Lissu amekosea kwenye Final touch. Kumchagua Lema haukuwa uamuzi sahihi

Sure! Wachaga hawaaminiki sana,chances are;Lema ni Trojan horse tu kwa Lisu ila yupo na homeboy wake!

Ila ndiyo hivyo tena acha nilale!
 
LEO MAKENGEZA ANAAIBISHWA.

TAYARI MWAKAJOKAAA WAJUMBE KWA UMOJA WAO WAMEMTEUA KUA MWENYEKITI WA UCHAGUZI 🤣🤣🤣🤣

MATATA TIMU MBOWEE KAPIGWAAA HAHAHAHAHAH
 
Kuna kitu nyuma ya akili kinaniambia kuwa wahuni wameamua kumtapeli Abduli na mama yake!
 
Kwamba kwenye uchaguzi wakala ana mbinu za kumalizia assist?
 
Wachaga huwa hawatupani, mchaga kwa mchaga huwa option ni mchaga mwenzie kwanza.

Usimuamini mchaga hasa kwenye issue inayomhusu mchaga mwenzie.

Kusudi langu sio ukabira, nilichokusudia ni ukweli na uhalisia.
 
Mbona Team Lisu ndio wanawasiwasi kuliko team zingine.

Kura wanaibiwa wao hata uchaguzi haujafanyika.

Ndio maana nasema, bora Lisu aondoke na genge lake chadema ibaki salama.
 
MWAKA 1961 TANGANYIKA IKIPATA UHURU.

BABA WA TAIFA ALIWATAJA MAADUI WAKUU WA TATU WA TAIFA.
1. UMASIKINI.
2. UJINGA.
3. MARADHI.

AKAMALIZA KWA KUSEMA "MAADUI HAWA NI MAADUI KWELI KWELI NA SI MAADUI WA DHIHAKA"
JK NYERERE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…