Pre GE2025 Lissu anaenda kumshinda Mbowe kwenye huu uchaguzi

Pre GE2025 Lissu anaenda kumshinda Mbowe kwenye huu uchaguzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
nilitabii tangu 17/12/2024

1- mbowe atachukua form

2- Mbowe atashinda uwenyekiti

3-lissu atotoa tuhuma mbowe katoa rushwa

4- lissu atahamia ACT wazalendo

5-lissu atagombea urais kupitia Act wazalendo 2025

6- lissu ataambulia 8% ya kura manake atashindwa

7-Ataondoka kuelekea Belgium akimtuhumu mbowe anataka kumuangamiza.
 
nilitabii tangu 17/12/2024

1- mbowe atachukua form

2- Mbowe atashinda uwenyekiti

3-lissu atotoa tuhuma mbowe katoa rushwa

4- lissu atahamia ACT wazalendo

5-lissu atagombea urais kupitia Act wazalendo 2025

6- lissu ataambulia 8% ya kura manake atashindwa

7-Ataondoka kuelekea Belgium akimtuhumu mbowe anataka kumuangamiza.

Tupo hapa utajionea
 
Sabato Njema Wakuu!

Uamuzi wa Mbowe ni sahihi kwa HAKI yake ya kikatiba ila kwa heshima sio uamuzi sahihi. Kwani kushindwa kwake haitakuwa Jambo la kufurahisha na Jambo la heshima. Kustaafishwa kwa kuangukia pua haitakuwa historia nzuri kwa Mhe. Mbowe.

Nina uhakika Lisu atamshinda Mbowe kwa Sababu zifuatazo;

1. Kuondoa uchagadema ndani ya CHADEMA.
Wanachadema wengi hasa wanaotoka kanda zingine hata humu ndani hawafurahishwi na propaganda zinazoendelea kuhusu CHADEMA ni uchagadema.
Kumtoa Mbowe pale kutapunguza hayo madai.

2. Kuondoa kumuabudu mtu.
Kiongozi anapokaa Muda mrefu inajengeka Hali ya kumuogopa, kumuabudu, na yeye kukita mizizi.
Kwa sasa Hapana Shaka Mbowe ni kama mungu mtu hapo CHADEMA. Umungu mtu hutengeneza machawa na worship teams.

3. Wanachadema wengi hawataki kudai HAKI kwa kubembelezana.
Mbowe yeye hupenda kudai HAKI kwa njia ya kumlambalamba mtu miguu. Kumnyenyekea, mazungumzo na njia zote ambazo ni passive.
Kama mjuavyo Njia passive haziletagi matokeo ya haraka. Huweza kuchukua Miaka hata Mia moja. Tofauti na njia active.

CHADEMA wengi wanaamini kwa njia active ambazo Lisu naye huamini hivyo.

Kama CHADEMA ingetumia Njia active kwa kumaanisha Leo hii tungekuwa tunazungumzia habari nyingine hapa. Kariba mpya ingekuwa tayari, hayo mambo ya tume Huru ya uchaguzi yangekuwa mambo madogomadogo kuyashughulikia.

4. Kushindwa kwa Lisu ni kuanguka kwa CHADEMA.
Hilo liko wazi. Wengi wataleta ulinganifu wa sijui wakina Zitto, kina Slaa n.k.
Lakini Lisu lazima ashinde ili CHADEMA iwe hai.

Kwa sasa pale CHADEMA mtu pekee mwenye nafasi ya juu ambaye watu wanaomuona ni mpinzani wa kweli. Yaani anayemaanisha ni Lisu.
Lisu kushindwa ni upinzani kushindwa.

Matokeo ya uchaguzi yataisha Lisu Akiwa mbele kwa 53% Mbowe 46%

Tupumzike

Hibi nyie watoto, mbona mnapenda kujitakia balaa. Ni nani aliye waambia sumu huwa inaonjwa?
 
Huenda Dola inamtaka Mbowe aongoze Chadema badala ya Lissu.

JokaKuu zitto junior Tindo brazaj

GeqFYhVWsAAcU0W.jpeg
 
nilitabii tangu 17/12/2024

1- mbowe atachukua form

2- Mbowe atashinda uwenyekiti

3-lissu atotoa tuhuma mbowe katoa rushwa

4- lissu atahamia ACT wazalendo

5-lissu atagombea urais kupitia Act wazalendo 2025

6- lissu ataambulia 8% ya kura manake atashindwa

7-Ataondoka kuelekea Belgium akimtuhumu mbowe anataka kumuangamiza.

Umesahau kuweka CDM watapata % ngapi ya kura
 
Nakuambia, maelezo yote Yale zaidi ya masaa mawili, mkutano umechukua nusu siku alafu abwagwe itakuwa aibu kubwa kuwahi kutokea.
Mnajifariji si ndio? Na nyie mpeni airtime huyo kibaraka wenu kwani shida Iko wapi? 😆😆👇👇
Screenshot_20241221-155237.jpg


Mwisho fukara na siasa wapi na wapi? Atoke Sasa Akaanzishe chama Wafuasi wake si mpo mtachanga 🤣🤣🤣👇👇
20241221_155037.jpg
20241221_155058.jpg
 
Back
Top Bottom