Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #61
Lema ni mwanasiasa anaitaji kua lelevanti pia ni mwanaharakati ni mtu wa mabadiliko Lissu kafanya sahihi
Ngoja tuone
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lema ni mwanasiasa anaitaji kua lelevanti pia ni mwanaharakati ni mtu wa mabadiliko Lissu kafanya sahihi
Kuna kitu nyuma ya akili kinaniambia kuwa wahuni wameamua kumtapeli Abduli na mama yake!Kushinda kwa Mbowe ni kukipasua chama, Mbowe sio rahisi kuwaamini tena akina Lema, Lissu na Heche.
Zaidi ya 80% ya wajumbe wanahitaji mabadiliko ndani ya Chama, hapo bado hujatugusa Watanzania wapiga kura ambao tungetanani kumwona Lissu akishika hatamu ya kuongoza Chama.
Kushinda kwa Mbowe ni kutangaza kushindwa kwa Chadema ktk uchaguzi mkuu mwaka huu. Kuanzia ngazi za Udiwani hadi Ubunge.
Samia yupi? Yule asiyejua kuongea ama kuna mwingineHii nchi mtu pekee wa kumshinda Lissu ni SAMIA.
Kwamba kwenye uchaguzi wakala ana mbinu za kumalizia assist?Bado Tupo!
Mchezaji anaweza mzuri kwenye ku- defence, ku-drible, kushambulia lakini akawa anashindwa kwenye final touch kumalizia kufunga Bao.
Huyo Mbowe tayari alikuwa ametepeta, Timu yake ilikuwa ICU. Chenga nyiiingi kwa Lisu Mpaka kamchenga Kipa.
Alafu mwishoni kabisa ati anatoa Pass kwa Lema ndiye amalizie.
Unajua kwenye Timu hata kama mnaumoja vipi lakini lazima mjuane vizuri hasa maeneo Hatari na nyakati Hatari kama kupiga Penati na kufunga magoli.
Soma Pia: Tundu Lissu amteua Lema kuwa wakala wake uchaguzi CHADEMA
Kwangu Mimi Lema sidhani kama ni mfungaji mzuri Mpaka apewe assist kama hii.
Ni wazi Mchezo hautabiriki tena. Lolote laweza kutokea. Kupaisha kupo njenje. Au Lema kujiangusha na Kipa kudaka Mpira au kunyang'anya.
Haya!
Lissu hapa amecheza fyongo
Kwamba kwenye uchaguzi wakala ana mbinu za kumalizia assist?
Mbowe Mugabe
Huu umoja wa chura kiziwi na Mbowe umeanza lini?Inabidi uwe mwendazimu kumchagua Antipas kuwa mwenyekiti 💩
Heeee ndio hivyo tena? Sasa si hatari hii.Ishu ni kwamba Lema ni ndugu wa FAM, manuever yakifanyika anaweza kupiga kimya
Hata mimi nahisi hivyo, kuna thread leo imeanzishwa humu ikionesha wajumbe kukiri kupokea rushwa. Hali ya Chadema ni mbaya saana.Kuna kitu nyuma ya akili kinaniambia kuwa wahuni wameamua kumtapeli Abduli na mama yake!
Duniani kote mabadiliko muhimu yanaletwa na wale wanaoonekana wendawazimu!Inabidi uwe mwendazimu kumchagua Antipas kuwa mwenyekiti 💩
Lissu anakwenda kushinda hii battle.