.
 
Hivi nyie nyadomo huwa manajielewa kweli, badala mlete sera za kujenga nchi ili mpate remote mnaleta sera za kumuattack mtu mmoja mmoja huyo makonda akiondoka au akitumbuliwa nyie chadomo mtakuja kushika dola? Kila siku makonda ni kama amewashika pabaya😂😂😂 poleni sana yupo na ataendelea kuwepo nawaomba mjikite kwenye masuala ya msingi.
Hawana ajenda ya maana wao ni kudandia hochote kitakachiwapa political mileage
 
Back
Top Bottom