Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #21
Uchaguzi wa CHADEMA ngazi ya Mwenyekit umeisha leo
Yaani maelezo yote Yale ya Mwenyekiti alafu wasimchague. Noma sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchaguzi wa CHADEMA ngazi ya Mwenyekit umeisha leo
Kapige kampeni,kapige kura sio kutuandikia mawazo yako tukubaliane nayo au kuonesha kuna mtu anaonewa
Na walifanya Kila juhudi asigombee ila wamegonga Ukuta 👇👇Endelea kuota angalia usijinyee.Ushindi pekee wa Lisu ulikuwa ni kama Mbowe hagombei.Hii imekwisha.
Huenda Dola inamtaka Mbowe aongoze Chadema badala ya Lissu.Lissu hawezi kushinda huo uchaguzi hata iweje .
Busara ndo ilibidi itumike zaidi
nilitabii tangu 17/12/2024
1- mbowe atachukua form
2- Mbowe atashinda uwenyekiti
3-lissu atotoa tuhuma mbowe katoa rushwa
4- lissu atahamia ACT wazalendo
5-lissu atagombea urais kupitia Act wazalendo 2025
6- lissu ataambulia 8% ya kura manake atashindwa
7-Ataondoka kuelekea Belgium akimtuhumu mbowe anataka kumuangamiza.
Sio Lisu according to you?Mbona kigeugeu sana.Si umeshatoa na percent?🤓🤓
Mmojawapo lazima awe Mwenyekiti
Sabato Njema Wakuu!
Uamuzi wa Mbowe ni sahihi kwa HAKI yake ya kikatiba ila kwa heshima sio uamuzi sahihi. Kwani kushindwa kwake haitakuwa Jambo la kufurahisha na Jambo la heshima. Kustaafishwa kwa kuangukia pua haitakuwa historia nzuri kwa Mhe. Mbowe.
Nina uhakika Lisu atamshinda Mbowe kwa Sababu zifuatazo;
1. Kuondoa uchagadema ndani ya CHADEMA.
Wanachadema wengi hasa wanaotoka kanda zingine hata humu ndani hawafurahishwi na propaganda zinazoendelea kuhusu CHADEMA ni uchagadema.
Kumtoa Mbowe pale kutapunguza hayo madai.
2. Kuondoa kumuabudu mtu.
Kiongozi anapokaa Muda mrefu inajengeka Hali ya kumuogopa, kumuabudu, na yeye kukita mizizi.
Kwa sasa Hapana Shaka Mbowe ni kama mungu mtu hapo CHADEMA. Umungu mtu hutengeneza machawa na worship teams.
3. Wanachadema wengi hawataki kudai HAKI kwa kubembelezana.
Mbowe yeye hupenda kudai HAKI kwa njia ya kumlambalamba mtu miguu. Kumnyenyekea, mazungumzo na njia zote ambazo ni passive.
Kama mjuavyo Njia passive haziletagi matokeo ya haraka. Huweza kuchukua Miaka hata Mia moja. Tofauti na njia active.
CHADEMA wengi wanaamini kwa njia active ambazo Lisu naye huamini hivyo.
Kama CHADEMA ingetumia Njia active kwa kumaanisha Leo hii tungekuwa tunazungumzia habari nyingine hapa. Kariba mpya ingekuwa tayari, hayo mambo ya tume Huru ya uchaguzi yangekuwa mambo madogomadogo kuyashughulikia.
4. Kushindwa kwa Lisu ni kuanguka kwa CHADEMA.
Hilo liko wazi. Wengi wataleta ulinganifu wa sijui wakina Zitto, kina Slaa n.k.
Lakini Lisu lazima ashinde ili CHADEMA iwe hai.
Kwa sasa pale CHADEMA mtu pekee mwenye nafasi ya juu ambaye watu wanaomuona ni mpinzani wa kweli. Yaani anayemaanisha ni Lisu.
Lisu kushindwa ni upinzani kushindwa.
Matokeo ya uchaguzi yataisha Lisu Akiwa mbele kwa 53% Mbowe 46%
Tupumzike
Sio Lisu according to you?Mbona kigeugeu sana.Si umeshatoa na percent?
Hibi nyie watoto, mbona mnapenda kujitakia balaa. Ni nani aliye waambia sumu huwa inaonjwa?
Lisu kaonja tumeona.
Mbowe amesema yeye sio mbangaizaji kama wengine 😂😂
Hajipendi, msimfuate
nilitabii tangu 17/12/2024
1- mbowe atachukua form
2- Mbowe atashinda uwenyekiti
3-lissu atotoa tuhuma mbowe katoa rushwa
4- lissu atahamia ACT wazalendo
5-lissu atagombea urais kupitia Act wazalendo 2025
6- lissu ataambulia 8% ya kura manake atashindwa
7-Ataondoka kuelekea Belgium akimtuhumu mbowe anataka kumuangamiza.
Mnajifariji si ndio? Na nyie mpeni airtime huyo kibaraka wenu kwani shida Iko wapi? 😆😆👇👇Nakuambia, maelezo yote Yale zaidi ya masaa mawili, mkutano umechukua nusu siku alafu abwagwe itakuwa aibu kubwa kuwahi kutokea.
Binafsi nimefurahi.
Lissu akishinda itakuwa habari njema sana kwa ustawi wa nchi.
Lissu akifeli kwa hila za CCM na mihela ya Abdul upinzani utazikwa rasmi