Lissu amekosea kwenye Final touch. Kumchagua Lema haukuwa uamuzi sahihi

Lissu amekosea kwenye Final touch. Kumchagua Lema haukuwa uamuzi sahihi

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Bado Tupo!

Mchezaji anaweza mzuri kwenye ku- defence, ku-drible, kushambulia lakini akawa anashindwa kwenye final touch kumalizia kufunga Bao.

Huyo Mbowe tayari alikuwa ametepeta, Timu yake ilikuwa ICU. Chenga nyiiingi kwa Lisu Mpaka kamchenga Kipa.

Alafu mwishoni kabisa ati anatoa Pass kwa Lema ndiye amalizie.

Unajua kwenye Timu hata kama mnaumoja vipi lakini lazima mjuane vizuri hasa maeneo Hatari na nyakati Hatari kama kupiga Penati na kufunga magoli.

Soma Pia: Tundu Lissu amteua Lema kuwa wakala wake uchaguzi CHADEMA

Kwangu Mimi Lema sidhani kama ni mfungaji mzuri Mpaka apewe assist kama hii.

Ni wazi Mchezo hautabiriki tena. Lolote laweza kutokea. Kupaisha kupo njenje. Au Lema kujiangusha na Kipa kudaka Mpira au kunyang'anya.

Haya!
Lissu hapa amecheza fyongo
 
Kushinda kwa Mbowe ni kukipasua chama, Mbowe sio rahisi kuwaamini tena akina Lema, Lissu na Heche.

Zaidi ya 80% ya wajumbe wanahitaji mabadiliko ndani ya Chama, hapo bado hujatugusa Watanzania wapiga kura ambao tungetanani kumwona Lissu akishika hatamu ya kuongoza Chama.

Kushinda kwa Mbowe ni kutangaza kushindwa kwa Chadema ktk uchaguzi mkuu mwaka huu. Kuanzia ngazi za Udiwani hadi Ubunge.
 
Kushinda kwa Mbowe ni kukipasua chama, Mbowe sio rahisi kuwaamini tena akina Lema, Lissu na Heche.

Zaidi ya 80% ya wajumbe wanahitaji mabadiliko ndani ya Chama, hapo bado hujatugusa Watanzania wapiga kura ambao tungetanani kumwona Lissu akishika hatamu ya kuongoza Chama.

Kushinda kwa Mbowe ni kutangaza kushindwa kwa Chadema ktk uchaguzi mkuu mwaka huu. Kuanzia ngazi za Udiwani hadi Ubunge.
lengo ni kuisambaratisha CHADEMA kivyovyote vile ni swala la muda tu..watazamaji tupo kucheki.
 
Mwanaume mjinga anaiua CHADEMA kwa mikono yake mwenyewe.
Ni nani huyoo...
Mugabe-sleeping.jpg
 
Bado Tupo!

Mchezaji anaweza mzuri kwenye ku- defence, ku-drible, kushambulia lakini akawa anashindwa kwenye final touch kumalizia kufunga Bao.

Huyo Mbowe tayari alikuwa ametepeta, Timu yake ilikuwa ICU. Chenga nyiiingi kwa Lisu Mpaka kamchenga Kipa.

Alafu mwishoni kabisa ati anatoa Pass kwa Lema ndiye amalizie.

Unajua kwenye Timu hata kama mnaumoja vipi lakini lazima mjuane vizuri hasa maeneo Hatari na nyakati Hatari kama kupiga Penati na kufunga magoli.

Soma Pia: Tundu Lissu amteua Lema kuwa wakala wake uchaguzi CHADEMA

Kwangu Mimi Lema sidhani kama ni mfungaji mzuri Mpaka apewe assist kama hii.

Ni wazi Mchezo hautabiriki tena. Lolote laweza kutokea. Kupaisha kupo njenje. Au Lema kujiangusha na Kipa kudaka Mpira au kunyang'anya.

Haya!
Lissu hapa amecheza fyongo
Lema anajua michezo yote, we unafikiri kushinda ubunge Arusha Mjini kazi ndogo na je wafikiri , lema ndo msimamizi pekee wa kura za lissu , ngoma imechezwa vizuri, haipotei hata kura moja pale
 
Back
Top Bottom