Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 20,654
- 35,887
Tena lazima uvute kitu cha Arusha.Inabidi uwe mwendazimu kumchagua Antipas kuwa mwenyekiti 💩
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena lazima uvute kitu cha Arusha.Inabidi uwe mwendazimu kumchagua Antipas kuwa mwenyekiti 💩
Hata mimi naona hapa tunaandaliwa kisaikolojia 🤣🤣🤣🤣mnaanza kutuandaa kisaikolojia sio..?
Acha propaganda.Kushinda kwa Mbowe ni kukipasua chama, Mbowe sio rahisi kuwaamini tena akina Lema, Lissu na Heche.
Zaidi ya 80% ya wajumbe wanahitaji mabadiliko ndani ya Chama, hapo bado hujatugusa Watanzania wapiga kura ambao tungetanani kumwona Lissu akishika hatamu ya kuongoza Chama.
Kushinda kwa Mbowe ni kutangaza kushindwa kwa Chadema ktk uchaguzi mkuu mwaka huu. Kuanzia ngazi za Udiwani hadi Ubunge.
Lema ni mtu anayeaninika sana.Bado Tupo!
Mchezaji anaweza mzuri kwenye ku- defence, ku-drible, kushambulia lakini akawa anashindwa kwenye final touch kumalizia kufunga Bao.
Huyo Mbowe tayari alikuwa ametepeta, Timu yake ilikuwa ICU. Chenga nyiiingi kwa Lisu Mpaka kamchenga Kipa.
Alafu mwishoni kabisa ati anatoa Pass kwa Lema ndiye amalizie.
Unajua kwenye Timu hata kama mnaumoja vipi lakini lazima mjuane vizuri hasa maeneo Hatari na nyakati Hatari kama kupiga Penati na kufunga magoli.
Soma Pia: Tundu Lissu amteua Lema kuwa wakala wake uchaguzi CHADEMA
Kwangu Mimi Lema sidhani kama ni mfungaji mzuri Mpaka apewe assist kama hii.
Ni wazi Mchezo hautabiriki tena. Lolote laweza kutokea. Kupaisha kupo njenje. Au Lema kujiangusha na Kipa kudaka Mpira au kunyang'anya.
Haya!
Lissu hapa amecheza fyongo
Kabisa......Mimi ukiniambia watu watatu kwenye siasa wanaoaminika Baada ya Tundu Lissu na Heche ni Lema.Utakuwa humfahamu Lema mkuu, ni mtu sahihi wa kupambana. Haina haja ya kuogopa kuhusu hili
Etimnaanza kutuandaa kisaikolojia sio..?
Kuwa Lema anaweza kuharibu dakika za mwisho?? Sidhani kama ni rahisi hivyo...
Kinachonifurahisha mimi lema kwa macho yake anaona msaliti mwenziwe anaangukia puaBado Tupo!
Mchezaji anaweza mzuri kwenye ku- defence, ku-drible, kushambulia lakini akawa anashindwa kwenye final touch kumalizia kufunga Bao.
Huyo Mbowe tayari alikuwa ametepeta, Timu yake ilikuwa ICU. Chenga nyiiingi kwa Lisu Mpaka kamchenga Kipa.
Alafu mwishoni kabisa ati anatoa Pass kwa Lema ndiye amalizie.
Unajua kwenye Timu hata kama mnaumoja vipi lakini lazima mjuane vizuri hasa maeneo Hatari na nyakati Hatari kama kupiga Penati na kufunga magoli.
Soma Pia: Tundu Lissu amteua Lema kuwa wakala wake uchaguzi CHADEMA
Kwangu Mimi Lema sidhani kama ni mfungaji mzuri Mpaka apewe assist kama hii.
Ni wazi Mchezo hautabiriki tena. Lolote laweza kutokea. Kupaisha kupo njenje. Au Lema kujiangusha na Kipa kudaka Mpira au kunyang'anya.
Haya!
Lissu hapa amecheza fyongo
Mwaka 2011 nikiwa Arusha nilihudhuria kikao cha Lema alimualika Lissu kuongea kwenye kata yetu. So ni watu wana mahusiano mazuri ya mda mrefuKabisa......Mimi ukiniambia watu watatu kwenye siasa wanaoaminika Baada ya Tundu Lissu na Heche ni Lema.
SahihiMwaka 2011 nikiwa Arusha nilihudhuria kikao cha Lema alimualika Lissu kuongea kwenye kata yetu. So ni watu wana mahusiano mazuri ya mda mrefu
Kama alivyoona kuhusu Jiwe na juzi juzi kaona kuhusu Mama. Basi Mwache Lema aendelee kuonaKinachonifurahisha mimi lema kwa macho yake anaona msaliti mwenziwe anaangukia pua
Kwamba Lema amekuwa Prince Dube striker la kujiangusha kwenye boksi?Ni wazi Mchezo hautabiriki tena. Lolote laweza kutokea. Kupaisha kupo njenje. Au Lema kujiangusha na Kipa kudaka Mpira au kunyang'anya.
Haya!
Lissu hapa amecheza fyongo
U have spoken my mind ni kama vile Mbowe na Lema wame play an intelligence Trick to Lissu.Bado Tupo!
Mchezaji anaweza mzuri kwenye ku- defence, ku-drible, kushambulia lakini akawa anashindwa kwenye final touch kumalizia kufunga Bao.
Huyo Mbowe tayari alikuwa ametepeta, Timu yake ilikuwa ICU. Chenga nyiiingi kwa Lisu Mpaka kamchenga Kipa.
Alafu mwishoni kabisa ati anatoa Pass kwa Lema ndiye amalizie.
Unajua kwenye Timu hata kama mnaumoja vipi lakini lazima mjuane vizuri hasa maeneo Hatari na nyakati Hatari kama kupiga Penati na kufunga magoli.
Soma Pia: Tundu Lissu amteua Lema kuwa wakala wake uchaguzi CHADEMA
Kwangu Mimi Lema sidhani kama ni mfungaji mzuri Mpaka apewe assist kama hii.
Ni wazi Mchezo hautabiriki tena. Lolote laweza kutokea. Kupaisha kupo njenje. Au Lema kujiangusha na Kipa kudaka Mpira au kunyang'anya.
Haya!
Lissu hapa amecheza fyongo
Unadhani ni watu wote wanaweka undugu au ukabila mbele na kudharau haki? Mimi hata kama ni mzazi wangu, nikiona anamtendea mtu baki jambo la dhuluma nitampinga!Ishu ni kwamba Lema ni ndugu wa FAM, manuever yakifanyika anaweza kupiga kimya
Wengi walisema CHADEMA ni chama cha wachaga. Sasa hivi wachaga ndiyo wako mbele kumkataa Mbowe na kutaka chama kiongozwe na mnyaturu na watu wengine wasio wachaga. Wewe umeathirika na kitu kinachoitwa ''confirmation bias''. Hii hali huathiri kila binadamu kwa wakati tofauti kulingana na ubongo wako ulilishwa nini tangu unakua.U have spoken my mind ni kama vile Mbowe na Lema wame play an intelligence Tru to Lissu.
Mmachame nduguye mmachame