Lissu amewahi kushika nafasi gani ya juu katika taasisi yote ile na ameleta maendeleo gani?

Lissu amewahi kushika nafasi gani ya juu katika taasisi yote ile na ameleta maendeleo gani?

Nimekupa hoja ya makamu Mwenyekiti unaleta habari za Samia kuwa waziri, unajua makamu mwenyekiti maana yake akitokea mwenyekiti kafa yeye ndio anakuwa mwenyekiti unalijua hilo? tuambie kama hajawai kuongoza hizo taasisi kwanini Chadema walimpa nafasi kubwa hiyo?
Sema TLS, kaifanyia nini
 
Enzi hizo "Lawyers' Environmental Action Team (LEAT)", amepiga kazi sana na kuipeleka puta serikali (Tarime kazi yake wanaitambua)
 
che quvala ,general okelo hawajawahi shika madaraka

LISu namba 6 ya chadema kalisha 9 hafungi ,ngoja Sasa ashike mwenyewe
 
Hujaitwa dada .jitulize

GFfUGgLWkAAh9uE.jpeg
 
Back
Top Bottom