Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Kwa namna yoyote Ile ni Lazima LISSU ASHINDE ili chama kiwe hai.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Timu Lissu bwana. Hakuna kuaminiana kwasababu wote ni wahuni wanaoangalia fursa zaidi ya ustawi wa chama! Ahahahahaha!!Bado Tupo!
Mchezaji anaweza mzuri kwenye ku- defence, ku-drible, kushambulia lakini akawa anashindwa kwenye final touch kumalizia kufunga Bao.
Huyo Mbowe tayari alikuwa ametepeta, Timu yake ilikuwa ICU. Chenga nyiiingi kwa Lisu Mpaka kamchenga Kipa.
Alafu mwishoni kabisa ati anatoa Pass kwa Lema ndiye amalizie.
Unajua kwenye Timu hata kama mnaumoja vipi lakini lazima mjuane vizuri hasa maeneo Hatari na nyakati Hatari kama kupiga Penati na kufunga magoli.
Soma Pia: Tundu Lissu amteua Lema kuwa wakala wake uchaguzi CHADEMA
Kwangu Mimi Lema sidhani kama ni mfungaji mzuri Mpaka apewe assist kama hii.
Ni wazi Mchezo hautabiriki tena. Lolote laweza kutokea. Kupaisha kupo njenje. Au Lema kujiangusha na Kipa kudaka Mpira au kunyang'anya.
Haya!
Lissu hapa amecheza fyongo
Lema bado ni mtu mwenye ushawishi kwa siasa za Kaskazini kwaio kuwepo pale kuna kura za wana Kaskazini wanaomkubali lema au walikua katika harakati na Lema watavutika kupiga upande alipo Lema.Bado Tupo!
Mchezaji anaweza mzuri kwenye ku- defence, ku-drible, kushambulia lakini akawa anashindwa kwenye final touch kumalizia kufunga Bao.
Huyo Mbowe tayari alikuwa ametepeta, Timu yake ilikuwa ICU. Chenga nyiiingi kwa Lisu Mpaka kamchenga Kipa.
Alafu mwishoni kabisa ati anatoa Pass kwa Lema ndiye amalizie.
Unajua kwenye Timu hata kama mnaumoja vipi lakini lazima mjuane vizuri hasa maeneo Hatari na nyakati Hatari kama kupiga Penati na kufunga magoli.
Soma Pia: Tundu Lissu amteua Lema kuwa wakala wake uchaguzi CHADEMA
Kwangu Mimi Lema sidhani kama ni mfungaji mzuri Mpaka apewe assist kama hii.
Ni wazi Mchezo hautabiriki tena. Lolote laweza kutokea. Kupaisha kupo njenje. Au Lema kujiangusha na Kipa kudaka Mpira au kunyang'anya.
Haya!
Lissu hapa amecheza fyongo
DUH!!!.............Inabidi uwe mwendazimu kumchagua Antipas kuwa mwenyekiti 💩
Shida yako ni huo UKABILA very primitiveBado Tupo!
Mchezaji anaweza mzuri kwenye ku- defence, ku-drible, kushambulia lakini akawa anashindwa kwenye final touch kumalizia kufunga Bao.
Huyo Mbowe tayari alikuwa ametepeta, Timu yake ilikuwa ICU. Chenga nyiiingi kwa Lisu Mpaka kamchenga Kipa.
Alafu mwishoni kabisa ati anatoa Pass kwa Lema ndiye amalizie.
Unajua kwenye Timu hata kama mnaumoja vipi lakini lazima mjuane vizuri hasa maeneo Hatari na nyakati Hatari kama kupiga Penati na kufunga magoli.
Soma Pia: Tundu Lissu amteua Lema kuwa wakala wake uchaguzi CHADEMA
Kwangu Mimi Lema sidhani kama ni mfungaji mzuri Mpaka apewe assist kama hii.
Ni wazi Mchezo hautabiriki tena. Lolote laweza kutokea. Kupaisha kupo njenje. Au Lema kujiangusha na Kipa kudaka Mpira au kunyang'anya.
Haya!
Lissu hapa amecheza fyongo
Na ndiyo kusudi la CCM hadi kuwekeza mabilioni ili ashinde Mbowe na Chadema ife.Kushinda kwa Mbowe ni kukipasua chama, Mbowe sio rahisi kuwaamini tena akina Lema, Lissu na Heche.
Zaidi ya 80% ya wajumbe wanahitaji mabadiliko ndani ya Chama, hapo bado hujatugusa Watanzania wapiga kura ambao tungetanani kumwona Lissu akishika hatamu ya kuongoza Chama.
Kushinda kwa Mbowe ni kutangaza kushindwa kwa Chadema ktk uchaguzi mkuu mwaka huu. Kuanzia ngazi za Udiwani hadi Ubunge.
Kabisa kabisa 100%Kwenye hili Lema ni mtu sahihi
💯Kuanzia ngazi za Udiwani hadi Ubunge.
I second youKwenye hili Lema ni mtu sahihi
Vibaya mnoNadhani unamuona si sahih ajili ya uchaga wake bt nakuhakikishia huyu ni mtu sahih zaidi.
mtibeli anatuzingua makamandaHofu yako tu Mtibeti..ni mtu SAHIHI kabisa
Yeah, Lema anaweza kuwa alijipenyeza kwenye kambi ya Lissu kimkakati.Bado Tupo!
Mchezaji anaweza mzuri kwenye ku- defence, ku-drible, kushambulia lakini akawa anashindwa kwenye final touch kumalizia kufunga Bao.
Huyo Mbowe tayari alikuwa ametepeta, Timu yake ilikuwa ICU. Chenga nyiiingi kwa Lisu Mpaka kamchenga Kipa.
Alafu mwishoni kabisa ati anatoa Pass kwa Lema ndiye amalizie.
Unajua kwenye Timu hata kama mnaumoja vipi lakini lazima mjuane vizuri hasa maeneo Hatari na nyakati Hatari kama kupiga Penati na kufunga magoli.
Soma Pia: Tundu Lissu amteua Lema kuwa wakala wake uchaguzi CHADEMA
Kwangu Mimi Lema sidhani kama ni mfungaji mzuri Mpaka apewe assist kama hii.
Ni wazi Mchezo hautabiriki tena. Lolote laweza kutokea. Kupaisha kupo njenje. Au Lema kujiangusha na Kipa kudaka Mpira au kunyang'anya.
Haya!
Lissu hapa amecheza fyongo
Tuwe na imani kama aliyonayo LissuBado Tupo!
Mchezaji anaweza mzuri kwenye ku- defence, ku-drible, kushambulia lakini akawa anashindwa kwenye final touch kumalizia kufunga Bao.
Huyo Mbowe tayari alikuwa ametepeta, Timu yake ilikuwa ICU. Chenga nyiiingi kwa Lisu Mpaka kamchenga Kipa.
Alafu mwishoni kabisa ati anatoa Pass kwa Lema ndiye amalizie.
Unajua kwenye Timu hata kama mnaumoja vipi lakini lazima mjuane vizuri hasa maeneo Hatari na nyakati Hatari kama kupiga Penati na kufunga magoli.
Soma Pia: Tundu Lissu amteua Lema kuwa wakala wake uchaguzi CHADEMA
Kwangu Mimi Lema sidhani kama ni mfungaji mzuri Mpaka apewe assist kama hii.
Ni wazi Mchezo hautabiriki tena. Lolote laweza kutokea. Kupaisha kupo njenje. Au Lema kujiangusha na Kipa kudaka Mpira au kunyang'anya.
Haya!
Lissu hapa amecheza fyongo
Bado Tupo!
Mchezaji anaweza mzuri kwenye ku- defence, ku-drible, kushambulia lakini akawa anashindwa kwenye final touch kumalizia kufunga Bao.
Huyo Mbowe tayari alikuwa ametepeta, Timu yake ilikuwa ICU. Chenga nyiiingi kwa Lisu Mpaka kamchenga Kipa.
Alafu mwishoni kabisa ati anatoa Pass kwa Lema ndiye amalizie.
Unajua kwenye Timu hata kama mnaumoja vipi lakini lazima mjuane vizuri hasa maeneo Hatari na nyakati Hatari kama kupiga Penati na kufunga magoli.
Soma Pia: Tundu Lissu amteua Lema kuwa wakala wake uchaguzi CHADEMA
Kwangu Mimi Lema sidhani kama ni mfungaji mzuri Mpaka apewe assist kama hii.
Ni wazi Mchezo hautabiriki tena. Lolote laweza kutokea. Kupaisha kupo njenje. Au Lema kujiangusha na Kipa kudaka Mpira au kunyang'anya.
Haya!
Liss
Bado Tupo!
Mchezaji anaweza mzuri kwenye ku- defence, ku-drible, kushambulia lakini akawa anashindwa kwenye final touch kumalizia kufunga Bao.
Huyo Mbowe tayari alikuwa ametepeta, Timu yake ilikuwa ICU. Chenga nyiiingi kwa Lisu Mpaka kamchenga Kipa.
Alafu mwishoni kabisa ati anatoa Pass kwa Lema ndiye amalizie.
Unajua kwenye Timu hata kama mnaumoja vipi lakini lazima mjuane vizuri hasa maeneo Hatari na nyakati Hatari kama kupiga Penati na kufunga magoli.
Soma Pia: Tundu Lissu amteua Lema kuwa wakala wake uchaguzi CHADEMA
Kwangu Mimi Lema sidhani kama ni mfungaji mzuri Mpaka apewe assist kama hii.
Ni wazi Mchezo hautabiriki tena. Lolote laweza kutokea. Kupaisha kupo njenje. Au Lema kujiangusha
Ku-defendBado Tupo!
Mchezaji anaweza mzuri kwenye ku- defence, ku-drible, kushambulia lakini akawa anashindwa kwenye final touch kumalizia kufunga Bao.
Huyo Mbowe tayari alikuwa ametepeta, Timu yake ilikuwa ICU. Chenga nyiiingi kwa Lisu Mpaka kamchenga Kipa.
Alafu mwishoni kabisa ati anatoa Pass kwa Lema ndiye amalizie.
Unajua kwenye Timu hata kama mnaumoja vipi lakini lazima mjuane vizuri hasa maeneo Hatari na nyakati Hatari kama kupiga Penati na kufunga magoli.
Soma Pia: Tundu Lissu amteua Lema kuwa wakala wake uchaguzi CHADEMA
Kwangu Mimi Lema sidhani kama ni mfungaji mzuri Mpaka apewe assist kama hii.
Ni wazi Mchezo hautabiriki tena. Lolote laweza kutokea. Kupaisha kupo njenje. Au Lema kujiangusha na Kipa kudaka Mpira au kunyang'anya.
Haya!
Lissu hapa amecheza fyongo
Kwa hiyo team Lisu hamtaki democracy?Kushinda kwa Mbowe ni kukipasua chama, Mbowe sio rahisi kuwaamini tena akina Lema, Lissu na Heche.
Zaidi ya 80% ya wajumbe wanahitaji mabadiliko ndani ya Chama, hapo bado hujatugusa Watanzania wapiga kura ambao tungetanani kumwona Lissu akishika hatamu ya kuongoza Chama.
Kushinda kwa Mbowe ni kutangaza kushindwa kwa Chadema ktk uchaguzi mkuu mwaka huu. Kuanzia ngazi za Udiwani hadi Ubunge.