Lissu amewahi kushika nafasi gani ya juu katika taasisi yote ile na ameleta maendeleo gani?

Lissu amewahi kushika nafasi gani ya juu katika taasisi yote ile na ameleta maendeleo gani?

Unataka uniswalishe?
Hapana .....
Mimi ngu kugeukambaro wa Ilmu nawezaje kukuswalisha maalim mzito kama wewe.

Kama mnavyotukemea kwenye Mpira sisi wa Simba na Yanga .....basi nanyi maulamaa haya mwayashabikia ,achaneni nayo hayana faida kwenu na sisi sote.
 
Mbowe kabla ya uenyekiti aliwahi kushika nafasi gani kubwa ya kiuongozi, kuweza kupata uzoefu wa kuongoza Cdm kwa muda mrefu?
Alikuwa ni mrithi wa biashara za familia (Ikiwemo Chadema) na mpaka sasa hivi zinafanya vizuri hadi wavimba macho akina Lissu ambao hawajui chochote eti wanadai nao wanaweza kusimamia biashara ambazo hata familia zao hawakuwahi kuota kuzisimamia.
 
Kiongozi ana sababu nyingi za kumuhesabu kuwa kaleta maendeleo,hivyo akili tu ta shule ya msingi inahitajika kuona matunda ya Lisu,tena itakuwa ni hoja dhaifu sana kuzungumzia suala la Uongozi wa Lisu na kutaka kuulinganisha,ni bora kutafuta sababu nyingine za kumsema Lisu lakini siyo kwenye ishu ya Uongozi,Lisu ni mmoja wa Wanasiasa waliofanya makubwa na kuacha alama ua kiuongozi.
 
Maendeleo hayaletwi na mtu mmoja hasa ikishakua taasisi


Ndo maana hata leo hii ukiachana na mkeo mnagawana mali hata kama alikua mama wa nyumbani sheria inatambua alikua na mchango wake, ndoa ni taasisi
 
Kiongozi ana sababu nyingi za kumuhesabu kuwa kaleta maendeleo,hivyo akili tu ta shule ya msingi inahitajika kuona matunda ya Lisu,tena itakuwa ni hoja dhaifu sana kuzungumzia suala la Uongozi wa Lisu na kutaka kuulinganisha,ni bora kutafuta sababu nyingine za kumsema Lisu lakini siyo kwenye ishu ya Uongozi,Lisu ni mmoja wa Wanasiasa waliofanya makubwa na kuacha alama ua kiuongozi.
Kawahi kushika nafasi gani ya juu ktk uongozi yeye kama kiongozi katika Taasisi?
 
Maendeleonhayaletwi na mtu mmoja


Ndo maana hata leo hii ukiachana na mkeo mnagawana mali hata kama alikua mama wa nyumbani sheria inatambua alikua na mchango wake
Sasa kama maendeleo hayaleti mtu mmoja yeye anataka nini nafasi ya juu?
 
Lissu amewahi kushika nafasi gani ya juu ya uongozi na amefanyia maendeleo gani?

Maana nafasi ya Mwenyekiti ni kubwa.
Ameshika nafasi ya makamu mwenyekiti, kutokana na kuwa tishio kwa watawala kuliko mwenyekiti wake Mbowe walimchapa risasi nyingi tu, sasa anataka nafasi ya mwenyekiti aweke chama sawa kutukana na hizi nyakati ambazo hutakiwi kucheka na yeyote
 
Back
Top Bottom