C chilubi JF-Expert Member Joined Sep 21, 2011 Posts 8,188 Reaction score 6,244 Jan 25, 2022 #161 Crimea said: Mbona kwenye hoja ya Ndugai hajaweka uanauke wa rais Click to expand... Si lazima aweke, mnafiki ukishamjua tu. Huyu huyu Ndugai ndio alokuwa akilalamikiwa na wananchi wakati wa JPM, ana wabunge wasiokuwa na chama ndani, akiendesha bunge kibabe, leo amekuwa super hero? Siasa z Afrika kituko kitupu
Crimea said: Mbona kwenye hoja ya Ndugai hajaweka uanauke wa rais Click to expand... Si lazima aweke, mnafiki ukishamjua tu. Huyu huyu Ndugai ndio alokuwa akilalamikiwa na wananchi wakati wa JPM, ana wabunge wasiokuwa na chama ndani, akiendesha bunge kibabe, leo amekuwa super hero? Siasa z Afrika kituko kitupu
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Jan 25, 2022 #162 Lissu hutetea chote... Ni binadamu mbishi sana...
J Janja weed JF-Expert Member Joined Nov 20, 2020 Posts 3,000 Reaction score 5,606 Mar 7, 2022 #163 in the first place kwanza yuko wapi huyo JOBO ndio tuanzie hapo
Elitwege JF-Expert Member Joined Jun 4, 2017 Posts 5,294 Reaction score 10,970 May 15, 2022 Thread starter #164 Janja weed said: in the first place kwanza yuko wapi huyo JOBO ndio tuanzie hapo Click to expand... Yupo bungeni
Janja weed said: in the first place kwanza yuko wapi huyo JOBO ndio tuanzie hapo Click to expand... Yupo bungeni