- Thread starter
- #21
Kawa baba wakambo wakoBabako amewahi kushika Nafasi Gani???😅🤣🤣🤣🚴🚴🚴
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kawa baba wakambo wakoBabako amewahi kushika Nafasi Gani???😅🤣🤣🤣🚴🚴🚴
Kwa hivyo alipokuwa makamo ndio akapigwa? 2017 alikua makamo mwinyikiti? Hujui kitu. Lissu Kawa mwenyekiti 2019 hadi 2021 wakati muda wote huo yupo kwa matashaAmeshika nafasi ya makamu mwenyekiti, kutokana na kuwa tishio kwa watawala kuliko mwenyekiti wake Mbowe walimchapa risasi nyingi tu, sasa anataka nafasi ya mwenyekiti aweke chama sawa kutukana na hizi nyakati ambazo hutakiwi kucheka na yeyote
Huyu Kuna muda unaweza sema zimeruka🙌Watu wengine bwana
Zimeruka lissu, matusi siku hizi kwa viongozi wenziweHuyu Kuna muda unaweza sema zimeruka🙌
Ulitaka afanye nini ?W
Ameifanyia nini?
Swali lako halina mwaka halafu wewe unaleta majibu ya mwaka tukueleweje? Ndio nimekujibu Lissu kashika cheo kikubwa tu Makamu Mwenyekiti, vile vile kutokana na kuwa tishio kwa watawala alipigwa risasi, mimi sijakwambia alipigwa risasi akiwa na cheo gani wala mwaka ganiKwa hivyo alipokuwa makamo ndio akapigwa? 2017 alikua makamo mwinyikiti? Hujui kitu. Lissu Kawa mwenyekiti 2019 hadi 2021 wakati muda wote huo yupo kwa matasha
🤣🙌Zimeruka lissu, matusi siku hizi kwa viongozi wenziwe
Weye uoneshe nafasi ya juu ktk Taasisi yoyote aliowahi kuiongozaUlitaka afanye nini ?
Makamo mwenyekiti sio cheo cha juu chadema, cheo cha juu ni mwenyekiti , any way kaleta maendeleo gani?Swali lako halina mwaka halafu wewe unaleta majibu ya mwaka tukueleweje? Ndio nimekujibu Lissu kashika cheo kikubwa tu Makamu Mwenyekiti, vile vile kutokana na kuwa tishio kwa watawala alipigwa risasi, mimi sijakwambia alipigwa risasi akiwa na cheo gani wala mwaka gani
Kwahiyo unataka kusema mtu alieshika cheo cha makamu mwenyekiti ni cheo cha chini? hata Rais Samia alipokuwa Makamu wa Rais watu walijua cheo kidogo, baada ya kufa Rais JPM wakaelewa kuwa makamu wa Rais ni cheo cha juu tu , unataka maendeleo gani wakati wao kazi yao kumsaidia mwenyekiti Mbowe, kwahiyo kwenye kila alicho fanya Mbowe wao wana mchango waoMakamo mwenyekiti sio cheo cha juu chadema, cheo cha juu ni mwenyekiti , any way kaleta maendeleo gani?
Kwahiyo unataka kusema mtu alieshika cheo cha makamu mwenyekiti ni cheo cha chini? hata Rais Samia alipokuwa Makamu wa Rais watu walijua cheo kidogo, baada ya kufa Rais JPM wakaelewa kuwa makamu wa Rais ni cheo cha juu tu , unataka maendeleo gani wakati wao kazi yao kumsaidia mwenyekiti Mbowe
Simpendagi.anajitoa ufahamu sanaHuyu Kuna muda unaweza sema zimeruka🙌
Lissu amewahi kushika nafasi gani ya juu ya uongozi na amefanyia maendeleo gani?
Maana nafasi ya Mwenyekiti ni kubwa.
Simpendagi.anajitoa ufahamu sana
Nimekupa hoja ya makamu Mwenyekiti unaleta habari za Samia kuwa waziri, unajua makamu mwenyekiti maana yake akitokea mwenyekiti kafa yeye ndio anakuwa mwenyekiti unalijua hilo? tuambie kama hajawai kuongoza hizo taasisi kwanini Chadema walimpa nafasi kubwa hiyo?Samia kabla ya hapo alikuwa waziri. Lissu Taasisi gani aliowahi kuiongoza akiwa top leader?
Kamuulize Magufuli na SAMIA walio mpiga risasi.W
Ameifanyia nini?
Hawajbu, watatukana tuUkijibiwa unitag!
Kwa hiyo TLS ni taasisi ndogo au siyo??Samia kabla ya hapo alikuwa waziri. Lissu Taasisi gani aliowahi kuiongoza akiwa top leader?
🤣Hakuna kitu akaandika kikawa na mantikiSimpendagi.anajitoa ufahamu sana