Pre GE2025 Lissu anaenda kumshinda Mbowe kwenye huu uchaguzi

Pre GE2025 Lissu anaenda kumshinda Mbowe kwenye huu uchaguzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sabato Njema Wakuu!

Uamuzi wa Mbowe ni sahihi kwa HAKI yake ya kikatiba ila kwa heshima sio uamuzi sahihi. Kwani kushindwa kwake haitakuwa Jambo la kufurahisha na Jambo la heshima. Kustaafishwa kwa kuangukia pua haitakuwa historia nzuri kwa Mhe. Mbowe.

Nina uhakika Lisu atamshinda Mbowe kwa Sababu zifuatazo;

1. Kuondoa uchagadema ndani ya CHADEMA.
Wanachadema wengi hasa wanaotoka kanda zingine hata humu ndani hawafurahishwi na propaganda zinazoendelea kuhusu CHADEMA ni uchagadema.
Kumtoa Mbowe pale kutapunguza hayo madai.

2. Kuondoa kumuabudu mtu.
Kiongozi anapokaa Muda mrefu inajengeka Hali ya kumuogopa, kumuabudu, na yeye kukita mizizi.
Kwa sasa Hapana Shaka Mbowe ni kama mungu mtu hapo CHADEMA. Umungu mtu hutengeneza machawa na worship teams.

3. Wanachadema wengi hawataki kudai HAKI kwa kubembelezana.
Mbowe yeye hupenda kudai HAKI kwa njia ya kumlambalamba mtu miguu. Kumnyenyekea, mazungumzo na njia zote ambazo ni passive.
Kama mjuavyo Njia passive haziletagi matokeo ya haraka. Huweza kuchukua Miaka hata Mia moja. Tofauti na njia active.

CHADEMA wengi wanaamini kwa njia active ambazo Lisu naye huamini hivyo.

Kama CHADEMA ingetumia Njia active kwa kumaanisha Leo hii tungekuwa tunazungumzia habari nyingine hapa. Kariba mpya ingekuwa tayari, hayo mambo ya tume Huru ya uchaguzi yangekuwa mambo madogomadogo kuyashughulikia.

4. Kushindwa kwa Lisu ni kuanguka kwa CHADEMA.
Hilo liko wazi. Wengi wataleta ulinganifu wa sijui wakina Zitto, kina Slaa n.k.
Lakini Lisu lazima ashinde ili CHADEMA iwe hai.

Kwa sasa pale CHADEMA mtu pekee mwenye nafasi ya juu ambaye watu wanaomuona ni mpinzani wa kweli. Yaani anayemaanisha ni Lisu.
Lisu kushindwa ni upinzani kushindwa.

Matokeo ya uchaguzi yataisha Lisu Akiwa mbele kwa 53% Mbowe 46%

Tupumzike
Sabato Njema Wakuu!

Uamuzi wa Mbowe ni sahihi kwa HAKI yake ya kikatiba ila kwa heshima sio uamuzi sahihi. Kwani kushindwa kwake haitakuwa Jambo la kufurahisha na Jambo la heshima. Kustaafishwa kwa kuangukia pua haitakuwa historia nzuri kwa Mhe. Mbowe.

Nina uhakika Lisu atamshinda Mbowe kwa Sababu zifuatazo;

1. Kuondoa uchagadema ndani ya CHADEMA.
Wanachadema wengi hasa wanaotoka kanda zingine hata humu ndani hawafurahishwi na propaganda zinazoendelea kuhusu CHADEMA ni uchagadema.
Kumtoa Mbowe pale kutapunguza hayo madai.

2. Kuondoa kumuabudu mtu.
Kiongozi anapokaa Muda mrefu inajengeka Hali ya kumuogopa, kumuabudu, na yeye kukita mizizi.
Kwa sasa Hapana Shaka Mbowe ni kama mungu mtu hapo CHADEMA. Umungu mtu hutengeneza machawa na worship teams.

3. Wanachadema wengi hawataki kudai HAKI kwa kubembelezana.
Mbowe yeye hupenda kudai HAKI kwa njia ya kumlambalamba mtu miguu. Kumnyenyekea, mazungumzo na njia zote ambazo ni passive.
Kama mjuavyo Njia passive haziletagi matokeo ya haraka. Huweza kuchukua Miaka hata Mia moja. Tofauti na njia active.

CHADEMA wengi wanaamini kwa njia active ambazo Lisu naye huamini hivyo.

Kama CHADEMA ingetumia Njia active kwa kumaanisha Leo hii tungekuwa tunazungumzia habari nyingine hapa. Kariba mpya ingekuwa tayari, hayo mambo ya tume Huru ya uchaguzi yangekuwa mambo madogomadogo kuyashughulikia.

4. Kushindwa kwa Lisu ni kuanguka kwa CHADEMA.
Hilo liko wazi. Wengi wataleta ulinganifu wa sijui wakina Zitto, kina Slaa n.k.
Lakini Lisu lazima ashinde ili CHADEMA iwe hai.

Kwa sasa pale CHADEMA mtu pekee mwenye nafasi ya juu ambaye watu wanaomuona ni mpinzani wa kweli. Yaani anayemaanisha ni Lisu.
Lisu kushindwa ni upinzani kushindwa.

Matokeo ya uchaguzi yataisha Lisu Akiwa mbele kwa 53% Mbowe 46%

Tupumzike

unajua pesa ngapi zimetolewa na kina Abdul kumhujumu Lisu?

Ila ukweli ni kwamba ya Mungu mengi, na Mungu hashindwi kitu
 
unajua pesa ngapi zimetolewa na kina Abdul kumhujumu Lisu?

Ila ukweli ni kwamba ya Mungu mengi, na Mungu hashindwi kitu
Na yeye atoe kwani Amsterdam hayupo? Si wapo humu chawa wake walikubaliana juzi kwamba watamchangia 😆😆😆😆

Hakuna kibaraka wa Wazungu ataachuwa chawa Wala kuja kuingiza Nchi hii
 
Sabato Njema Wakuu!

Uamuzi wa Mbowe ni sahihi kwa HAKI yake ya kikatiba ila kwa heshima sio uamuzi sahihi. Kwani kushindwa kwake haitakuwa Jambo la kufurahisha na Jambo la heshima. Kustaafishwa kwa kuangukia pua haitakuwa historia nzuri kwa Mhe. Mbowe.

Nina uhakika Lisu atamshinda Mbowe kwa Sababu zifuatazo;

1. Kuondoa uchagadema ndani ya CHADEMA.
Wanachadema wengi hasa wanaotoka kanda zingine hata humu ndani hawafurahishwi na propaganda zinazoendelea kuhusu CHADEMA ni uchagadema.
Kumtoa Mbowe pale kutapunguza hayo madai.

2. Kuondoa kumuabudu mtu.
Kiongozi anapokaa Muda mrefu inajengeka Hali ya kumuogopa, kumuabudu, na yeye kukita mizizi.
Kwa sasa Hapana Shaka Mbowe ni kama mungu mtu hapo CHADEMA. Umungu mtu hutengeneza machawa na worship teams.

3. Wanachadema wengi hawataki kudai HAKI kwa kubembelezana.
Mbowe yeye hupenda kudai HAKI kwa njia ya kumlambalamba mtu miguu. Kumnyenyekea, mazungumzo na njia zote ambazo ni passive.
Kama mjuavyo Njia passive haziletagi matokeo ya haraka. Huweza kuchukua Miaka hata Mia moja. Tofauti na njia active.

CHADEMA wengi wanaamini kwa njia active ambazo Lisu naye huamini hivyo.

Kama CHADEMA ingetumia Njia active kwa kumaanisha Leo hii tungekuwa tunazungumzia habari nyingine hapa. Kariba mpya ingekuwa tayari, hayo mambo ya tume Huru ya uchaguzi yangekuwa mambo madogomadogo kuyashughulikia.

4. Kushindwa kwa Lisu ni kuanguka kwa CHADEMA.
Hilo liko wazi. Wengi wataleta ulinganifu wa sijui wakina Zitto, kina Slaa n.k.
Lakini Lisu lazima ashinde ili CHADEMA iwe hai.

Kwa sasa pale CHADEMA mtu pekee mwenye nafasi ya juu ambaye watu wanaomuona ni mpinzani wa kweli. Yaani anayemaanisha ni Lisu.
Lisu kushindwa ni upinzani kushindwa.

Matokeo ya uchaguzi yataisha Lisu Akiwa mbele kwa 53% Mbowe 46%

Tupumzike
Shetani huongea kwa vitisho..just like this! na hasa anapojua hawezi kushinda..shetani ni roho anafahamu fika uchaguzi utakuwa namna gani na matokeo na hivyo anatumia vitisho kujaribu kubadilisha kitachakachotokea!
 
Hiyo ndiyo demokrasia tunayotaka, washindane kwenye uchaguzi huru na wa haki.
 
Nina uhakika Lisu atamshinda Mbowe
Huu ni mtazamo wako, shida ni pale unapolazimisha tukubaliane na wewe hata kama siyo sahihi! Wewe ni :

dikteta

mtu mwenye tabia ya kutaka lifanywe lile analosema bila ya kupingwa


Nb:Kama hauna cha kupost ni bora ukae kimya coz unaanza kuonyesha ujinga wako uliokuwa umejificha kwa kujiona una akili sana kuwazidi wengine!

Mfano wa ujinga ni kama huu:


Halafu wewe wakati huo hujioni!


Hapa ulitoa ushauri huku ukijiona una akili halafu ni mjanja sana!


Hii ya mke wako inaitwaje??Tukuiteje??

 
Samia hapa kanipigia watu kirahisi na kijinga Sana.

Sijategemea kabisa kama ishu ingeisha kirahisi kwa namna hii
Ongea maneno yote unayoweza kusema, but remember..God knows the beginning and end of this great nation, usitumie nguvu nyingi za ushawishi km vile wewe ndie mwenye uchungu sana na nchi hii kuliko hata aliyeiumba..elewa mipaka yako! Mungu akishasema hata ulale na shetani hutabadilisha kitu!
 
Back
Top Bottom