Amezungumza maji kwa miaka mingapi? Tuanzie hapo kwanza.Makonda anazungumza masuala ya maji, Barabara,Afya nk na nyie ajenda Kwa Wananchi ni vyeti,uvamizi na utekaji.Sawa, sisi tupo hapa jukwaani tunasubiri yowe la kichapo kwenye Uchaguzi.
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Hakuna zilipendwa katika siasa! Matèndo yako yataambatana nawe labda yatenganishwe na kaburi tuu.Zilipendwa
Lissu ameisha upepo upo kwa Makonda, Makonda anafanya siasa zinazogusa jamii moja kwa moja tofauti na Lissu Ndio Maana anagain popularity siku zinavyozidi kwenda
Kweli wajinga hawaishi nchi hii, kuingia na farasi au baiskeli mkutanoni ndio ku gain popularity? Hivi watu wa aina yako wamo humu "home of great thinkers"?Lissu ameisha upepo upo kwa Makonda, Makonda anafanya siasa zinazogusa jamii moja kwa moja tofauti na Lissu Ndio Maana anagain popularity siku zinavyozidi kwenda
Watu kama nyie ni kheri kufuga mbuzi atanywewa supu siku ya Iddi au kuku utapata mayai kwa afya yako kuliko kuwa nanyi.Kuua.. kuteka..kupiga ..kuchinja siyo kosa kama umeyafanya hayo katika haki ...mitume wote waliua makonda alikuwa ana pambana na wauza ngada wakubwa na mafisadi wengine wengitu....mfano mtu kama tundu lissu hata angeuliwa ingekuwa sawa tu maana alikuwa ana wasaidia mafisadi wa migodi kutupiga
Umeandika mambo makubwa sana ama kwa kuelewa ama kwa kutoelewa.Lissu ameisha upepo upo kwa Makonda, Makonda anafanya siasa zinazogusa jamii moja kwa moja tofauti na Lissu Ndio Maana anagain popularity siku zinavyozidi kwenda
Lissu akomae kuuza ilani ya chadema,kupambana na MAKONDA ni sawa na yeye kufukuza upepo.Kama itakuwa ngumu yeye kuandaa majibu basi aliyemteua na CCM kwa ujumla muandae dokezo la majibu. Kwa yeye mambo ni machache tu; Vyeti feki, uvamizi na utekaji ikiwemo unyanganyi.
Hii ni siasa, huwezi kumpangia mpinzani wako pa kupiga. Licha ya hivyo pia ni kuiambia serikali kutimiza wajibu wake dhidi ya maovu na jinai. Tunaona mtenda jinai akipewa tuzo badala ya kuchezea nondo na nyapara.
Tundu Lissu na Chadema ni wahanga wa utekaji na uvamizi. Anaenda kutumia hii kuwaambia watu oneni rais wenu je ana nia kweli ya kupambana na maovu?!
Sisiemu ni mafiiii tu ...kumbe na wewe sisiemu ....your totally shitFicha upumbavu wako wewe. Jitahidi kujenga hoja zenye mashiko. Usifanye wanaCCM wote tuonekane wapumbavu kama wewe.
Bro kwa Bahat nzuri nipo kwenye msafara huu anaopita makonda, nikuhakikishie Jamaa ana watu na wanampenda kweli, narudia wanampenda kweliiiii, sidhani kama lisu ataeleweka kwa kudai vyeti vya makonda. Na amini CCM ilikuwa inafutika taratibu kanda ya ziwa lakini wameshtuka ghafla. Uteuzi wa makonda umeirejesha Tena na Bahat nzuri makonda anatembelea nyota ya Magufuli. Niliwahi kuwasihi Chadema kwamba mkitaka kufanikiwa tumieni vizuri jina la Magufuli mtatoboa lakini wakaamua kuendelea kumnanga hata walipokuwa kanda ya ziwa. Mwanakulifuta mwana kulipata. CCM wajanja wao husoma nyakati na kuamua kubadilika kulingana na mazingira. Am sorry to say CCM is back in full control in lake zone because of makonda. OverKama itakuwa ngumu yeye kuandaa majibu basi aliyemteua na CCM kwa ujumla muandae dokezo la majibu. Kwa yeye mambo ni machache tu; Vyeti feki, uvamizi na utekaji ikiwemo unyanganyi.
Hii ni siasa, huwezi kumpangia mpinzani wako pa kupiga. Licha ya hivyo pia ni kuiambia serikali kutimiza wajibu wake dhidi ya maovu na jinai. Tunaona mtenda jinai akipewa tuzo badala ya kuchezea nondo na nyapara.
Tundu Lissu na Chadema ni wahanga wa utekaji na uvamizi. Anaenda kutumia hii kuwaambia watu oneni rais wenu je ana nia kweli ya kupambana na maovu?!
Mtu kama ana vyeti feki wakimsema Sana vinakuwa halali?Kila siku maneno hayo hayo inachosha, kama ana ushahidi si aende mahakamani tu
🤣🤣🤣🤣Mtu kama ana vyeti feki wakimsema Sana vinakuwa halali?
Mwamba umeongea point kubwa hata mimi nililiona Hili sema wapinzani wa nchi hii ni wajuaji mnoBro kwa Bahat nzuri nipo kwenye msafara huu anaopita makonda, nikuhakikishie Jamaa ana watu na wanampenda kweli, narudia wanampenda kweliiiii, sidhani kama lisu ataeleweka kwa kudai vyeti vya makonda. Na amini CCM ilikuwa inafutika taratibu kanda ya ziwa lakini wameshtuka ghafla. Uteuzi wa makonda umeirejesha Tena na Bahat nzuri makonda anatembelea nyota ya Magufuli. Niliwahi kuwasihi Chadema kwamba mkitaka kufanikiwa tumieni vizuri jina la Magufuli mtatoboa lakini wakaamua kuendelea kumnanga hata walipokuwa kanda ya ziwa. Mwanakulifuta mwana kulipata. CCM wajanja wao husoma nyakati na kuamua kubadilika kulingana na mazingira. Am sorry to say CCM is back in full control in lake zone because of makonda. Over
Wewe ni mpumbavu mno. Unavyosema Lissu anatupiga kwenye migodi yeye ndo alisaini mikataba? Mitume gani waliua watu? Akili yako ina mavi.Sisiemu ni mafiiii tu ...kumbe na wewe sisiemu ....your totally shit
Tundu Lissu na Chadema ni wahanga wa utekaji na uvamizi. Anaenda kutumia hii kuwaambia watu oneni rais wenu je ana nia kweli ya kupambana na maovu?![emoji419][emoji375]Kama itakuwa ngumu yeye kuandaa majibu basi aliyemteua na CCM kwa ujumla muandae dokezo la majibu. Kwa yeye mambo ni machache tu; Vyeti feki, uvamizi na utekaji ikiwemo unyanganyi.
Hii ni siasa, huwezi kumpangia mpinzani wako pa kupiga. Licha ya hivyo pia ni kuiambia serikali kutimiza wajibu wake dhidi ya maovu na jinai. Tunaona mtenda jinai akipewa tuzo badala ya kuchezea nondo na nyapara.
Tundu Lissu na Chadema ni wahanga wa utekaji na uvamizi. Anaenda kutumia hii kuwaambia watu oneni rais wenu je ana nia kweli ya kupambana na maovu?!
Jitokeze tukuchalaze alama za risasi miguuni tu tena alama 4, mbili kila mguu, ili baadae uone kama zitakuwa zilipendwaZilipendwa
Mwambie huyo rais wako unayemsifia sifia, aruhusu kesi ya mauaji ya Lisu ianze kunguruma, mnaficha nini uvunguni. Lisu karudi na dereva wake yupo mlichodai hawapo nchini, sasa wapo unasemaje.Mimi nafikiri mngejikita katika kutafuta na kuhitaji majibu juu ya utafunaji wa pesa uliokithiri ndani ya CHADEMA ambapo pesa zinatafunwa bila huruma wala aibu huku chama na wanachama wakibakia mbavu tupu .malizeni pia migogoro yenu inayoendelea kukitafuna chama Chenu kunakotokana na wajanja kukitumia chama kama mradi binafsi huku wanachama mkiendelea kutizamwa kama manyumbu
Risasi ndio vyeti?Jitokeze tukuchalaze alama za risasi miguuni tu tena alama 4, mbili kila mguu, ili baadae uone kama zitakuwa zilipendwa