LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
Nilisema tangu mwanzo, lissu kusema jambo Hilo nje Kuna sababu, kule ndani haeleweki walishalambishwa, Chadema inabidi isafishwe inanuka rushwa, wenje mtuhumiwa wa rushwa anagombea umakamu mwenyekitiWewe unajua sheria kuliko Lissu?
Wewe unadhani watoa rushwa wanatoa risiti?
Msikilize Lissu (Kwenye Audio Part3) usikie jinsi walivyojaribu kumtega na kumcorner kwenye kamati kuu , ila Ushahidi wake mbele ya kamati kuu ukathibitishwa na mtu mwingine (Marehemu) ndani ya chama, Wakajaribu kurekodi video ya kikao hicho, alipowanyoosha hata video hiyo hawakuitoa!
Wewe hujamwelewa vizuri, msikilize Tena vizuri kwa utulivu utamwelewa lissuLissu kwa mara ya kwanza kabisa wakati anaongelea suaka hili la Abdul alisema: ' nilimwambia mwambie mama yako anilipe pesa zangu za matibabu'. Abdul alipojibu kuwa amelipwa yeye Lissu alisisitizz kuwa hajalipwa na kumpa nakala yake ya barua ya madai ili ampelekee Mama Abdul ili alipwe kama kweli ana nia ya kusaidia.
Sasa Lissu anaporuka kuwa hawakuzungumzia kuhusu hela za matibabu wala hakumtuma Abdul basi Lissu anadanganya.
Pole Sana, humjui lissuLisu Domo kwabwa lzma awe na njaa zaid ya kiongozi yyte ndani ya Chadema tatizo ajapata njia za kuchukua iyo mifeza kaona Wenje pengine atajua yeye akitaka cake kubwa zaid ndio akaona Asuse akidhani atatafutwa pekeyake. Kaona kimya ndio kaona amwage mboga!!!!!
Huu uchaguzi umeshatengeneza ufa ndani ya Chadema .Akiongea na wananchi kupitia Sauti ya Watanzania. Mheshimiwa Lissu ameongea kwa kirefu sana jinsi Wenje alivyomleta Abduli kwake.
Hapa chini kuna sauti ya Lissu akilizungumzia suala hilo kwa kirefu sana.
Sikiliza hapa:
View attachment 3183682
View attachment 3183683
View attachment 3183684
Lissu anasema ikweli mtupu.Mimi nafikiri salama ya Chadema kama chama Cha siasa ni KUMFUKUZA LISSU uwanachama aidha kabla ya uchaguzi ili asiwaharibie chama au baada ya uchaguzi ili wabaki salama baada ya uchaguzi. Sababu Kuu ni kwamba "Mtu mstaarabu haropokiropoki!".
Alafu wewe utakuwa Shoga kwa 100%, maana unapenda kucheka kishogashoga kweli, eti Ahahahahaha!!! wewe mtoto wewe duuu.Lissu mwenyewe amenunuliwa na Mr. Amsterdam. Na kama sio kweli ebu niambie familia yake inaishi wapi? Ebu nipe mfano wa Kiongozi yeyote Mzalendo wa nchi yake ambaye familia yake inaishi nje ya nchi yake! Mfano mmoja tu nami ntamuunga mkono Lissu. Usiponipa mfano mmoja tu, nitakupotezea maana sijibizani na nyumbu! Ahahahahaha!!!
Mkuu unahisi nadanganya? Fuatilia.Mmmh ! Bongoland, Bongolala !
Chochote kinawezekana !
Nani sio chawa dunia hii?Sijawahi kuwa chadema Wala CCM ila machawa hasa wa kiume mnajudharilisha sana
Yupi kati ya wenye na Lissu ni muongosasa sikiliza hapa halafu uangalie uong aliousema hakumpa doc abdul lissu ni muongo ajabu aijawahi kutokea
Jiulize kwanza alifikaje huko? Hivi unadhani ilikuwa rahisi familia kuiacha hapa ambapo mtoa roho ana kiu ya damu?Lissu mwenyewe amenunuliwa na Mr. Amsterdam. Na kama sio kweli ebu niambie familia yake inaishi wapi? Ebu nipe mfano wa Kiongozi yeyote Mzalendo wa nchi yake ambaye familia yake inaishi nje ya nchi yake! Mfano mmoja tu nami ntamuunga mkono Lissu. Usiponipa mfano mmoja tu, nitakupotezea maana sijibizani na nyumbu! Ahahahahaha!!!
Wanje ni tapeli wa kisiasa, ikumbukwe mara ya kwanza anagombea ubunge alishinda ila alichokifanya amajua na Mungu wake , hatua ya pili wananchi walikataa na Weje alitangazwa na kua mbunge , nisemapo hatjui dunia muwe mwaelewa.Akiongea na wananchi kupitia Sauti ya Watanzania. Mheshimiwa Lissu ameongea kwa kirefu sana jinsi Wenje alivyomleta Abduli kwake.
Hapa chini kuna sauti ya Lissu akilizungumzia suala hilo kwa kirefu sana.
Sikiliza hapa:
View attachment 3183682
View attachment 3183683
View attachment 3183684
Ila kweli kauli zao za "Mwamba tuvushe" za kumuumbia U-Mungu mtu leo zinawatafuna .. wakati wao wanatafuta ukombozi yeye anatafuta maokoto.. hana cha kupoteza, ndio maana akipanda majukwaa ni kurusha vijembe kwa Hayati Magufuli hajali Magufuli Effect ilivyo random access ndani ya nchi na hata akigombea urais hategemei kura kutoka kwenye kundi hilo..Siwezi kuwa Mwana CCM halafu nikawa nyumbu. Nyumbu ni ninyi Chadema. Mlimfanya Mbowe kama Mungumtu leo mnamshangaa kujiona Mungumtu! Ahahahahaha!!!
Kwaiyo ushajikubali wewe chawa?Nani sio chawa dunia hii?
Rejea maelezo ya Lissu kuanzia huko nyuma kuhusu sakata hili usiangalie tu sasa amesema nini clubhouse/Maria space rejea nyuma kabisa baada ya Wenje kufanya mahojiano.Wewe hujamwelewa vizuri, msikilize Tena vizuri kwa utulivu utamwelewa lissu
Lissu anasema Abdul alipelekwa kwake na kiongozi wa CDM, hili ni kweli ama si kweli!!???Mbinu zao za ajabu sana, hazina aina yoyote ya kuthibitika, wanataka tuamini tu hivyo hivyo wanavyosema.
YAni akisema Lusu ni ukweli, hata bila vithibitisho.
Aliyevujisha habari ya Abdul kupelekwa kwa Lissu na kiongozi wa CDM ni nani!!?Mkuu unamwamini Lissu?
Tunamjua Lisu juzi kati tu kasema anataka anashilikiana na yule mzungu wake kuishtaki Serikali ktk swala la tigo alikuwa akiongea kwa mbwembwe kuwa namnukuu, apa najua nitalipwa mipesa mingi sana yani Watanzania pesa zetu badala zielekwezwe kwenye shule mikopo mahospitali Yeye Lisu anataka ziende mfukoni kwake!!! Sio njaa iyo.Y
Pole Sana, humjui lissu
Akikuelewa uje uniambie...Takukuru hawawezi kushughulikia tuhuma zinazomhusu mtoto wa Mr & Mrs Hafidh.
Wewe binafsi uliishawahi kuchukua hatua gani ya kusema ukweli? Au nawe ni keyboard warrior? Ahahahahaha!!!Kwahiyo hamtaki watu wakweli wawepo?, haya ni matokeo ya kukuzwa kiwiziwizi