Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kukodi ukumbi Mlimani City ni mamia ya mamilioni?Najiuliza tu, hayo mamia ya mamilioni kayatoa wapi wakati juzi tu tulikuwa tunamchangia apate usafiri? Na akaandamana na watu wengi sana, wengine wamelipiwa nauli kutoka mikoani na kulazwa kwenye hoteli zenye fahari kuu jijini Dar es salaam?
Wewe masikini mpaka akili, Kama wewe hauna hela sio kila mtu ni masikini, sio bure umerogwa, tafuta hela mtoto wa kiume utaolewa. Kwa akili yako ndogo ya SAUT unadhani Lisu bank atakosa chini ya 3B? jinga weweNajiuliza tu, hayo mamia ya mamilioni kayatoa wapi wakati juzi tu tulikuwa tunamchangia apate usafiri? Na akaandamana na watu wengi sana, wengine wamelipiwa nauli kutoka mikoani na kulazwa kwenye hoteli zenye fahari kuu jijini Dar es salaam?
Toka umeanza michezo ya Suphian umekuwa huna akili3B ya konyo
😂😂😂😂Vibwengo wa CCM Lissu kawaweka la kati mnaruka ruka tu kama popcorn
Kwani ume wasiliana na Bw. Abdul kakuhakikishia kuwa yeye hahusiki, kabla ya kuleta mada hapa!Najiuliza tu, hayo mamia ya mamilioni kayatoa wapi wakati juzi tu tulikuwa tunamchangia apate usafiri? Na akaandamana na watu wengi sana, wengine wamelipiwa nauli kutoka mikoani na kulazwa kwenye hoteli zenye fahari kuu jijini Dar es salaam?
Kuna za kunyapia nyapia kwamba Msigwa ndiye katoa mzigo kumchangia rafiki yake - ila si dhambi maana wametoka naye mbali.Najiuliza tu, hayo mamia ya mamilioni kayatoa wapi wakati juzi tu tulikuwa tunamchangia apate usafiri? Na akaandamana na watu wengi sana, wengine wamelipiwa nauli kutoka mikoani na kulazwa kwenye hoteli zenye fahari kuu jijini Dar es salaam?
Ukumbi pale ni pesheni yako yote kijana.Bei ya ukumbi ni shillingi ngapi mpaka Lisu ashindwe
Kwasasa wameshatafuta kisingizio cha kudai Ubaya w Lisu kuwa ni Msigwa kila neno utasikia msigwa kipindi cha Zito ilikuwa neno kuu Msaliti nyumbu wote lilokuwa aliwakauki sasa kiitikio ndio icho Msigwa adi Lisu anyooshe mikono juuu!!!!!Ukiisikiliza Speech ya Lissu alisema wazi kuwa kuwa Wafadhili wamesaidia ule mkutano wake.
Huo ushambaNajiuliza tu, hayo mamia ya mamilioni kayatoa wapi wakati juzi tu tulikuwa tunamchangia apate usafiri? Na akaandamana na watu wengi sana, wengine wamelipiwa nauli kutoka mikoani na kulazwa kwenye hoteli zenye fahari kuu jijini Dar es salaam?
Kwani wewe ndio huwa unamuhidumia?Najiuliza tu, hayo mamia ya mamilioni kayatoa wapi wakati juzi tu tulikuwa tunamchangia apate usafiri? Na akaandamana na watu wengi sana, wengine wamelipiwa nauli kutoka mikoani na kulazwa kwenye hoteli zenye fahari kuu jijini Dar es salaam?
Kuna press moja ya kiongozi wa umma maarufu aliita waandishi wa habari. Mwisho wa siku aliwapa bahasha za Tsh. 20,000 kila mmoja.Ndio, akanunua waandishi zaidi ya 30 na akawalipa
230K mbona hela ndogo Sana mkuu!Lakini nimemchangia 230,000 kwaajili ya kununua gari mpya.