Sema TLS, kaifanyia niniNimekupa hoja ya makamu Mwenyekiti unaleta habari za Samia kuwa waziri, unajua makamu mwenyekiti maana yake akitokea mwenyekiti kafa yeye ndio anakuwa mwenyekiti unalijua hilo? tuambie kama hajawai kuongoza hizo taasisi kwanini Chadema walimpa nafasi kubwa hiyo?
Kaifanyia maendeleo gani?Kwa hiyo TLS ni taasisi ndogo au siyo??
Huyu Kuna muda unaweza sema zimerukaπ
Nakazia tena amepewa uenyekiti kwenye umri mdogo ukilinganisha na LisuMbowe kabla ya uenyekiti aliwahi kushika nafasi gani kubwa ya kiuongozi, kuweza kupata uzoefu wa kuongoza Cdm kwa muda mrefu?
Maendeleo yote ya chadema kwa miaka hii 20 kuna mchango wa TALSema TLA, kaifanyia nini
Lkn michango inakuwa mingi. Inamana wanaocoment vichaa?π€£Hakuna kitu akaandika kikawa na mantiki
π€£Hawajbu, watatukana tu
π€£π€£π€£πLkn michango inakuwa mingi. Inamana wanaocoment vichaa?
Kwahiyo mlipomleta na kutuomba tumpe Urais mliona Urais ni nafasi ndogo kuliko Uenyekiti.Lissu amewahi kushika nafasi gani ya juu ya uongozi na amefanyia maendeleo gani?
Maana nafasi ya Mwenyekiti ni kubwa.
Kapata?Kwahiyo mlipomleta na kutuomba tumpe Urais mliona Urais ni nafasi ndogo kuliko Uenyekiti.
............Nyinyi jamaa ni viazi sana.
Hujaitwa dada .jitulizeKama ambavyo na wewe wapo wenye kukuchukia kwa sababu zao, zikiwamo chuki binafsi.
Mwaka ganiEnzi hizo "Lawyers' Environmental Action Team (LEAT)", amepiga kazi sana na kuipeleka puta serikali (Tarime kazi yake wanaitambua)
Lakini alikuwa pale BOTMbowe kabla ya uenyekiti aliwahi kushika nafasi gani kubwa ya kiuongozi, kuweza kupata uzoefu wa kuongoza Cdm kwa muda mrefu?
Samia kabla ya hapo alikuwa waziri. Lissu Taasisi gani aliowahi kuiongoza akiwa top leader?
Kubwa JINGA katika ubora wako!π€£π€£π€£π π π΄Kawa baba wakambo wako
Imempita huyoUmesali ishaa kweli mkuu?