Uchaguzi 2020 Lissu amwambia Rais Magufuli afungulie Vyombo vya Habari ili asisumbuke kuweka bando kuwaangalia wapinzani kwenye WhatsApp

Uchaguzi 2020 Lissu amwambia Rais Magufuli afungulie Vyombo vya Habari ili asisumbuke kuweka bando kuwaangalia wapinzani kwenye WhatsApp

Idadi ya wagombea wa CCM inashinda hao wanayo vumisha, Maelfu wampokea Lissu. Lakini kitendo cha CCM kujivunia jezi zao mtaani ni ishara nyingine awamu ya 5 kazi ccm wameifanya. Odinga hapo Kenya kuna picha ya mtandaoni kavaa shati la jezi ya CCM.

Lissu anajitahidi sana kuongea maneno ya kukera na kuudhi dhidi ya Rais Magufili, lakini kasahau JPM ni master of human psychology, anamuangalia kamchunia. Lissu anabakia kuteseka nini kinachopikwa. Hanabudi kusubiri mpaka muda ukifika atapakuliwa.

Lissu anamadhaifu mengi mno katika hizi kauli zake za upayukaji na ndio maana ukitulia na ukawa makini kumtuliza ni rahisi sana.

Lakini ni muhimu wakati ukifika Lissu na umeshafika ni sasa aambiwe ukweli, wala msimdanganye hamna namna ataweza shinda uchaguzi huu. Hilo haliko, asiachiwe tu uwanja na kuangaliwa tu akiulaghai umma na mataifa mengine ya nje kuwa anakubalija na kesha shinda. Wakati wa kura akishashindwa kihalali ataleta matatizo yale ambayo wameshapanga na mabeberu ya kuitisha maandamano ya kuhamasisha uasi.

Kwangu mimi naona si sawa huyu aachiwe kuongea kila anachojisikia kuongea na kila anachotaka kuwaaminisha wale wanao msikiliza hata kama ni uongo na upotoshaji. Uongo ukaachwa kukanushwa na ukaendelea kuongelewa kwa kurudiwa rudiwa hugeuka na kuonekana ndio ukweli huo. Hivyo ni vizuri mbinu za kukabiliana na huyu anaye ongea kauli za kuandaa waasi watarajiwa akabiliwe mapema kabla ya kuanza kukumbuka shuka wakati kumesha kucha. Makosa haya yalifanyika awamu iliyopita kukatokea mapinduzi ya kutumia pambio la chama ingawa baadaye yalizimwa. Lissu si wakumchekea.
Maskini umeshaingia hofu. Tayari kazi ya Lissu imeanza kupenya.
 
Nasubiria chorus "tumeibiwa kura" [emoji470][emoji470]
Akiwa mjini Tunduma, Tundu Lissu katika harakati zake za kutafuta wadhamini, ameongea na maelfu ya wananchi.

Amezungumza kuhusu hali ya uminywaji wa vyombo vya habari nchini, watumishi wa umma kutopewa maslahi yao ipasavyo, kero za wafanyabiashara ndogondogo hususan vitambulisho vya wamachinga vya sh 20000, Viongozi wa dini ya waislamu walioko jela kinyume cha haki, uonevu dhidi ya vyama vya siasa, kero ya wafanyabiashara kubambikiziwa kodi na TRA na kusema kuwa watavikomesha hivyo october 28.

Na pia, akampiga kijembe Rais Magufuli kuwa badala ya kuhangaika kuweka bando la internet ili kuwatazama wapinzani kwenye WhatsApp, afungulie vyombo vya habari ili awaone kupitia vyombo rasmi vya habari.

Hapo Tunduma OCD wa sehemu hiyo alijaribu kuwazuia wananchi kwenda mkutanoni, lakini alishindwa kuwathibiti wananchi maana walikuwa ni wengi mno.

Kwa taarifa zaidi muone yeye mwenyewe Tundu Lissu.

 
Ule wizi wa kura wa miaka yote mwaka huu hakuna miaka yote walikuwa wanaina kura na wananchi hakuna kipindi cha uchaguzi walikuwa wametoka kunyanyasika na kukosa uhuru kama sasa hivi na hii inatoa hamasa zaidi ya kuona umuhimu wa kuleta mabadiliko ya uongozi wa nchi yao
Kila jambo lina mwisho. Na huu ndio mwisho wake.
 
Jamani tusijifariji kuwa hata Lowasa na Mrema walikuwa wanajaza watu,zama zinabadilika saiv ukiangalia kwa haraka haraka tu utakuta 50%yawatu hapo ni form four ambao tayari uelewa wa mambo wanaomkubwa sana.na huu muda kampeni bado ijulikane tu kiwa CCM ilikosea kuzuia watu kujieleza na kufanya siasa
Waache waendelee kujifariji. Mwaka 2015 JPM anajua kilichotokea na ndio maana alikuja kwa kasi kubwa sana ya kudhibiti upinzani japo amefeli tena.
 
Vipi ruzuku ya chama chenu itatufikia huku japo kwa kutuelimisha tu umuhimu wa kumchagua LISSU?

Umuhimu si utaelezwa kwenye kampeni na ruzuku si ndiyo inatumika kwenye hizo kampeni sasa ikufikie wewe unashindwa kuitaka serikali iongeze mshahara unataka kula pesa ya ruzuku tena mbona unataka kuturudisha nyuma matumizi ya ruzuku si yanapngwa na vikao halali vya chama kwa kutumia wawakilishi wako
 
Akiwa mjini Tunduma, Tundu Lissu katika harakati zake za kutafuta wadhamini, ameongea na maelfu ya wananchi.

Amezungumza kuhusu hali ya uminywaji wa vyombo vya habari nchini, watumishi wa umma kutopewa maslahi yao ipasavyo, kero za wafanyabiashara ndogondogo hususan vitambulisho vya wamachinga vya sh 20000, Viongozi wa dini ya waislamu walioko jela kinyume cha haki, uonevu dhidi ya vyama vya siasa, kero ya wafanyabiashara kubambikiziwa kodi na TRA na kusema kuwa watavikomesha hivyo october 28.

Na pia, akampiga kijembe Rais Magufuli kuwa badala ya kuhangaika kuweka bando la internet ili kuwatazama wapinzani kwenye WhatsApp, afungulie vyombo vya habari ili awaone kupitia vyombo rasmi vya habari.

Hapo Tunduma OCD wa sehemu hiyo alijaribu kuwazuia wananchi kwenda mkutanoni, lakini alishindwa kuwathibiti wananchi maana walikuwa ni wengi mno.

Kwa taarifa zaidi muone yeye mwenyewe Tundu Lissu.


Namwangalia Lissu akiwa na kalombati keusi na kakofia ka-kispy . Nacheka sana.
 
Idadi ya wagombea wa CCM inashinda hao wanayo vumisha, Maelfu wampokea Lissu. Lakini kitendo cha CCM kujivunia jezi zao mtaani ni ishara nyingine awamu ya 5 kazi ccm wameifanya. Odinga hapo Kenya kuna picha ya mtandaoni kavaa shati la jezi ya CCM.

Lissu anajitahidi sana kuongea maneno ya kukera na kuudhi dhidi ya Rais Magufili, lakini kasahau JPM ni master of human psychology, anamuangalia kamchunia. Lissu anabakia kuteseka nini kinachopikwa. Hanabudi kusubiri mpaka muda ukifika atapakuliwa.

Lissu anamadhaifu mengi mno katika hizi kauli zake za upayukaji na ndio maana ukitulia na ukawa makini kumtuliza ni rahisi sana.

Lakini ni muhimu wakati ukifika Lissu na umeshafika ni sasa aambiwe ukweli, wala msimdanganye hamna namna ataweza shinda uchaguzi huu. Hilo haliko, asiachiwe tu uwanja na kuangaliwa tu akiulaghai umma na mataifa mengine ya nje kuwa anakubalija na kesha shinda. Wakati wa kura akishashindwa kihalali ataleta matatizo yale ambayo wameshapanga na mabeberu ya kuitisha maandamano ya kuhamasisha uasi.

Kwangu mimi naona si sawa huyu aachiwe kuongea kila anachojisikia kuongea na kila anachotaka kuwaaminisha wale wanao msikiliza hata kama ni uongo na upotoshaji. Uongo ukaachwa kukanushwa na ukaendelea kuongelewa kwa kurudiwa rudiwa hugeuka na kuonekana ndio ukweli huo. Hivyo ni vizuri mbinu za kukabiliana na huyu anaye ongea kauli za kuandaa waasi watarajiwa akabiliwe mapema kabla ya kuanza kukumbuka shuka wakati kumesha kucha. Makosa haya yalifanyika awamu iliyopita kukatokea mapinduzi ya kutumia pambio la chama ingawa baadaye yalizimwa. Lissu si wakumchekea.
Nimekuelewa sana, ila kwasasa Lissu sio mtoto wa nyumbani tena ni mtoto wa Dunia nzima, so mtoto kama huyu kumdhibiti ni ngumu sana, CCM walifanya kosa kubwa sana ambalo linaweza kuingiza nchi kwenye matatizo makubwa, hapakuwa na sababu kuwabana wapinzani wangeachwa tu, wangeongea na kipindi hiki either wangekuwa wanarudia waliyokwisha ongea au watafute mapya ambayo yangekuwa machache.

Kitendo cha kuziba mto Kwa muda mfefu pale unapofungulia kasi yake inakuwa kubwa sana japo ya muda mfupi ila usipojipanga vizuri yanaweza kuja maafa makubwa. TL kwasasa hana cha kuogopa tena, na matokeo yakitangaza atakataa kusain na nakuhakikishia atasumbua sana baada ya uchaguzi na sijui watamfanya nini, wakimfunga itaonekana sio jipya na wanamuonea, kazi ipo.
 
Idadi ya wagombea wa CCM inashinda hao wanayo vumisha, Maelfu wampokea Lissu. Lakini kitendo cha CCM kujivunia jezi zao mtaani ni ishara nyingine awamu ya 5 kazi ccm wameifanya. Odinga hapo Kenya kuna picha ya mtandaoni kavaa shati la jezi ya CCM.

Lissu anajitahidi sana kuongea maneno ya kukera na kuudhi dhidi ya Rais Magufili, lakini kasahau JPM ni master of human psychology, anamuangalia kamchunia. Lissu anabakia kuteseka nini kinachopikwa. Hanabudi kusubiri mpaka muda ukifika atapakuliwa.

Lissu anamadhaifu mengi mno katika hizi kauli zake za upayukaji na ndio maana ukitulia na ukawa makini kumtuliza ni rahisi sana.

Lakini ni muhimu wakati ukifika Lissu na umeshafika ni sasa aambiwe ukweli, wala msimdanganye hamna namna ataweza shinda uchaguzi huu. Hilo haliko, asiachiwe tu uwanja na kuangaliwa tu akiulaghai umma na mataifa mengine ya nje kuwa anakubalija na kesha shinda. Wakati wa kura akishashindwa kihalali ataleta matatizo yale ambayo wameshapanga na mabeberu ya kuitisha maandamano ya kuhamasisha uasi.

Kwangu mimi naona si sawa huyu aachiwe kuongea kila anachojisikia kuongea na kila anachotaka kuwaaminisha wale wanao msikiliza hata kama ni uongo na upotoshaji. Uongo ukaachwa kukanushwa na ukaendelea kuongelewa kwa kurudiwa rudiwa hugeuka na kuonekana ndio ukweli huo. Hivyo ni vizuri mbinu za kukabiliana na huyu anaye ongea kauli za kuandaa waasi watarajiwa akabiliwe mapema kabla ya kuanza kukumbuka shuka wakati kumesha kucha. Makosa haya yalifanyika awamu iliyopita kukatokea mapinduzi ya kutumia pambio la chama ingawa baadaye yalizimwa. Lissu si wakumchekea.

Ukishazoea kusifiwa na kuogopwa akatokea mtu wa kukupinga bila kuogopa utaona anakukosea na kukudhalilisha. Hivi unakumbuka maneno ya kusema atamshangaa sana mkurugenzi atakayemtangaza mpinzani akishinda uchaguzi. Kuna maneno ya hatari zaidi ya hayo kwa taifa linaloongozwa kwa mujibu wa sheria, kama kuna kiongozi anatamka waziwazi kabisa kuwa atamshangaa msimamizi wa uchaguzi kumtangaza mpinzani aliyeshinda uchaguzi ati kwa kuwa huyo kiongozi analipwa mshahara wa wananchi walioamuwa nani awaongoze halafu mtu mwengine ambaye pia analipwa mshahara na wananchi hao hao anajibadilisha na kujifanya yeye ndiye anawalipa wakurugenzi siyo wananchi wanalipa kodi ya huo mshahara.
 
Nimekuelewa sana, ila kwasasa Lissu sio mtoto wa nyumbani tena ni mtoto wa Dunia nzima, so mtoto kama huyu kumdhibiti ni ngumu sana, CCM walifanya kosa kubwa sana ambalo linaweza kuingiza nchi kwenye matatizo makubwa, hapakuwa na sababu kuwabana wapinzani wangeachwa tu, wangeongea na kipindi hiki either wangekuwa wanarudia waliyokwisha ongea au watafute mapya ambayo yangekuwa machache.

Kitendo cha kuziba mto Kwa muda mfefu pale unapofungulia kasi yake inakuwa kubwa sana japo ya muda mfupi ila usipojipanga vizuri yanaweza kuja maafa makubwa. TL kwasasa hana cha kuogopa tena, na matokeo yakitangaza atakataa kusain na nakuhakikishia atasumbua sana baada ya uchaguzi na sijui watamfanya nini, wakimfunga itaonekana sio jipya na wanamuonea, kazi ipo.

Hakuna linaloshindikana chini ya jua kinachotakiwa ni umakini katika kushughilika naye, maana ukisikiliza uropokaji wake amekamia kwelikweli ikikibidi hata taifa hili lisambaratike.
 
Ukishazoea kusifiwa na kuogopwa akatokea mtu wa kukupinga bila kuogopa utaona anakukosea na kukudhalilisha. Hivi unakumbuka maneno ya kusema atamshangaa sana mkurugenzi atakayemtangaza mpinzani akishinda uchaguzi. Kuna maneno ya hatari zaidi ya hayo kwa taifa linaloongozwa kwa mujibu wa sheria, kama kuna kiongozi anatamka waziwazi kabisa kuwa atamshangaa msimamizi wa uchaguzi kumtangaza mpinzani aliyeshinda uchaguzi ati kwa kuwa huyo kiongozi analipwa mshahara wa wananchi walioamuwa nani awaongoze halafu mtu mwengine ambaye pia analipwa mshahara na wananchi hao hao anajibadilisha na kujifanya yeye ndiye anawalipa wakurugenzi siyo wananchi wanalipa kodi ya huo mshahara.

Hii si baada ya wapinzani waliozira uchaguzi wa serikali za mtaa. Sasa utangaza mtu aliyezira.??
 
...Yani bora wangemuachaga tu wamsumbue na makesi na kumuweka ndani kila mara pengine ingesaidia... Yani huyu lissu wa sasa ni nafuu yule wa kabla ya september 7'17.!
Mateso ya jiwe yamempa umaarufu zaidi na zaidi
 
Back
Top Bottom