Lissu amtetea Job Ndugai, asema lazima kuna jambo

Lissu amtetea Job Ndugai, asema lazima kuna jambo

Mbona kwenye hoja ya Ndugai hajaweka uanauke wa rais
Si lazima aweke, mnafiki ukishamjua tu. Huyu huyu Ndugai ndio alokuwa akilalamikiwa na wananchi wakati wa JPM, ana wabunge wasiokuwa na chama ndani, akiendesha bunge kibabe, leo amekuwa super hero? Siasa z Afrika kituko kitupu
 
Back
Top Bottom