Lissu amewahi kushika nafasi gani ya juu katika taasisi yote ile na ameleta maendeleo gani?

Sema TLS, kaifanyia nini
 
Enzi hizo "Lawyers' Environmental Action Team (LEAT)", amepiga kazi sana na kuipeleka puta serikali (Tarime kazi yake wanaitambua)
 
che quvala ,general okelo hawajawahi shika madaraka

LISu namba 6 ya chadema kalisha 9 hafungi ,ngoja Sasa ashike mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…