Nimekusaidia ingawa najua kichwani tatizo:Hawajbu, watatukana tu
Bungeni mwaka 2015 alikuwa chief whip.
2016 alichaguliwa na kushinda kuwa rais wa TLS, unakijua?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekusaidia ingawa najua kichwani tatizo:Hawajbu, watatukana tu
Wewe ulitaka aifanyie nini? Aijengee msikiti na madrasa?Sema TLS, kaifanyia nini
Mwalimu wa Bondeni Sekondari Arusha.Ukijibiwa unitag!
Enzi hizo za giza la elimu.
..Mwalimu Nyerere alipochaguliwa kuongoza Tanu hakuwa amewahi kuwa top ktk taasisi yoyote ile.
Imeingia vipi tena hapo?Wewe ulitaka aifanyie nini? Aijengee msikiti na madrasa?
Unataka kusema ni kurujuani ?😁😁😁Huyu Kuna muda unaweza sema zimeruka🙌
Makamu mwenyekiti wa chadema, rais wa TLS na mgombea urais wa chadema 2020, Ruzuku wanazokula chadema Leo na lile jengo walilonunua Lina jasho la tundu lissu ikiwa ni matokeo ya kura za urais .Nimeamini ukitaka kugombana na mbowe gombea uwenyekitiLissu amewahi kushika nafasi gani ya juu ya uongozi na amefanyia maendeleo gani?
Maana nafasi ya Mwenyekiti ni kubwa.
Mwambie mkewe ampere uone. Ama basi kama anayongea ni ya maana he is a smart guyAnaweza kuongea ya chumbani kwake?
Miaka ya 2000 hapo katikati, kulikuwa kuna issue nzito Tarime huko na wazee wa Barrick Gold Mine kuhusu kuchafuliwa mto Tigithe na kemikali kutoka North MaraMwaka gani
Kawa mwenyekiti au wakili?Miaka ya 2000 hapo katikati, kulikuwa kuna issue nzito Tarime huko na wazee wa Barrick Gold Mine kuhusu kuchafuliwa mto Tigithe na kemikali kutoka North Mara
Mulimstopisha Kwakumpa kilema chakudumuW
Ameifanyia nini?
Moja ya nafasi aliyowahi kushika Lisu ni kumrithi mama yako baada ya kifo cha baba'ko unaona kitu km hicho ilikuwa jambo dogo ?Lissu amewahi kushika nafasi gani ya juu ya uongozi na amefanyia maendeleo gani?
Maana nafasi ya Mwenyekiti ni kubwa.
Mama yangu alikua muislam yeye kafiri,Moja ya nafasi aliyowahi kushika Lisu ni kumrithi mama yako baada ya kifo cha baba'ko unaona kitu km hicho ilikuwa jambo dogo ?
Raisi wa tlsLissu amewahi kushika nafasi gani ya juu ya uongozi na amefanyia maendeleo gani?
Maana nafasi ya Mwenyekiti ni kubwa.
Kuwa rais wa TLS ulitaka aifanyie nini? Swali lako ni la kipumbavu linahitaji jibu la kipumbavuImeingia vipi tena hapo?
Rais wa TLSLissu amewahi kushika nafasi gani ya juu ya uongozi na amefanyia maendeleo gani?
Maana nafasi ya Mwenyekiti ni kubwa.
NdioKawa mwenyekiti au wakili?